YANGA 7-0 COMOROZINE CHECK TASWIRA UWANJA WA TAIFA LEO FEB 8,2014
Mpaka kipenga cha mwisho kinapulizwa , haya ndio matoke ya mchezo wa Klabu bingwa barani Africa kati ya Yanga na Komorozine uliochezwa hii leo katika uwanja wa Taifa jijini Dar salaamBao la nne la...
View ArticleBALOZI KAMALA ATEMBELEA BANDA LA BIASHARA LA KAMPUNI YA PRIVATE SAFARIS...
Mwenyekiti wa Kamati ya Mabalozi wa Afrika, Karibiani na Pacific Dr. Diodorus Buberwa Kamala akimsikiliza Bi. Delphine Coussie wa Kampuni ya Private Saris inayoshiriki Maonyesho ya Utalii Brussels....
View ArticleMWANDISHI WA HABARI WA MWANANCHI AMEJERUHIWA
Mwandishi wa Habari wa Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd mkoani Mara, Christopher Maregesi amejeruhiwa na kulazwa Hospitali ya Bunda, baada ya kundi la watu wanaodaiwa kuwa wanachama wa moja ya...
View ArticleUSIKU WA DAYNA NYANGE TZ V/S CINDY SANYU WA UG NDANI YA LINAS NIGHT CLUB...
FEB 15, 2014 Itakuwa ni usiku wa aina yake kwa wakazi wa mji wa Bukoba na maeneo ya jirani, Watakapo takiwa kujua nani mkali kati ya DAYNA NYANGE TZ V/S CINDY SANYU WA UG .Usiku huo hatuangalii Vivazi...
View ArticleBONANZA LA JOGGING & GLOBAL BREAKING NEWS LAFANA NDANI YA DAR LIVE
Washiriki wakimalizia mbio zao kutokea Uwanja wa Taifa mpaka Ukumbi wa taifa wa Burudani wa Dar Live.Klabu mwenyeji, Kejo Community wakiwa jukwaani wakicheza kwa furaha katika Bonanza hilo.Msanii wa...
View ArticleKAMPUNI YA UTALII YA BEL AFRIKA YA UBELGJI YATANGAZA VYEMA TANZANIA BRUSSELS
Bi. Laurence Joiris wa kampuni ya Bel Afrika ya Ubelgiji akinadi vivutio vya utalii vya Tanzania katika Maonesho ya Utalii yanayoendelea Brussels. Dr. Remo wa Ubelgiji akifurahia kahawa ya Tanzania...
View ArticleMATOKEO YA UCHAGUZI WA MADIWANI CCM KATA 24 CHADEMA KATA 3
Diwani wa Kata ya Tungi Mh Deogratius Paul Mzeru (Morogoro|) Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema anadaiwa kupigwa na kujeruhiwa na Polisi eneo la Sombetini. Atokwa machozi, ashindwa kuongea na...
View ArticleHARUSI YA AINA YAKE 2014 YAFANYIKA NDANI YA NEW COFFEE TREE HOTEL BUKOBA FEB...
Maharusi wetu Bw. Mudy Ali na Bi Shadia Nizar Jaffari wakiingia ndani ya ukumbi wa New Coffee Tree Hotel, mchana wa leo Jumapili Feb 9,2014.Ni harusi yenye muonekano wa Kidini kwa namna Maharusi...
View ArticleKAMA UKUPATA BAHATI YA KUIONA HARUSI YA MWAKA 2014 HIVI NDIVYO HALI ILIVYO...
CHECK VIDEO HAPA CHINI ILIVYO KUWA NDANI YA UKUMBI WA NEW COFFEE TREE HOTEL MCHANA WA LEO JUMAPILI FEB 9,2014,PICHA ZAIDI NA MAELEZO YAPO KATIKA HABARI INAYOFUATA KWA CHINI USIKU WA DAYNA NYANGE TZ V/S...
View ArticleKUTOKA MAGAZETINI LEO JUMATATU FEB 10,2014
SHUKRANI KUBWA KWAO THE WALKGARD TRANSIT HOTEL BUKOBAThe Walkgard Transit Hotel.ITEMBWE GENERAL SUPPLIES wasambazaji wa ving'amuzi vya Star Times Mjini Bukoba,Star Times wana lengo la kuifanya kila...
View ArticleMUHIMU TUKIELEKEA SIKU YA WAPENDANAO 'VALENTINE DAY'
Unaweza usijue mtu uliyenaye anakupenda kiasi gani kwa sababu ya mazoea, unachukulia Mapenzi yake, I love you zake, Chakula anachokupikia, Kukufulia nguo, na Zawadi anazokupa, kama mazoea... Ukawa busy...
View ArticleAMBULANCE YAPATA AJALI MJINI BUKOBA
Pichani linaonekana Gari la kubebea Wagonjwa 'Ambulance'likiwa limetumbukia kwenye mtaro,tukio hilo limetokea jioni ya leo Feb 10,2013 maeneo ya Uswahili Bilele.Taarifa za hawali zinasema Ambulance...
View ArticleLEO KATIKA KUMBUKUMBU MWAKA 1997 KIKOSI CHA RTC KAGERA CHAIZUIA SIMBA KUTWAA...
Leo katika kumbukumbu na Bukobawadau Blog, Mwaka 1997 michuano ya ligi kuu tanzania bara ikiwa ukingoni kabisa ambapo mchezo wa mwisho ulifanyika Mjini hapa ndani ya uwanja wa kaitaba kati ya Simba Fc...
View ArticlePICHA MPYA ALIZOTUPIA NICK MINAJ
Nicki Minaj and that fierce ponytail deserves two snaps and a twirl.Just a few days after she teased a few behind-the-scenes photos from a new shoot, Nicki Minaj has shared a few of the final images...
View ArticleYALIYOJILI OBAMA ALIPOKUTANA NA KAKA YAKE (OBAMA REUNITES WITH LONG -LOST...
Utapa kuona Video ambayo haijawahi kuonekana kabla, ikijaribu kuonyesha kitendo kimoja cha kushangaza kidogo, ni pale ambapo Rais wa Marekani Barack Obama na kaka yake wa Baba mmoja Mark Obama...
View ArticleTALANTA YOUTH CAMP:
TALANTA YOUTH CAMP: “COACHING AND MENTORING FOR LIFE ENHANCEMENT” PLACE/VENUE: Talanta Hostel, Ubungo – Kibangu Dar es Salaam (1 Km from Riverside,...
View ArticleMAMIA WASHIRIKI MAZISHI YA MCHUNGAJI JACKSON JAMES KABUGA JIONI YA LEO FEB...
Kinacho endelea katika picha ni Ibada ya heshima kwa mwili wa Marehemu Mchungaji Jackson James Kabuga , Mchungaji wa Kanisa la Tanzania Assemblies Of God lililopo Hamugembe ndani ya Manispaa ya Mji...
View ArticlePresident Kikwete meets British Foreign Secretary William Hague in London today
President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete meets British Foreign Secretary William Hague in his London office this evening. The two leaders then held talks on bilateral issues concerning their two countries....
View Article