Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHAUZI CLASS WAPAGAWISHA NDANI YA LINAS CLUB USIKU WA IDD PILI

Mwimbaji ambaye pia ni Mkurugenzi wa Bendi maarufu ya muziki wa Taarab nchini Tanzania Mashauzi Classic Modern Taarab Isha mashauzi akiwajibika Jukwaani . Mwimbaji na mtunzi mahiri wa nyimbo za taarab...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SKYLIGHT BAND YAFUNIKA MBAYA EID MOSI NDANI YA ESCAPE ONE!

Sam Mapenzi (katikati) akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band ndani ya fukwe za Escape One katika show maalum kwa ajili ya kusheherekea sikukuu ya Eid-El Fitr huku akipewa back Vocal na Sony...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HARUSI YA ADELIUS MUTAYUGA NA FLORIDA KOKUTUMBULUKA YAFUNIKA

Ni  furaha kubwa kwa Bwana Harusi Adelius Mutayuka na Bibi Harusi  Florida Kokutumbulika mara baada Ibada ya ndoa takatifu iliyokuwa ikiendelea katika kanisa la RC Bukoba Cathedral lililopo barabara ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JACKLINE KIMAMO AWA MISS REDD'S KAGERA 2014!

Mshindi wa taji la Redd's Miss Kagera 2014  Miss Jacline Kimamo  mara baada ya kutwa taji hilo usiku wa leo katika shindano liliofanyika ndani ya Ukumbi wa Linas Night ClubRedd's Miss Kagera 2014  Miss...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISA YA SHUKURANI KUMBUKUMBU YA KIFO BIBI ANGELINA GODWIN KIKUMI WA...

Matukio mbalimbali katika, Shughuli ya Ibada ya misa ya shukurani kumkumbuka marehemu Angelina Kikumi,wa Kijijini Bweyunge Kanyigo Mdau Amani Kajuna  katika mpango mzima wa kuchukua matukio kupitia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIEMBENI WATWAA UBINGWA KAGASHEKI CUP 2014

TIMU ya Kata ya Miembeni mitaa ya Uzunguni Bukoba LEO imefanikiwa kutwaa Ubingwa wa michuano ya kuwania Kombe la Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini KAGASHEKI CUP 2014 baada ya kuinyamazisha Makirikiri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KWA UMMA;YAH: KUTOSHIRIKI AWAMU YA PILI YA BUNGE MAALUM LA KATIBA.

YAH: KUTOSHIRIKI AWAMU YA PILI YA BUNGE MAALUM LA KATIBA.Mtakumbuka kuwa Chama chetu kwa kushirikiana na vyama vingine vinavyoounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) tuliamua kutoka katika Bunge...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA POLISI FEKI ALIYE KAMATWA DAR

Polisi huyu kwa mujibu wa mashuhuda eneo la tukio ni kuwa alikuwa mtumishi wa jeshi la polisi miezi miwili iliyopita ila akatimuliwa kwa utomvu wa nidhamu Lakini aliendelea kutumia nguo za jeshi hilo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHUJAA BAND KUPAGAWISHA BUKOBA AUG 14,2014 NDANI YA LINAS NIGHT CLUB

Wanaitwa Shemeji Invest wakishirikiana na Ibracadabra wanakuletea ile Band bora,Mashujaa Music Band,watoto wa mama Sakina,siku ya tarehe 14/08/2014, Hii itakuwa  mle mle ndani ya ukumbi wa Lina's night...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAMBO TANZANIA WAENDELEA KUSADIA JAMII MKOANI KAGERA

Dr. Mary Banda pichani Mwanzilshi wa shirika la kujitolea lisilo la serikali (nonprofit humanitarian organization of volunteers )lijulikanalo kama 'Jambo Tanzania'shirika hilo lilianzishwa mwaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI WA TANZANIA UBELGIJI AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI LIEGE - UBELGIJI

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye tai) akiwa katika picha ya pamoja na Watanzania wanaoishi Ubelgiji baada ya kumaliza mazungumzo nao leo Liege - Ubelgiji

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHECK SUPRISE BIRTHDAY PARTY YA MREMBO DYNER @TRANSIT HOTEL THE WALKGARD

Ni matukio ya  suprise birthday party ya Mwanadada Dyner Van Jimmy pichani,aliyofanyiwa na rafiki zake Nancy Nafsa na Kijana Mkhusini ,iliyoweza kufana ile mbaya ndani ya Transit Hotel The Walkgard -...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHIKU ABWAO; NITAKUWA WA MWISHO KUISALITI CHADEMA

Kwenye mkutano na waandishi wa habari leo, Dodoma Hotel, Mjumbe wa Kamati ya Chama na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Iringa, Chiku Abwao ametoa kauli nzito akisema atakuwa mtu wa mwisho kusaliti CHADEMA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Skylight Band inakuletea mkesha wa Nane nane ndani ya Escape One usiku wa leo

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHUJAA BAND KUPAGAWISHA BUKOBA AUG 14,2014

Wanaitwa Shemeji Invest wakishirikiana na Ibracadabra wanakuletea ile Band bora,Mashujaa Music Band,watoto wa mama Sakina,siku ya tarehe 14/08/2014,Ndani ya ukumbi wa Lina's night clab. Mashujaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUDA MCHACHE ULIOPITA NA CAMERA YETU LEO AUG 8,2014

Ndani ya Manispaa ya Mji wa Bukoba, Haki Street maarufu kwa jina la OneWay. Hekaheka za hapa na pale zikiendelea katika mtaa huu maarufu kwa Wafanyabiashara wa bidhaa za Jumula.Bidhaa mbalimbali zikiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SI MCHEZO YALIYOJILI KATIKA SEND OFF YA MREMBO IRENE KAYUNGA

Matukio yaliyojili wakati wa tafrija maalum ya kumuaga Biharusi mtarajiwa Bi Irene Kayunga (pichani kulia)na kumtakia kila la heri katika maisha yake mapya ya ndoa ambayo anataraji kuifunga hivi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBA YA KWELI ITAPATIKANA NJE YA BMK

NA PRUDENCE KARUGENDOPAMOJA na baadhi ya wananchi,  akiwemo Mwenyekiti  wa Bunge Maalumu la Katiba, Samweli Sitta, kuonekana wanabeza kwamba kujiondoa kwa Ukawa kwenye Bunge Maalumu la Katiba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAZAMA PICHA NA SIKILIZA AUDIO:UFUNGUZI WA CHUO CHA UALIMU ERA-BUKOBA AUG...

 MAatukio  katika Sala ya ufunguzi wa CHUO CHA UALIMU ERA  iliofanika Jumapili Aug 10,2014 maeneo ya chuo cha ERA kilichopo katika kata ya Kitendagulo-Kijiji cha Kagemu Manispaa ya BukobaMh.Balozi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERENGETI FIESTA 2014 SAMBAZA UPENDO.......NI SHEEEEEDAH!!

Tamasha la Serengeti Fiesta kwa mara ya kwanza ndani ya Mji wa Bukoba linatarajiwa kurindima siku ya Ijumaa Aug 15,ndani ya Uwanja wa Kaitaba,Tayari sehemu ya wadau wamewasili mjini hapa usiku huu...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live