NEC YAKABIDHI POLISI MAJINA YA WATU 52,078 WALIOJIANDIKISHA ZAIDI YA MARA...
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Kailima Ramadhan (kushoto), akimkabidhi Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Benedict Wakulyamba orodha ya majina 52,078 ya watu waliojiandika katika...
View ArticleTUICO YAPATA VIONGOZI WAPYA MKOANI MBEYA
Katibu wa TUICO Mkoa wa Mbeya Ndugu Merboth Kapinga akizungumza na wajumbe wa Tuico siku ya uchaguzi uliofanyika katika Ukumbi wa Chuo cha Otu jijini Mbeya.(JAMIIMOJABLOG)Wajumbe wa mkutano wakiimba...
View ArticleMAADHIMISHO YA WIKI NENDA KWA USALAMA BARABARANI YAFANYIKA TEMEKE JIJI DAR ES...
Turn off for: Swahili Mgeni rasmi ambaye ni Mkurugenzi wa Kampuni ya A&T Brothers Co. Ltd Abdulmalik Mollel akuzungumza na wananchi juu ya Kuzuia kabisa mwendo kasi kwa magari makubwa barabara ya...
View ArticleMAGUFULI AHIDI KUANZISHA MAHAKAMA YA MAFISADI NA WALA RUSHWA IWAPO...
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi,Dkt John Pombe Magufuli akihutubia maelfu ya wananchi katika viwanja vya Nzovwe mjini Mbeya jioni ya leo,kwenye mkutano wa...
View ArticleWHO YATOA DAWA ZA MILIONI 42.2 KUPAMBANA NA KIPINDUPINDU NCHINI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Donan Mmbando (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi wakati akipokea msaada huo kutoka WHO. Kulia...
View ArticleWanawake Wamlilia Maji Mgombea Mwenza wa CCM
Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu akiwasikiliza akinamama wakimuelezea kero ya maji baada ya kumsimamisha na kumpa kero hizo Jimboni Longido. Wakinamama wilayani Longido...
View ArticleDK MAGUFULI AVUNJA REKODI YA UKAWA KATIKA MKUTANO WA KAMPENI JIJINI MBEYA
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akitembea kwa miguu baada ya kumaliza kujinadi katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe, jijini Mbeya. PICHA ZOTE NA RICHARD...
View ArticleMBUNGE WA LUDEWA DEO FILIKUNJOMBE APINGWA KUPITA BILA KUPINGWA MCHAKATO WA...
Mgombea Ubunge Jimbo la Ludewa kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Msambichaka Mkinga (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, wakati...
View ArticleTANGAZO LA HIJA NYAKIJOGA MUGANA BUKOBA 06 SEPT. 2015
Ndugu Wapendwa,Tunawaalika katika hija ya kila mwaka ya Nyakijoga Mugana Bukoba; Lurdi ya Bukoba. Itakuwa tarehe 06 Septemba 2015. Mwaka huu hija itaongozwa na Balozi wa Baba Mtakatifu Tanzania, Mha....
View ArticleDUKA JIPYA LA KISASA 'MAMA PAVIN SHOPPING CENTER' WALIOPO JENGO LA BUGABO HOUSE
Karibu Mama Pavin Shopping Center duka jipya na la kisasa la vipodozi na bidhaa mbalimbali lililo funguliwa rasmi hivi karibuni ,Duka hili lipo Jengo la Bugabo House makutano ya barabara ya Arusha...
View ArticleMATUKIO YA PICHA KUTOKA VIWANJA VYA JANGWANI :Uzinduzi wa kampeni za mgombea...
''Viwanja vya kufanyia kampeni tunanyimwa, mazikoni kwenda napo tunakatazwa. Hatuna haki kabisa'' Haji Duni #Jangwani#Urais2015 Lowassa: Hata wakiiba kura wataiba nyingi lakini bado zitabaki za...
View ArticleUZINDUZI WA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI TAIFA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU KUFANYIKA...
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion, waandaaji wa matamasha mbalimbali kama lile la Krismas na Pasaka, Alex Msama (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es...
View ArticleUZINDUZI WA KAMPANI CHADEMA/UKAWA JANGWANI YATAPIKA
Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema kupitia Ukawa, Mh Edward Lowassa akiongea na wakazi wa jiji la Dar waliojitokeza katika uzinduzi wa Kampeni za Ukawa katika viwanja vya Jangwani mapema leo.Mh...
View ArticleCCM Kuondoa Kodi za Hovyo, Yaja na Elimu Bure Hadi IV
Mgombea mwenza wa CCM, Bi. Samia Suluhu (hayupo pichani) akinadi ilani ya Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba. Baadhi ya wanaCCM na wananchi wakimsikiliza mgombea mwenza wa...
View ArticleMAGUFULI AZIDI KUCHANJA MBUGA,AWATAKA WANANCHI WAWEKE IMANI KUBWA KWAKE NA...
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Njombe mjini katika mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika jioni...
View ArticleCHAMA CHA ACT-WAZALENDO CHAZINDUA KAMPENI ZAKE VIWANJA VYA MBAGALA ZAKHEM DAR...
Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Anna Mghwira (kushoto), akihutubia katika uzinduzi wa kampeni ya chama hizo uliofanyika viwanja vya Zakhem Mbagala jijini Dar es Salaam leo....
View ArticleHelikopta ya Nyarandu Anogesha Kampeni za Mgombea Mwenza CCM
Mgombea mwenza wa CCM, Bi. Samia Suluhu akiwa jukwaani akinadi ilani ya Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba. Mjumbe wa Kamati ya Kampeni Taifa, Mwigulu Nchemba ambaye pia ni...
View ArticleMLANGIRA JUSTUCE LUGAIBULA MGENI RASMI KATIKA TAMASHA LA KWAYA LILILOANDALIWA...
Mgeni rasmi katika tamasha la kwaya lililoandaliwa na Kwaya ya Mt. John Bostco ya Bukoba Cathedrala ,Mlangira Justuce Lugaibula pichani na Mke wake Omwana Joilyn Jojo (Jojo) wakiwa katika tamasha hilo...
View ArticleBREAKING NEWS:DR KUZUNGUMZA KESHO
Katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Dkt. Wilbroad Slaa kesho Jumanne Septemba 1, 2015 atavunja ukimya kwa kuongea na wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika...
View ArticleMLANGIRA JUSTUCE LUGAIBULA MGENI RASMI KATIKA TAMASHA LA KWAYA LILILOANDALIWA...
Mlangira Justuce Muganyizi Lugaibura pichani ameweza kuhudhuria kama Mgeni rasmi katika tamasha ya kuadhimisha miaka 33 ya Kwaya ya Mt. John Bosco ya Cathedral Bukoba. Hivi ndivyo Mgeni Rasmi Mlangira...
View Article