Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WARIOBA:KATIBA YA TANGANYIKA INAWEZEKANA KWA MIEZI MITATU

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema Katiba ya Tanganyika inaweza kuandikwa ndani ya miezi mitatu tu kwa kuwa maoni mengi yaliyomo katika Rasimu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE ASEMA WANAOTANGAZA NIA WAMEPOTEZA SIFA

Dar es Salaam. Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema mwanachama yeyote anayetangaza nia ya kuwania nafasi ya urais kabla ya muda mwafaka kutangazwa, anapoteza sifa ya kuwa mgombea.Katibu wa Itikadi na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA MAGAZETINI LEO JUMAMOSI JAN 4,2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MULEBA YAJIVUNIA ZIADA YA MADARASA

Na Edson Kamukara WAKATI wanafunzi wengi wakikwama kujiunga kidato cha kwanza mwaka huu kutokana na uhaba wa madarasa unaozikabiri baadhi ya halmashauri nchini, Wilaya ya Muleba, mkoani Kagera imetamba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA SHUGHULI YA KITCHEN PARTY(MJUBURO) WA BI SHARIFA ATHMAN

 Si vyema kumsifia mtu /mke wa mtu ila panapo ukweli lazima tuseme mtoto wa kihaya hakika ameumbika! Hatua moja baada ya nyingine Bi Sharifa Athman akiingia ndani ya ukumbi wa Linas Night Club Bi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHUGHULI YA NDOA YA MAHARUSI BWA.BADRU SAIDI (MANGI) SAIDI NA BI SHARIFA ATHMAN

Ndani ya Msikiti wa Bilele, uliopo kati ya mtaa wa Felix Rwamugira na Uhuru ndani ya Manispaa ya Mji wa Bukoba,kinachoshuhudiwa sasa ni shughuli ya ndoa ya Bwana Badru Saidipichani katikati na Bi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPPY BIRTHDAY MDAU BEN KATARUGA

Good wishes are there for good onesMay God reply your hopes and brighten your wishes positively dear friend.Bukobawadau would like to wish you a happy and prosperous life.May God help you and live...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAAZIMIO YA KIKAO CHA DHARURA CHA KAMATI KUU YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA...

UTANGULIZIKamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ilikaa kikao cha dharura ili kupokea, kujadili na kuamua juu ya utetezi wa mashtaka ya ukiukaji wa Katiba, Kanuni na Mwongozo wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE NA MAKAMU DKT. BILAL WAWAONGOZA WANANCHI KUTOA HESHIMA ZA MWISHO

Rais Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete, wakitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Waziri wa Fedha, marehemu Dkt. William Mgimwa, wakati wa shughuli za kuaga mwili huo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJUMBE MAALUM KUTOKA KWA SHIGONGO

Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo.Hiki ndicho ninachokifahamu mimi ndugu yenu.Maisha ni vita, maisha ni mapambano na mtindo pekee wa kukusogeza mbele ni kupigana! Hata uwe mwema kiasi gani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NI KWELI NYERERE KAFA KWA HUZUNI

Na Prudence KarugendoWIKI mbili zilizopita niliandika makala iliyobeba kichwa cha habari cha “Mandela katuachia fundisho, tutalitekeleza?” Katika makala hiyo nilijaribu kuyaangalia maisha ya Mandela,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHECK USHIRIKI WA WADAU KATIKA HAFLA YA USIKU WA WINDHOEK NDANI YA THE...

 Wadau mbalimbali wa Mji wa Bukoba wameweza kushiriki hafla ya Usiku wa Windhoek iliyofanyika usiku wa Jumatatu Jan 6,2014 Katika ukumbi wa Transit Hotel The WalkgardHafla hiyo imeandaliwa na Kampuni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA YATOA MAELEZO KUUMIZWA KWA MWENYEKITI WA CHADEMA WILAYA YA TEMEKE,...

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepokea kwa mshtuko taarifa za tukio la kutekwa, kuteswa na kuumizwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Temeke, Josephat Yona Patrick. Chama kupitia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZITTO AIBUKA KIDEDEA MAHAKAMANI

Dar es Salaam. Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe ameshinda maombi yake dhidi ya chama hicho mahakamani.Katika maombi hayo namba 1 ya mwaka 2014, Zitto ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

'MREMBO'MBARONI KWA DAWA ZA KULEVYA UWANJA WA NDEGE

Kikosi Kazi cha Kupambana na Dawa za Kulevya, Uwanja wa Ndege wa Dar es Salam (JNIA) jana kilimkamata mwanamke mmoja, Salama Omari Muzara akiwa amemeza kete za dawa za kulevya aina ya Heroin ambazo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NIMROD MKONO ATOBOA SIRI ZA ZITTO

Mbunge wa Musoma Vijijini (CCM), Nimrod Mkono ametoa ufafanuzi juu ya uhusiano wake na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe.Hatua hiyo ya Mkono imekuja baada ya Mwanasheria Mkuu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DEATH ANNOUNCEMENT

Samuel Kumalija ChagulaBeloved father, grandparent and dear friend to many Samuel Kumalija Chagula, died peacefully aged 63 on Monday 23rd December at 6:20am in the Royal Free Hospital, Hampstead,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA MAENEO MBALIMBALI JANUARY 8,2014

Wanaonekana Vijana wa kileo wakiwa wamejipanga tayari kuelekea kula bata kule wanapo kujua waoMkusanyiko wa watoto, nje ya mji wa Bukoba siku za mwisho wa juma.Watoto wakifurahia siku. Muonekano sehemu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA SASA WAWAGEUKIA POLISI

Dar es Salaam.Tukio la Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Temeke, Joseph Yona kutekwa nyara, kupigwa na kutupwa katika vichaka eneo la Tegeta na watu aliodai kuwa ni wafuasi wa chama hicho,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUKO BUNDO BABA WA MIAKA 54 AOA MTOTO WA MIAKA MINANE

Bunda. Polisi Wilaya ya Bunda, wanamshikilia baba mwenye umri wa miaka 54 kwa tuhuma kuoa mwanafunzi wa kike wa umri wa miaka minane.Msimamizi wa Dawati la Jinsia katika Kituo Kikuu cha Polisi Bunda,...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>