Ni simanzi kubwa kwa Wanafamilia ya Mzee Mwijage wa Kitobo - Kiziba
Wanafamilia ya Mpendwa wetu Mzee Mwijage wakishiriki Ibada ya Mazishi ya mzazi wao iliyofanyika katika kanisa Katoliki la Kitobo Wilayani Mishenyi Ijumaa ya leo July 19,2019 mazishi yaliyohudhuriwa na umati mkubwa wa waombolezaji
Muendelezo wa matukio ya picha
Mbunge wa Jimbo la Nkenge Dk. Deodorus Kamara akibadilishana mawazo na Ndugu Muzzo mara baada ya mazishi ya mjomba wake Mzee Mwijage
Sehemu yaWaombolezaji waliohudhuria msiba huo
Taswira muda mchache kabla ya kuelekea Kanisani kwa ajili ya Ibada ya mazishi.
Picha kwa ajili ya kumbukumbu #MazishiyaMzeeMwijage
Ndugu Ishengo Bilikwija akibadilishana mawazo na mmoja wa marafiki wa familia aliyefika msibani hapa kuwafariji
Picha kwa ajili ya kumbukumbu #MazishiyaMzeeMwijage
Katika picha kwenye Jeneza lenye mwili wa mme wao mpendwa.
Poleni sana ndugu kwa kumpoteza mzee wenu.
Endelea kuwa nasi kwa matukio zaidi ya picha
Wanafamilia ya Mpendwa wetu Mzee Mwijage wakishiriki Ibada ya Mazishi ya mzazi wao iliyofanyika katika kanisa Katoliki la Kitobo Wilayani Mishenyi Ijumaa ya leo July 19,2019 mazishi yaliyohudhuriwa na umati mkubwa wa waombolezaji
Muendelezo wa matukio ya picha
Mbunge wa Jimbo la Nkenge Dk. Deodorus Kamara akibadilishana mawazo na Ndugu Muzzo mara baada ya mazishi ya mjomba wake Mzee Mwijage
Sehemu yaWaombolezaji waliohudhuria msiba huo
Taswira muda mchache kabla ya kuelekea Kanisani kwa ajili ya Ibada ya mazishi.
Picha kwa ajili ya kumbukumbu #MazishiyaMzeeMwijage
Ndugu Ishengo Bilikwija akibadilishana mawazo na mmoja wa marafiki wa familia aliyefika msibani hapa kuwafariji
Picha kwa ajili ya kumbukumbu #MazishiyaMzeeMwijage
Katika picha kwenye Jeneza lenye mwili wa mme wao mpendwa.
Poleni sana ndugu kwa kumpoteza mzee wenu.
Endelea kuwa nasi kwa matukio zaidi ya picha