Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI: MATUMIZI YA DOLA NCHINI HAYAATHIRI KUSHUKA KWA THAMANI YA SHILINGI

Serikali imesema kuwa kushuka au kupanda kwa thamani ya shilingi nchini hakusababishwi na bidhaa na huduma mbalimbali kutozwa kwa dola bali kunatokana na misingi ya shughuli mbalimbali za kiuchumi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YATAKIWA KULINDA BARABARA ZA LAMI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Joseph Nyamhanga, akitoa ufafanuzi kwa wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu kuhusu hatua zinazochukuliwa katika ulindaji wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASKOFU CHARLES GADI AWAONGOZA WAUMINI KUWAOMBEA WALIOATHIRIKA KWA KIMBUNGA...

 Askofu Charles Gadi  wa Huduma ya Good News for all Ministry (katikati), akiwaongoza waumini wa kanisa lake Dar es Salaam jana,wakati wa kuwaombea walioathirika kwa kimbunga katika miji ya  Florida na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZEE MKOANI KAGERA WANUFAIKA NA VITAMBULISHO VYA KUPATIWA HUDUMA ZA AFYA...

Mkuu wa Mkoa Meja Jenerali Mstaafu Salum M. Kijuu afanya ziara ya kukagua huduma za afya Mkoani Kagera na kuzindua unyunyiziaji wa dawa ya kuua viluilui katika mazalia ya mbu ili kupunguza tatizo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFUGAJI MKOANI KAGERA WATAFUTIWA UFUMBUZI WA MALISHO YA MIFUGO YAO.

Mkuu wa Mkoa ametoa taarifa kwa vyombo vya Habari juu ya suala hilo kama ifuatavyo:TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI  TAREHE 13 SEPTEMBA, 2O17 Ndugu Waandishi wa Habari, Nimewaiteni hapa ili kutoa maagizo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA BREWERIE’S GLOBAL BE(ER) RESPONSIBLE DAY PROMOTES SMART DRINKING

*Tanzania Breweries Limited (TBL) and AB InBev celebrated its annual Global Be(er) Responsible Day on Friday, 15th September 2017. This year’s theme “Drink Smart Today, Celebrate Tomorrow”, is focused...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYUMBA YA MBUNGE ZITTO KABWE YAUNGUA MOTO

Taarifa tulizozipokea muda huu ni kuwa nyumba ya Kiongozi wa Chama, Ndugu Zitto Kabwe ya Mwandiga, Kigoma imeungua moto muda huu. Kamati ya ACT Amani inafuatilia jambo hili. Taarifa zaidi zitawajia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DOKTA MPANGO AIHIMIZA WAINGEREZA KUKUZA ZAIDI BIASHARA NA UWEKEZAJI NCHINI

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), (wa tatu kushoto), akiongoza majadiliano na Ujumbe wa Wabunge watano pamoja na maafisa kadhaa kutoka nchini Uingereza, walipomtembela na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAELEZO YA MBUNGE ZITTO KABWE MBELE YA KAMATI YA BUNGE YA HAKI NA MAADILI

Uhuru Wangu wa Maoni Ulilenga Kulinda Uhuru, Haki, Hadhi na Madaraka ya Bunge [Maelezo ya ndugu Kabwe Z. Ruyagwa Zitto (Mb), mbele ya Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge] Mheshimiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JWTZ YAANZA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS KUJENGA UZIO KUZUNGUKA MERERANI

Meja Jenerali Michael Isamuhyo akitembelea na kuoneshwa eneo la vitalu A mpaka D katika eneo la machimbo ya Tanzanite Mererani wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara leo Septemba 21, 2017, tayari kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMULIZI FUPI ZA KUSISIMUA

Nilirudi nyumbani nakukuta nyumba imefungwa, nilishangaa kwani nilijua mwanangu atakua shule na Dada wa kazi atakuepo. Lakini sikumkuta, niligonga sana mlango kwani funguo nilikua nimesahau ofisini....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

THE ON GOING PROJECT OF JAMBO TANZANIA HOSPITAL AT GERA KAGERA

Hospital ward

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ONYESHO LA COKE STUDIO LAZIDI KUMPAISHA MAFANIKIO YANGU - ALI KIBA

Mwanamuziki nguli wa miondoko ya Bongo Fleva nchini Ali Kiba amesema moja ya mafanikio anayojivunia nayo katika kazi ya muziki kwa mwaka huu ni ushiriki wake tena katika onyesho la Coke Studio msimu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI CHARLES MWIJAGE AFUNGUA TAWI LA KAMPUNI YA MABATI ALAF DODOMA

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Bw. Charles Mwijage akifungua tawi la kampuni ya mabati ya ALAF  Dodoma. Kushoto ni meneja mkuu Upauaji  (roofing) wa Kampuni ya mabati  ALAF, Dipti Mohanty...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROF. MBARAWA AZITAKA KAMPUNI KUTOA HUDUMA ZA MAWASILIANO SAA 24

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu Mhe. Prof. Norman Sigalla King (wa kwanza kulia) akifafanua jambo kwa wananchi wa kijiji cha Kweinsewa kilichopo kata ya Nkolamo, wilaya ya Korogwe Vijijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAHANDISI WASISITIZA WASICHANA KUJITUMA MASOMO YA SAYANSI LINDI.

Mhandisi kutoka WizarayaUjenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Kitengo maalum cha ushirikishwaji wa wanawake katika masuala ya barabara, Bi. LiberathaAlphonce, akielekeza jambo kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT MAGUFULI ATUNUKU KAMISHENI KWA MJAAFISA WAPYA 422 WA JWTZ JIJINJI...

Maafisa wapya 422 wakipita Jukwaa kuu baadea ya kutunukiwa kamishenin  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nan Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VODACOM YAJA KIVINGINE,YAZINDUA PINDUA PINDUA UNITS

Katikati Mwenye Kofia Ni Mkurugenzi Wa Vodacom Tanzania Bw. Ian Ferrao Akiwa Na Timu Ya Vodacom Wakati Wakuzindua Pindua Pindua Units Mbele Ya Wafanyakazi Wa Vodacom Katika Ofisi Za Kampuni Hiyo Jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOLABO LA NANDY NA BETY G COKE STUDIO LAWA GUMZO

Baada ya onyesho la pili la Coke studio msimu wa tano kupitia luninga ya Clouds kuacha gumzo kwa washabiki wengi wa muziki,mwishoni mwa wiki katika onyesho la tatu walipagaishwa tena na kolabo za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA DUA YA KUMUOMBEA MAREHEMU HAJJAT MASTURA ABDALLAH - LONDON NA KATORO

Familia ya marehemu Hajjat Mastura Abbdallah wa Katoro Bukoba imeweza kujumuhika na ndugu na marafiki kumuombea dua Mama yao mpendwa,Shughuli iliyofanyika maeneo mbalimbali wanapoishi watoto wa...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>