MAZISHI YA MA' AURELIA TEYOREKERERWA KAJUMULO YAFANYIKA MULEBA MACHI 15, 2016
Jeneza lenye mwili wa Marehemu Ma'Aurelia Teyorekererwa Kajumulo,Mama Mzazi wa Mbunge wa Muleba Kusini, Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka, aliyefariki siku ya Alhamisi tarehe 10 machi 2016Â mnamo saa 2:30...
View ArticleRC PAUL MAKONDA AZUNGUMZA NA WENYEVITI NA MAOFISA WATENDAJI WA JIJI LA DAR ES...
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, akizungumza na wenyeviti na maofisa watendaji wa jiji la Dar es Salaam leo asubuhi kuhusu mambo mbalimbali hasu suala la usafi wa mazingira. Katibu Tawala...
View ArticleTanzanias happy with implementation speed of the proposed construction of the...
By Sultani KipingoTanzanians are happy with the implementation speed of the proposed construction of the Tanzania-Uganda crude oil pipeline which is expected to start in August this year, and will be...
View ArticleMAGAZETINI LEO JUMANNE MACHI 22,2016
BUKOBAWADAU MEDIA tunapenda kukufahamisha kuwa tunao uwezo wa kukupa nafasi ya matangazo katika mtandao wetu pia kwa taarifa au shughuli yotote ili kufikia idadi ya watu unaotaka kokote dunia waweza...
View ArticleKipindi cha redio cha Shuga charudi kwa kishindo
Mratibu wa Ukimwi kutoka Tume ya Kudhibiti ukimwi mkoa wa Njombe – TACAIDS   Abubakari Magege akiongea na washiriki wa kipindi cha redio cha shuga katika uzinduzi rasmi wa msimu mpya wa kipindi hicho...
View ArticleNAIBU SPIKA WA BUNGE AHUDHURIA VIKAO VYA KAMATI ZA BUNGE KATIKA KUMBI ZA...
  Naibu Spika wa Bunge, Tulia Mwansasu (kushoto) akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Sheria Ndogo alipohudhuria kikao cha kamati hiyo kilichoketi katika Kumbi za Benki Kuu (BoT Dar es Salaam...
View ArticleMAMIA WAUAGA MWILI WA BIBI JOSEPHINE SIMON MSHUBUSI, MAZISHI KUFANYIKA BUKOBA...
 Mkurugenzi wa Mabibo Beer, James Lugemarila, (kulia), akziungumza wakati wa ibada ya kuuaga mwili wa marehemu Bibi Josephine Simon Mshumbusi kwenye Kanisa la Kilutheri la Kiinjili Tanzania, KKKT,...
View ArticleRC DAR ES SALAAM APOKEA MSAADA WA MADAWATI 500 KUTOKA TIGO KWA AJILI YA SHULE...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda (kushoto), akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Tigo, Diego Gutierrez mara baada ya kuwasili Shule ya Msingi ya Kawawa iliyopo Manispaa ya...
View ArticleMKUU WA MKOA MPYA WA KAGERA AKABIDHIWA OFISI NA KUANZA KAZI RASMI KWA KUTOA...
Mkuu wa Mkoa mpya wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salim Mustafa Kijuu amekabidhiwa rasmi ofisi na kuanza kutekeleza majukumu yake kama Mkuu wa Mkoa wa Kagera. Makabidhiano hayo yamefanyika siku ya...
View ArticleKAMPUNI YA MABIBO BEER YADHAMINI BONANZA LITAFANYIKA LEADERS CLUB JUMAMOSI...
 Mwonekano wa chupa ya bia ya Windhoek inayosambazwa hapa nchini na kampuni ya Mabibo Beer Wine and Spirits Ltd. Ofisa Mauzo wa Kampuni ya Mabibo Beer Wine and Spirits Ltd  Ismail Mzava (kushoto),...
View ArticleMAZISHI YA MAREHEMU BIBI JOSEPHINE SIMON YALIYOFANYIKA MJINI BUKOBA MARCHI...
Muonekano wa Jeneza lenye mwili wa Marehemu Bibi Josephine K.Simon aliye fariki Machi 18, 2016 Jijini Dar Salaam baada ya kusumbuliwa na malaria na shughuli ya mazishi yake imefanyika siku ya Jumanne...
View ArticleKAMPUNI YA MABIBO BEER YADHAMINI BONANZA LITAFANYIKA LEADERS CLUB JUMAMOSI...
 Mwonekano wa chupa ya bia ya Windhoek inayosambazwa hapa nchini na kampuni ya Mabibo Beer Wine and Spirits Ltd. Ofisa Mauzo wa Kampuni ya Mabibo Beer Wine and Spirits Ltd  Ismail Mzava (kushoto),...
View ArticleMUTFI WA TANZANIA AMUOMBEA DUA MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM, PAUL MAKONDA
 Mufti wa Tanzania, Abubakar Zubery akiwa nyumbani kwake. Mufti wa Tanzania, Abubakar Zubery (wa pili kushoto), akimuombea dua Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda (katikati), Dar es Salaam leo...
View ArticleNAIBU WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO ASHUHUDIA KUORODHESHWA KWA HISA STAHILI ZA...
Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Dkt. Ashatu Kijaji, Mwenyekiti wa Maendeleo Benki, Amulike Ngeliama (kushoto) na Mkurugenzi wa Tafiti, Sera na Mipango wa(CMSA) Nicodemus Mukama wakifuatilia jambo...
View ArticleKAMATI YA BUNGE YA UKIMWI YATEMBELEA MSD
Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Laurean Bwanakunu (mwenye suti nyeusi kushoto), akiwatembeza Wajumbe wa  Kamati Bunge ya Mauala ya Ukimwi waliotembelea MSD Keko Dar es Salaam jana.Mwenyekiti...
View ArticleHAPA NA PALE NA CAMERA YETU MARCH 25,2016
Mbele ya Camera yetu ni Mh.Willy Bukobatours Rutta Diwani wa Ishozi akibadilishana mawazo na Mlangira Focas Lutinwa pichani kulia ambaye yupo Nyumbani kwa sasa kwa ajili ya kusherehekea siku kuu ya...
View ArticleMBIO ZA MAGARI ZA VAISAKH RALLY 2016 ZINAFANYIKA JUMAPILI HII VIWANJA VYA...
Mratibu wa Mashindano ya Mbio za Magari ya Vaisakh Rally 2016 ,Faheem Aloo akiwa na Mwenyekiti wa matukio wa klabu ya Kilimanjaro Motorspot ,Juma Shaaban. Mratibu wa Mashindano ya Mbio za Magari ya...
View Article