KUTOKA VIWANJA VYA JANGWANI UZINDUZI WA KAMPENI ZA CCM KITAIFA 2015
Matukio ya picha kutoka Viwanja vya Jangwani Jijini Dar,Ufunguzi wa Kampeni za CCM kitaifa 2015Magufuli: Natambua kiu yenu ya kutaka mabadiliko, nawahakikishia kuwa shida na matarajio yenu navijua...
View ArticleWAZIRI MKUU AKABIDHI MSAADA WA MAGARI YA WAGONJWA KWA HOSPITALI ZA WASSO NA...
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Florens Turuku (mwenye tai) akieleza umuhimu wa magari ya wagonjwa kwa Hospitali za Wasso na Enduleni za Wilayani Ngorongoro mkoani Arusha wakati wa kukabidhi msaada...
View ArticleTHE PICHA LOWASSA NDANI YA DALADALA
Picha mbalimbali zikimuonesha Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Ndugu Edward Lowassa akiwa ndani ya daladala alilopanda Kituo cha Gongolamboto mwisho kuelekea Chanika,...
View ArticleDK MAGUFULI AHAMISHIA MAFURIKO YA KAMPENI ZA CCM MKOANI KATAVI
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, John Magufuli akihutubia wakati wa mkutano wa kampeni katika Uwanja wa Azimio mjini mjini Mpanda, mkoani Katavi Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimtambulisha...
View ArticleMAGUFULI AITIKISA KATAVI,WAZIRI MKUU PINDA AMNADI KWA KISHINDO.
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, John Magufuli akihutubia wakati wa mkutano wa kampeni katika Uwanja wa Azimio mjini Mpanda, mkoani Katavi.Copy the BEST Traders and Make Money (One Click) :...
View ArticleUFAFANUZI KWA KUHUSU KASORO ZA BVR NA UWEKAJI WAZI WA DAFTARI LA AWALI LA...
Uboreshaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura kwa kutumia mfumo wa Biometric Voters Registration (BVR) ulikamilika tarehe 04/08/2015 katika Mikoa yote ya Tanzania Bara na Visiwani. Baada ya...
View ArticleWananchi Wamzuia Mgombea Mwenza wa CCM Barabarani Mwanga
[caption id="attachment_61022" align="aligncenter" width="800"] Bi. Samia Othuman Suluhu akipokewa na baadhi ya viongozi na makada wakiwa kwenye mkutano huo.[/caption] [caption id="attachment_61025"...
View ArticleMH. LOWASSA MTAA KWA MTAA LEO
Mgombea urais wa chadema kupitia (UKAWA)Mh.Edward Lowasa aendelea kutembelea baadhi ya maeneo jijini Dar.Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh....
View Article#SiasazaBukoba;CCM yafanikiwa Pingamizi dhidi ya Mgombea Udiwani wa UKAWA...
#SIASAZABUKOBATaarifa Rasmi Mgombea wa Udiwani kupitia Ukawa kata Kashai Ndugu Nuru Kabaju ameondolewa katika KINYANG'ANYIRO hicho kufuatia pingamizi alilowekewa kuhusiana na makosa ya ujazaji wa...
View ArticleLAWRENCE MASHA NA WENZAKE WAFIKISHWA MAHAKAMANI
Aliwahi kuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi Lawarence Masha amefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu Dar es salaam kwa kosa la kutumia lugha ya matusi kinyume na sheria.Baada ya kutuhumiwa...
View ArticleMASHINDANO YA KUTUNISHA MISULI KUFANYIKA AGOSTI 29, 2015 JIJINI DAR
Washindi wa mwaka jana wa Mashindano ya kutunisha misuli (The Most Musicular Man Tanzania 2014) wa kwanza kutoka kushoto ni msindi wa pili, Omary Lyombe, mshindi wa kwanza Mohamed Nouma (katikati) na...
View ArticleKUMBUKUMBU YA MIAKA 3 YA MWENYEKITI WA GLOBAL PUBLISHERS MZEE BUKUMBI...
Picha ya marehemu James Bukumbi ikiwa mbele ya waumini wakati wa ibada leo.Watoto wa marehemu mzee Bukumbi, Eric Shigongo (wa kwanza kulia), Marsha Bukumbi (wa kwanza kushoto) na baadhi ya ndugu...
View ArticleMGOMBEA URAIS DR MAGUFULI KUFANYA ZIARA YA KAMPENI RUVUMA KUANZIA AUGUST 30
MGOMBEA URAIS DR MAGUFULI KUFANYA ZIARA YA KAMPENI RUVUMA KUANZIA AUGUST 30 Picha kutoka maktabaMGOMBEA Urais kupitia chama cha Mapinduzi (CCM) Dr. John Magufuli anatarajiwa kupokelewa na mamia ya...
View Article“SIASA ZA BUKOBA” KIGANJANI KWAKO!
“SIASA ZA BUKOBA” KIGANJANI KWAKO! Bukoba Wadau Media inapenda kuwafahamisha Wazawa wa Bukoba walioko nje ya Majimbo ya Bukoba kuwa imefungua Jukwaa la Whatsapp kwa jina “SIASA ZA BUKOBA” ili...
View ArticleFIRST NATIONAL BANK (FNB) YAFUNGUA TAWI MBEZI BEACH JIJINI DAR
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati) akikata utepe kuzindua rasmi tawi la benki ya First National la Mbezi Beach jana jijini Dar es salaam huku akiambatana na Balozi wa Heshima wa...
View ArticleCHAGUA TIGO PESA
Mkuu wa wa Kitengo cha Huduma za Kifedha wa Tigo, Ruan Swanepoel (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi katika uzinduzi wa kampeni ya Chagua Tigo Pesa,...
View ArticleJPM SUMBAWANGA MJINI
Turn off for: Swahili Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM,Mhe. Mizengo Pinda akimtambulisha mgombea Urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli kwa wakazi wa Sumbawanga mjini kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika...
View ArticleLWAKATARE AZINDUA RASMI KAMPANI UBUNGE JIMBO LA BUKOBA MJINI LEO AUG 26,2015
Ndugu Wilfred Lwakatare ambaye ni Mgombea Ubunge Jimbo la Bukoba Mjini kupitia Chadema na UKAWA akiwahutumia maelfu ya wananchi walihudhuria mkutano wa Uzinduzi wa Kampani uliofanyika leo Aug 26,...
View ArticleMAGUFULI ALIVYOITIKISA WILAYA YA MOMBA,TUNDUMA NA ILEJE LEO
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Tunduma waliofurika kwa wingi katika uwanja wa shule ya msingi...
View ArticleBLOGGERS, EDITORS URGED TO ENSURE PUBLIC MAKES INFORMED CHOICE
Gasirigwa Sengiyumva from MISA Tanzania, giving briefly introduction about the training , asking editors and bloggers there expectation after training and the aim of the Training today .Mr. James...
View Article