''NIKIWA SINGLE SINA BEI'' ASEMA HALIMA MDEE
Mbunge wa jimbo la kawe jijini Dar es Salaama katika tiketi ya Chadema Mh. Halima Mdee amefunguka na kuweka wazi kuwa huwa hana bei pindi awapo Single,Mdee amesema hayo kupitia ukurasa wa Facebook wa...
View ArticleSABA WAUAWA KATIKA SHAMBULIO LA BASI LAMU
Watu wenye silaha wameua watu saba wakiwemo maafisa wanne wa polisi baada ya kushambulia basi la abiria katika kaunti ya Lamu kwenye mwambao wa Kenya. Watu hao walishambulia basi hilo kwa risasi karibu...
View ArticlePITIA TETESI ZA SOKA ULAYA
Fabio Borini, 23, anajiandaa kujiunga na Sunderland baada ya Liverpool kukubali ada ya pauni milioni 14 (Sky Sports), baada ya kumchukua Filipe Luis siku ya Ijumaa, Chelsea wanazungumza na Atlètico...
View ArticleTAARIFA YA CHADEMA KIGOMA KASK KUHUSU KUHAMA KWA VIONGOZI WA MKOA
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO; JIMBO LA KIGOMA KASKAZINITAMKO KUHUSU KUONDOKA KWA WALIOKUWA VIONGOZIChama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Kigoma Kaskazini tunapenda kutoa taarifa kwa...
View ArticleNDEGE ILIYOTUA BARABARANI UGANDA
Shughuli ziliathirika leo wilayani Mityana baada ya ndege kutua kwa dharura katika barabara ya magari ya Mityana. Ndege hiyo N604AR, iliyokuwa imewabeba wanajeshi wa Marekani, ilitua katika eneo la...
View ArticleHAPPY BIRTHDAY KWAKO MWANADADA NANCY!
Leo July 20,2014 ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa 'Birthday' kwa Mwanadada Nancy Nas 'Nafsa'Kwa umuhimu na kwa Maudhui yetu kuna watu kuwatakia heri ya siku ya kuzaliwa kupitia Facebook wall yao...
View ArticleTASWIRA KIJIJINI MBALE KASHASHA BUKWALI VIA KITOBO -KANYIGO
Tukio Kijini Mbale kata ya Kanyigo Wilayani MissenyeCamera ya mwanalibeneke inaingia katika Banda la kuuza nyama kijiji ni hapa maarufu kama Bucha. Baada ya kununua inafungwa katika sehemu husika ni...
View ArticleFANYA KUPITIA KISA HIKI KAMA TULIVYO KIPOKEA.
Fanya kupitia Stori hii inayomhusu jamaa pichani kushoto. Kuna incident imetokea maeneo ya sinza naomba niwarushie kama ilivyo ili tujifunze kitu leo asubuhi wamekuja watu 6nyumbani wakasema wanatoka...
View ArticleNANCY'S 21st BIRTHDAY PARTY @TRANSIT HOTEL
Ndugu wasomaji kama mnavyojua usiku wa Jana July 20,2014 ilikuwa Birthday ya mwanadada Nancy Nas . Nancy's 21st Birthday Party! Birthday Girl Nancy Nas Katika pozi. Birthday Girl Nancy in...
View ArticleCHADEMA NA HARAKATI ZA KUSAKA UBUNGE JIMBO LA NKENGE
Ndugu Edson Joel Byemelwa,aliyeonesha nia ya kugombea Ubunge Jimbo la Nkenge Wilaya ya Missenyi kupitia Chama cha demokrasia na maendeleo(CHADEMA),akiongea na viongozi wa chama hicho katika kijiji...
View ArticleNEWS ALERT;MAITI ZA WATU ZILIZO KAUSHWA ZAKAMATWA ENEO LA BUNJU
Ni tukio la muda mchache uliopota ,usiku huu wa Jumatatu July 21,2014, pichani ni Moja ya kichwa cha Binadamu ambacho kimetolewa katika moja ya Mifuko iliyokutwa na maiti hizo Maiti zaidi ya 50...
View ArticleSAKATA YA MIILI BUNJU, WATU 8 MBARONI
Watu wanane wanashikiliwa na polisi wakiwemo Madaktari kwa tuhuma za kuhusika kwenye tukio l a kutupwa kwa mabaki ya miili ya binadamu jana jioni nje kidogo ya jiji la DsmHuku likiendelea na uchunguzi...
View ArticleMKE WA POLISI AFIA NYUMBANI KWA DEREVA WA BODABODA
Mkuu wa Wilaya ya Mwanga, Shaibu Ndemanga. Moshi. Jeshi la Polisi linamshikilia dereva mmoja wa pikipiki, maarufu kama bodaboda wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro baada ya mke wa askari polisi kukutwa...
View ArticleSHUGHULI YA MAZISHI YA MAREHEMU SULUM MOHAMED(SULUM ZERUZERU)LEO JULY 23,214
Waumini wa dini ya kiislamu wakisalia mwili wa marehemu Sulum Mohamed maarufu kama (Sulum Zeruzeru) katika msikiti wa Jamia uliopo katikati ya Mji wa Bukoba,kabla ya kuupeleka makaburini jioni ya...
View ArticleBALOZI KAMALA ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO YA WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA...
Balozi wa Tanzania BELUX na Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala akisaini Kitabu cha Maombolezo ya waliofariki katika ajali ya ndege ya Malaysia. Kitabu hicho kimefunguliwa leo hii katika...
View ArticleWAWEKEZAJI WAANZA KUITIKIA WITO WA KUWEKEZA MKOANI KAGERA
Na, Sylvester RaphaelMkoa wa Kagera umekuwa ukifanya juhudi kabambe za kujitangaza na kuzitangaza fursa zake mbalimbali za uwekezaji ili kuwavutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuja kuwekeza...
View ArticleBALOZI KAMALA AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU WA TAASISI YA UWEKEZAJI NA BIASHARA...
Balozi wa Tanzania Belux na Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Uwekezaji na Biashara ya Brussels Bi. Benedicte Wilders...
View ArticleSHUGHULI YA MAZISHI YA MAREHEMU SULUM MOHAMED(SULUM ZERUZERU)LEO JULY 23,214
Waumini wa dini ya kiislamu wakisalia mwili wa marehemu Sulum Mohamed maarufu kama (Sulum Zeruzeru) katika msikiti wa Jamia uliopo katikati ya Mji wa Bukoba,kabla ya kuupeleka makaburini jioni ya...
View ArticleTAARIFA ZA MSIBA WA DADA BERTHA GYALENGA MAARUFU KAMA (MREMBO)
Taarifa zilizotufikia Jioni ya leo Alhamis July 24,2014 kuwa Dada yetu ,rafiki yetu Bertha (Mrembo) Gyalenga amefariki Dunia katika hospital ya Mkoa Kagera.Marehemu Bertha Gyalenga maarufu kama...
View ArticleRATIBA YA FIESTA 2014 'BUKOBA KUHUSIKA'
FIESTA 2014 si hii hapa...Ratiba imesha tangazwa rasmi ambapo kwa mara nyingine tena Tarehe 09 August mzigo utapigwa MWANZA. Akizungumza kupitia Clouds Fm hii leo ile mida ya XXL na B. Dozen,...
View Article