BONGE LA MECHI UWANJANI KAITABA #MAKIRIKIRI 3-3 BAKOBA #KAGASHEKI CUP 2014
Siku ya leo Jumapili July13,2014 majira ya Saa 10 Alasiri, kitimtimu cha michuano ya Kombe la Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini, Mh Balozi Khamis Sued Kagasheki, Imeendelea Uwanjani Kaitaba kwa...
View ArticleUJERUMANI MABINGWA KOMBE LA DUNIA 2014 (BAO LA SUPER MARIO GOTZE Dk. 113...
Nini wao ni kucheza Mchezaji wa zamani wa Hispania Nahodha Carles Puyol akiwa na Mwanadada Gisele Bundchen ambaye ni mwanamitindo wakizungusha Uwanjani Kombe la Dunia muda mfupi kabla ya kuanza kwa...
View ArticleBUKOBA- KATOMA-KYABITEMBE NA CAMERA YETU JUMATATU JULY 14,2014
Katikati ya viunga vya Mji wa Bukoba,Majira ya saa tano asubuhi ya Jumatatu July 14,2014 , Camera yetu inakutana Uso kwa uso na Dr. Abas Byabusha pichani.Dr. Abas Byabusha ni Mtanzania na Mdau wetu...
View ArticleKUHUSU KAFULILA KUHOJIWA NA TAKUKURU JUU YA ESCROW
Na Mwandishi wetuMbunge wa Kigoma kusini David Kafulila amehojiwa na kuwasilisha ushahidi wake kwa maandishi kuhusu suala la tuhuma za wizi katika akaunti ya Tegeta Escrow huku akieleza sababu zake...
View ArticleIBADA YA KUMBUKUMBU YA MIAKA 5 KIFO CHA MA'ROOZA BENEDICTO KATANYEBILE
Leo tarehe 17, June 2014 ni maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka 5 ya kifo cha Marehemu Ma Rooza Bebedicto Katanyebile Ibada ya kumbukumbu ya Miaka mitano ya kifo cha Marehemu Ma Roosa Benedicto...
View ArticleNEWS :::::: MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YATANGAZWA
http://www.necta.go.tz/matokeo2014/ACSEE.htmP0101 AZANIA CENTREP0104 BWIRU BOYS CENTREP0110 ILBORU CENTREP0112 IYUNGA CENTREP0116 KANTALAMBA CENTREP0119 KIBAHA CENTREP0123 KWIRO CENTREP0129 MARA...
View ArticleTASWIRA IBADA YA KUMBUKUMBU YA MIAKA 5 KIFO CHA MA'ROOZA BENEDICTO KATANYEBILE
Leo tarehe 17, June 2014 ni maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka 5 ya kifo cha Marehemu Ma Rooza Bebedicto Katanyebile Ibada ya kumbukumbu ya Miaka mitano ya kifo cha Marehemu Ma Roosa Benedicto...
View ArticleCHADEMA YAIBUKA KIDEDEA KESI YAO MAHAKAMA YA NJOMBE DHIDI YA MBUNGE WA CCM
MAHAKAMA ya Wilaya ya Njombe imetupia mbali kesi iliyokuwa ikiwakabili viongozi wa CHADEMA mkoani hapa, ya kutishia kummwagia tindikali Mbunge wa Njombe Kaskazini, Deo Sanga (CCM) maarufu kama Jah...
View ArticlePICHA YA LEO KUTOKA PAROKIA YA MT.MARTIN WA PORRES MWANANAMALA
Hivi ndivyo mambo yalivyo kuhusu mavazi yanayotakiwa katika Parokia ya Mt. Martin wa Porres.
View ArticleMSHUKIWA WA UGAIDI MKENYA AKAMATWA TZ
Mmoja wa watuhumiwa wa matukio ya ugaidi nchini Kenya,Jihad Gaibon Swaleh, amefikishwa mahakamani nchini Tanzania. Mshukiwa huyo amesomewa mashtaka ya kufadhili vitendo vya kigaidi nchini Kenya.Pamoja...
