UANDIKIKISHAJI WANACHAMA 'TANZANIA BLOGGERS NETWRK' (TBN)
Chama cha Wamiliki/Waendeshaji wa Mitandao ya Jamii nchini 'Tanzania Bloggers Network' - TBN kinapenda kuwajulisha wanaotaka kujiunga na chama hicho kuwa fomu za kujiunga zinatolewa. Wahusika ni...
View ArticleRAIS KIKWETE AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU BRIGEDIA JENERALI MSTAAFU HASHIM...
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kuifarijifamilia ya Marehemu Brigedia Jeneral Mstaafu Hashim Mbita Temeke Chang'ombe jijini Dar es salaam jioni ya leo...
View ArticleHALMASHAURI ZASHAURIWA KUPUNGUZA UTEGEMEZI WA RASILIMALI ZA KUKABILI MAAFA
Na. Mwandishi Maalum.Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Halima Dendego amezitaka Halmashauri za mkoani humo kupunguza utegemezi wa rasilimali za kukabili maafa kutoka kwa wafadhili wa nje badala yake zitumie...
View ArticleYANATOKEA KATIKA MAHUSIANO
Najua ni usiku sasa, wengine wamelala wengine bado kidogo, katika wale tulioko katika mahusiano na tunalala na wapenzi wetu tuko wa aina mbili kwa muda huu, wako ambao muda huu wana tamani usiku...
View ArticleVURUGU ZAZUKA MJI WA BALTMORE MAREKANI
Vurugu kubwa za mapigano baina ya polisi na waandamanaji zimetokea nchini Marekani katika mji wa Boltimore, baada ya maziko ya kijana Freddie Gray ambaye alikufa kutokana kujeruhiwa alipokuwa mikononi...
View ArticleBALOZI KAMALA ASHIRIKI KONGAMANO LA KIMATAIFA LA BIASHARA UBELIGIJI
Balozi wa Tanzania Ubeligiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala P akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi mbalimbali baada ya Ufunguzi wa Kongamano la Biashara la Kimataifa linalofanyika Ubeligiji. Balozi...
View ArticleMISUGUANO NDANI YA NDOA !
Matatizo na misuguano mingi ndani ya ndoa husababishwa na mwanandoa mmoja au wote kutaka kuishi maisha kama bado yuko "single" hajaoa au hajaolewa wakati tayari yuko kwenye ndoa, kama ulikuwa...
View ArticleMAISHA YA FLOYD MAYWEATHER NJE YA ULINGO
Likitokea pambano la kutumia pesa kati ya Mayweather na Manny basi hakutakua na ubishi nani atashinda kati ya hao wawili. Mshindi tungemjua mapema ni Floyd Mayweather, lakini kwenye hili pambano la...
View ArticleBALOZI KAMALA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KONGAMANO LA KIMAITAIFA LA BIASHARA...
Balozi wa Tanzania Ubeligiji, Laxembourg na Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala (wa kwanza kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi Kutoka Nchi Mbamlimbali Duniani Baada ya Ufunguzi...
View ArticleJESHI LA NIGERIA LAWAOKOA MABINTI 293
Jeshi la Nigeria limesema limewaokoa watoto wa kike mia mbili na tisini na tatu kutoka katika kambi ya Boko Haram iliyoko katika msitu wa Sambisa, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo. Jeshi hilo limesema...
View ArticlePROF TIBAIJUKA ADHAMINI MAFUNZO YA WAENDESHA PIKIPIKI WILAYANI MULEBA
Waendesha pikipiki maarufu bodaboda kutoka jimbo la Muleba kusini wakiwa kwenye mafunzo ya sheria za usalama barabarani chini ya ufadhili wa Mbunge wa Jimbo hilo Profesa Anna Tibaijuka na kuendeshwa na...
View ArticleBENKI YA POSTA YAJIVUNIA UTENDAJI BORA KWA MWAKA 2014 ULIYOIPA FAIDA NONO
Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB) Sabasaba Kitewita Moshingi, akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati wa kutangaza utendaji wa benki hiyo kwa...
View ArticleBALOZI KAMALA ABAINISHA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI ZINAZIPATIKANA TANZANIA
Balozi wa Tanzania Ubelegiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akibainisha fursa za biashara na uwekezaji zinazopatikana Tanzania katika Kongamano la Biashara na Uwekezaji linalofanyika Genval...
View ArticleOFISI YA WAZIRI MKUU, YATEMBELEA MAENEO YALIYOPATA MAAFA MTWARA.
Mkurugenzi wa Idara ya Uratibu wa shughuli za Kuratibu Maafa, Brig. Jen, Mbazi Msuya akikagua maafa yaliyosababishwa na mvua katika kalvati la barabara ya mbae inayounganisha vijiji vya Mbae na...
View ArticleNEW VIDEO:JOH MAKINI NUSU NUSU
Ni ngoma mpya ameachia Joh Makini inakwenda kwa jina la Nusu Nusu. Itazame hapa chini.
View ArticleCLOUDS FM YASHINDA TENA TUZO YA UBORA YA SUPERBRAND KWA MARA YA TATU AFRIKA...
Picha ya pamoja ya baadhi ya makapuni binafsi waliopewa tuzo bora za viwango,kutoka shoto ni Bi.Dorothy Mashamsham kutoka kampuni ya Mafuta ya PetrolFuel,Mkurugenzi Mtendaji wa ITV/Radio One Bi Joyce...
View ArticleTAMKO LA UKAWA KUHUSU; UCHAGUZI MKUU, KURA YA MAONI NA MWAFAKA WA MAJIMBO
UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI (UKAWA),DAR ES SALAAM,TANZANIA.TAARIFA KWA UMMA,DAR ES SALAAM, ALHAMIS, 30 APRIL 2015 UCHAGUZI MKUU OKTOBA 2015 LAZIMA, KIKWETE ASIONGEZEWE MUDA, KURA YA MAONI BAADAEVyama...
View ArticleKILA KITU UWA NA SABABU IVYO USIMHUKUMU MTU BILA KUJUA CHANZO CHA MKASA!
Daktari aliingia hospitalini kwa haraka sana baada ya kuitwa kwa shughuli ya Upasuaji wa haraka, alipokea simu haraka, na kuvaa nguoza kazi na kuelekea moja kwa moja kwenye chumba cha upasuaji. Wakati...
View Article