Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAJASIRIAMALI KUONYESHA BIDHAA ZAO JIJINI MWANZA, SEPTEMBA 26, 2015.

Baadhi ya Wajasiriamali wakiwa katika maonyesho ya bidhaa mbalimbali kwenye kongamano la wajasiriamali lililofanyika Hoteli ya Mbezi Garden mapema mwaka huu. Kongamano la namna hiyo linatarajiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKAWA WATANGAZA MAJIMBO WALIYOGAWANA KATIKA UCHAGUZI MKUU

 Kaimu Katibu Mkuu wa Chama cha NCCR-Mageuzi,  Nderakindo Kessy (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Makao Makuu ya chama hicho, Ilala Dar es Salaam jana, wakati akitangaza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dkt John Pombe Magufuli alipotambulishwa kwa wazee wa Dar es salaam ukumbi wa...

 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahma Kinana alipokuwa anawasili kwenye hafla ya kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MJESHI HAKIMU MBAGWA AUAGA UKAPELA

Kama kawaida kutokana na ubora wa Mwanalibeneke wenukwa coverage kubwa ya matukio na Uwezo wa kipekee wa kupiga picha,Bukobawadau Blog tunapata tenda ya kuchukua matukio ya harusi hii ya kihistoria. Ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JARIBU HAPA KUPIGA KURA YA MAONI URAIS 2015

UCHAGUZI MKUU 2015 UNGEFANYIKA SASA KURA YAKO UNGEMPIGIA NANI? PIGA KURA YAKO KWA KUBONYEZA SEHEMU YA SANDUKU HUSIKA LA KURA YA MAONI HAPA CHINI UCHAGUZI MKUU 2015 UNGEFANYIKA SASA KURA YAKO UNGEMPIGIA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAMES MBATIA AKABIDHI ZAWADI KWA BINGWA WA MASHINDANO YA JIMBO LA VUNJO...

Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi,James Mbatia akiwasili katika uwanja wa Himo Polisi kwa ajili ya kushuhudia fainali ya Mashindano ya Kombe la Jimbo ,maarufu kama Mbatia Cup 2015.Mwenyekiti wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wasanii kuipigia debe CCM na tamasha la MAMA ONGEA NA MWANAO 2015

Mwenyekiti Msaidizi wa Tamasha la MAMA ONGEA NA MWANAO 2015 litakaloipigia kampeni CCM, Wema Sepetu akizungumza na wanahabari leo jijini Dar es Salaam juu ya tamasha na kampeni zao. Kutoka kulia ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

STANBIC TANZANIA YAISAIDIA PTA KUWEKEZA BILIONI 32 SOKO LA HISA DSM

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Stanbic Tanzania Ken Cockerill akiongea na wa habari kuhusiana na benki hiyo ilivyofanikisha Benki ya PTA kuwekeza amana zenye thamani ya shilingi 32.6bn kwenye Soko la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

REDDS MISS TANZANIA 2015 NA MISS KENYA WATEMBELEA HOSPITALI YA CCBRT...

 Miss Kenya, Idah Nguma. Redds Miss Tanzania 2015, Lilian Kamazima. Redds Miss Tanzania 2015, Lilian Kamazima (kushoto), akiwa na Miss Kenya, Idah Nguma baada ya kuwatembea wagonjwa katika hospitali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO/PICHA HISTORIA YA MTI AINA YA 'MJUJU' KWA JAMII YA WAHAYA

Katika pitapita zetu za hapa na pale ,Camera ya Bukobawadau Media ikiwa maeneo ya Kibeta inakutana na tukio la Mti huu aina ya 'Mjuju' wenye historia ya aina yake kwa wananchi wakazi wa Mkoa wa Kagera...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFUTE MACHOZI NEEMA,MPE TABASAMU

Kwa watanzania wengi, hii si habari/stori mpya. Labda cha kukumbusha tu ni kuwa Neema bado yuko hospital ya taifa muhimbili na anahitaji msaada wako. Neema mwenye miaka 31, mama wa watoto 3, aliyekaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ACTKigoma2015 timu ya Kigoma

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HONGERA 'RMK' RAMADHANI WA KAMBUGA KWA TUKIO HILI !!

 Mbele ya Camera yetu ni Shabiki mkubwa  na mpenzi wa mtandao wa Bukobawadau,Ndugu Ramadhani Kambuka (RMK) ,akiwa ametulia pembeni ya gari aina ya Toyota Land Cruiser V 8,kitindo kinacho pelekea tumpe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

GLOBAL EDUCATION LINK (GEL) YASAFILISHA WANAFUNZI KWENDA KUSOMA NCHINI INDIA

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Education Link (GEL) ambao ni wakala wa vyuo vya nje ya nchi, Abdulmalik Mollel akiwa ameambatana na wafanyakazi wa kampuni hiyo kuwasindikiza wanafunzi 30...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

“SIASA ZA BUKOBA” KIGANJANI KWAKO

“SIASA ZA BUKOBA” KIGANJANI KWAKO! Bukoba Wadau Media inapenda kuwafahamisha Wazawa wa Bukoba walioko nje ya Majimbo ya Bukoba kuwa imefungua Jukwaa la Whatsapp kwa jina “SIASA ZA BUKOBA” ili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MH SUMAYE AJITOA RASMI CCM NA KUJIUNGA UKAWA

 Waziri Mkuu mstaafu, Fredreck Sumaye (kushoto), akizungumza na wanahabari wakati akitangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Ukawa), leo mchana. Waziri Mkuu mstaafu, Fredreck Sumaye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAANDALIZI YA UZINDUZI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU CCM YAKAMILIKA, MAGUFULI,...

 Katibu Muenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhan Juma 'Gadafi' akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisi kwake leo asubuhi, kuhusu kukamilika kwa maandalizi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPPY BIRTHDAY BLOGGER MC BARAKA

Leo Aug 23 ni siku ya kuzaliwa kwangu Mwanalibeneke Mc Baraka,Namshukru sana mwenyezi mungu kwa kunilinda mpaka kufika hapa nilipo,namshukuru Mola kwa kunipa nguvu na ujasili wa kupambana na misukosuko...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DOZI YA JUMAPILI AUG 23:SIO TU UDHAIFU BALI KUKOSA UTU NA NIDHAMU MBOVU

SIO TU UDHAIFU BALI KUKOSA UTU NA NIDHAMU MBOVU Inakuwaje ktk ndoa mkeo anaweza kuvumilia nakuutiisha mwiliwake kwenye kuhitaji tendo la ndoa ili tu akusubiri nyakati unaumwa, umesafiri, unasikia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KILOMETA 6,276 ZA BARABARA ZAJENGWA NCHINI KWA MIAKA 10

Wakati wakandarasi walipokuwa wanajenga daraja hili katika eneo la Miangalua kwenye barabara ya Tunduma-Sumbawanga mwaka 2011. Barabara hiyo sasa imekamilika.Barabara ya Mwanza-Musoma iko katika hali...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live