View ArticleJELA KWA KUMTUMIA OBAMA BARUA YENYE SUMU
Muigizaji mwanamke nchini Marekani aliyemtumia Rais Barack Obama barua iliyokuwa na sumu ya Ricin amefungwa jela kwa miaka 18.Shannon Richardson, mwenye umri wa miaka 36, kutoka Texas, pia alimtumia...
View ArticleHAKUNA TATIZO LA AJIRA NCHINI BALI FIKIRA BILA TAFAKURI
NA PRUDENCE KARUGENDOKWA sasa kilio kilichotanda nchini ni cha ukosefu wa ajira! Vijana wengi, hasa wanaomaliza elimu ya juu katika vyuo mbalimbali, wanalia na wanachokiita ukosefu wa ajira!Wao...
View ArticleMSANII BEYONCÉ KUWANIA TUZO NANE MTV
Beyoncé anawania tuzo nane katika tuzo za MTV, ikiwemo video bora ya mwaka, msanii bora wa kike na unenguaji bora. Wimbo wake Drunk in Love, alioimba pamoja na mumewe Jay-Z, unapambana na nyimbo kadhaa...
View ArticleHAPPY BIRTHDAY KWAKO KIJANA ASHMIR KHARIFA BIN OMAR
Ndugu yetu ,Kijana Mdau Ash K Bin Amar (Kharifa) Bukobawadau Blog tunazo sababu za kukukumbuka kwa siku ya leo July 18,2014 ambayo unaazimisha siku ya kuzaliwa kwako. #Happy Birthday Kwako Mdau Ashmir...
View ArticleNDEGE YA MALEYSIA IMEANGUA HUKO UKRAINE
Ndege ya Malaysia iliyokuwa ikisafiri kutoka Amsterdam kuelekea Kuala Lumpur imeanguka huko mashariki mwa Ukraine katika mkoa wa Donetsk ambao unashuhudia mapigano makali kati ya majeshi ya...
View ArticleMKURUGENZI WA SEKRETARIETI YA DUNIA YA NISHATI AKUTANA NA BALOZI KAMALA
Mkurugenzi wa Sekretarieti ya Dunia ya Nishati Bwana. Steivan Defilla (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala (katikati) baada ya...
View ArticleUSAJILI WA SAMI KHEDIRA, ASERNAL,CHELSEA ZAFANYIANA UMAFIA !
Sami Khedira hajasaini mkataba na klabu yake ya Real Madrid na yuko mbioni kuondoka. KLABU ya Chelsea imepata nguvu ya kupambana kumsajili Sami Khedira baada ya jumatano usiku wakala wa mchezaji huyo...
View ArticleYALIYOJILI KATIKA BIRTHDAY PARTY YA KIJANA ASHMIR K BIN AMAR (KHARIFA)
Ni matukio ya picha katika Birthday Party ya Kijana Mdau Ashmir K Bin Amar (Kharifa) Usiku wa Ijumaa Jul 18,2014 alipo waalika wadau kadhaa katika kusheherekea siku yake ya kuzaliwa. Muonekano wa kitu...
View ArticleSHABIKI WA SKYLIGHT BAND AWADATISHA JONIKO FLOWER NA ANETH KUSHABA KWA...
Vijana wa JembeniJembe wa Skylight Band wakitikisa jukwaa kutoa burudani kwa mashabiki wa bendi hiyo Ijumaa iliyopita kwenye viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar.Digna Mbepera, Mary Lucos na Sony...
View Article"NIMEMALIZA USAJILI" ASEMA MOURINHO
Boss wa Chelsea, Jose Mourinho amesema amemaliza kununua wachezaji msimu huu baada ya kukamilisha usajili wa beki wa kushoto Filipe Luis kutoka Atlètico Madrid. Luis ni mchezaji wa nne mpya kusajiliwa...
View Article