Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Angela Simmons,Ne-Yo,Lance Gross,Dwight Howard & More Attend LudaDay’s...

 It was nothing but love in the city of Atlanta last night as Ludacris kicked off his annual LudaDay Weekend with a charity bowling event. A ton of celebrities were spotted on the scene at Bowlmar...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMACHUMU YETU AUG 31,2014

 Camera yetu ndani ya Mji wa kihistoria wa Kamachumu Kamachumu ni moja  ya Kata iliyopo  Wilaya ya Muleba katika Mkoa wa KageraBugonzi Water falls,haya ni maporomoko ya maji yaliopo Kamachumu ,maeneo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSANII DIAMOND AOKOLEWA NA POLISI HUKO UJERUMANI!!

Sehemu ya ukumbi ulioharibiwa vibaya na mashabiki mjini Stuttgart, Ujerumani. Usiku wa Jumamosi Agosti 30, 2014, majira ya saa 10 alfajiri, mwanamuziki nyota wa Bongo Flavor, Nasib Abdul maarufu kama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA UBELGIJI YA TPF SAMBRE YAANZA KUFANYA KAZI TANZANIA

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (wa pili kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi wa kampuni ya ushauri ya TPF Basse Sambre baada kukutana nao leo ofisini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAELEZO YA MGOMBEA WA BAVICHA TAIFA FRANCIS BONIFACE MARWA

 UTANGULIZI Ndugu zangu watanzania, awali ya yote niwashukuru sana, ninyi nyote mtakaobahatika kukutana na huu ujumbe wangu mahususi ndani ya mitandao hii ya Kijamii, magazetini ama kupitia chombo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOYO WA MBOWE UNAPASWA UPONGEZWE NA KUIGWA

NA PRUDENCE KARUGENDOUCHAGUZI unaoendelea ndani ya Chadema ni mfano wa kuigwa katika medani ya kisiasa. Ni wa kuigwa katika mambo kadhaa kama nitakavyoeleza hapa chini.Kituko ni kwamba wakati uchaguzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

'NEVER GIVE UP' NDIO KIPENGERE CHETU USIKU WA LEO SEP 1,2014 - CREDIT MUBELWA...

Kipengere hiki kimeandaliwa na Mdau Mubelwa Bandio pichani, Bonyeza kitufye cha Play hapachini kumsikiliza.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ATHARI ZA MAAFA YA UKAME ZINAPUNGUZIKA

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu, Bi. Jane Mutagurwa akiwasisitiza Wataalam katika Sekta ya Kilimo, Mifugo, Afya, Elimu na Utawala wa kata ya Mwamalasa, Masanga na Langana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZEE MOI ATIMIZA MIAKA 90

Rais mstaafu wa Kenya Daniel Moi anatimiza miaka 90 hii leo na vyombo vya habari vimekuwa vikimzungumzia kwa wema na hata kumsifu. Kunao wanaomuona mzee Moi kama mtu muovu hasa wale walioteswa chini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUFIA ANGANI KWA MJUSI KAFIRI WATANO WAKIFANYIWA UTAFITI

Mjusi Kafiri watano waliopelekwa katika anga ya juu kama sehemu ya utafiti kuhusu maisha yao na wanavyojamiiana wamefariki. Shirika la uchunguzi wa nga za juu la Urusi, limesema kuwa Mjusi Kafiri hao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU GAVANA WA KANDA YA BRABANT WALONIA AKUTANA NA BALOZI KAMALA

Kulia ni Naibu Gavana wa Kanda ya Brabant Walonia ya Ubelgiji Mhe. Issable Kibassa Maliba akimkabidhi zawadi Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala baada kumaliza mazungumzo naye....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FIKA KABAGO SHOP KWA MAHITAJI MBALIMBALI

 KABAGO SHOP  Bukoba Wasambazaji na wauzaji wa jumla wa bidhaa mbalimbali. Ndani ya KABAGO Shop utapata kutimiziwa haki ya kuchagua aina mbali mbali ya bidhaa na huduma zenye ubora wa kutosha kwa bei...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIONGOZI WA AL SHABAAB ASHAMBULIWA

Wanajeshi wa Marekani wamefanya mashambulizi ya angani dhidi ya msafara wa magari ya mmoja wa viongozi wa kundi la Al Shabaab nchini Somalia.Haijulikani ikiwa kiongozi wa kundi hilo, Ahmed Abdi Godane...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UHAMISHO MKUBWA MSIMU HUU 'USAJILI EPL'

Angel Di Maria [Real Madrid - Manchester United] pauni milioni 59.7 Alexis Sanchez [Barcelona - Arsenal] Pauni milioni 35 Diego Costa [Atletico Madrid - Chelsea] pauni milioni 32Eliaquim Mangala [FC...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI KAMALA AKUTANA NA MEYA WA MANISPAA YA COVVIN UBELGIJI

Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala (katikati) amekutana na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Covvin ya Ubelgiji Bwana Raymond Douniaux (kulia). Balozi Kamala  amemuomba Mhe Meya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI KAMALA AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU WA KAMPUNI YA DELANOUT YA UBELGIJI

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye miwani) akimkabidhi zawadi ya mwamvuli unaotangaza vivutio vya Utalii Tanzania Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya DELANOUT ya Ubelgiji Bwana....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPPY 14TH WEDDING ANNIVERSARY TO MR & MRS DATUS RWIHULA

 Leo ni kumbukumbu ya agano la ndoa kati Bi Grace Rwihula na Mme wake mpendwa Mr. Datus Rwihula ikiwa ni miaka 14 iliyopita.Kupitia Status ya WhatsApp na account yake ya Instagram Mr Datus ameweka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI KAMALA ATEMBELEA KAMPUNI INAYOTENGENGEZA NYUMBA ZA MBAO ZA GHARAMA NAFUU

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (aliyevaa miwani) akiwa katika picha ya pamoja na wamiliki wa kampuni ya Ubelgiji inayotengeza nyumba za mbao za gharama nafuu. Wa pili kulia ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ORIGINAL IPAD INAUZWA KWA BEI SAWA NA BURE WASILIANA NA MUUZAJI KWA SIMU NO:...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMBO YA WALIMWENGU

Haaahh Rafiki yangu Rama Msangi  anasema;' eti huuyu alitaka kuandika kuna vichwa vipya na anataka akanunue abadilishe chake maana alicho nacho hakifanyi kazi bila shaka!!!'

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>