Wanaonekana Watoto wa familia ya mpendwa wetu,Mwalimu wetu Mzee Mzee Benjamini Kabindo Tinkaligaile wakiwa tayari kuweka maua kwenye kaburi la Baba yao mzazi .
Mpendwa wetu Mzee Benjamini Kabindo Tinkaligaile pichani enzi za uhai wake
Wanafamilia wakiendelea kushiriki Ibada ya Mazishi ya Mpendwa wao Mzee Benjamin Tinkaligaile yaliyofanyika nyumbani kwao Kijijini Ihembe Karagwe
Sehemu ya Waombolezaji waliohudhuria mazishi ya mzee wetu Mwalimu Benjamin Tinkaligaile
Kaka Benko akitoa neno la Shukrani kwa watu wote na waliowafariji kwa njia moja ama nyingine
Watoto wa Marehemu wakiongozwa na Kaka yao Bencolias Tinkaligaile wakiweka shada la maua
Mmoja wa Wajukuu akiweka shada la Maua
Mama Mjane wa Marehemu wakati akielekea kuweka shada la maua kwenye kaburi la mpendwa mme wake
Meneja wa Tanroads Mkoa Kagera akiweka shada laa maua kwenye kaburi la mpendwa wetu Mzee Benjamin Tinkaligaile
Meneja wa Tanroads Mkoa Kagera akiweka shada laa maua kwenye kaburi la mpendwa wetu Mzee Benjamin Tinkaligaile
Bwana BekaTinkaligaile pichani kulia akifarijiana na marafiki wa familia.
Moja wa mwanafunzi aliyepata kufundishwa na Mwalimu Benjamin Tinkaligaile
Mpendwa wetu Mzee Benjamini Kabindo Tinkaligaile pichani enzi za uhai wake
Wanafamilia wakiendelea kushiriki Ibada ya Mazishi ya Mpendwa wao Mzee Benjamin Tinkaligaile yaliyofanyika nyumbani kwao Kijijini Ihembe Karagwe
Sehemu ya Waombolezaji waliohudhuria mazishi ya mzee wetu Mwalimu Benjamin Tinkaligaile
Kaka Benko akitoa neno la Shukrani kwa watu wote na waliowafariji kwa njia moja ama nyingine
Watoto wa Marehemu wakiongozwa na Kaka yao Bencolias Tinkaligaile wakiweka shada la maua
Mmoja wa Wajukuu akiweka shada la Maua
Mama Mjane wa Marehemu wakati akielekea kuweka shada la maua kwenye kaburi la mpendwa mme wake
Meneja wa Tanroads Mkoa Kagera akiweka shada laa maua kwenye kaburi la mpendwa wetu Mzee Benjamin Tinkaligaile
Meneja wa Tanroads Mkoa Kagera akiweka shada laa maua kwenye kaburi la mpendwa wetu Mzee Benjamin Tinkaligaile
Bwana BekaTinkaligaile pichani kulia akifarijiana na marafiki wa familia.
Moja wa mwanafunzi aliyepata kufundishwa na Mwalimu Benjamin Tinkaligaile