Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAHAYA NA ZAHAMA KWA KINAMAMA

Na  Prudence KarugendoWAHAYA  ni kabila maarufu linalopatikana kwenye eneo la Bukoba katika mkoa wa Kagera, Kaskazini Magharibi mwa Tanzania.Kabila hilo ni moja ya makabila yaliyowahi kustaarabika na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UGANDA YAPEWA ONYO JUU YA UWEZEKANO MKUBWA WA SHAMBULIZI LA KIGAIDI

Ubalozi wa Marekani Kampala wasema kuna ishara kwamba jumba la makumbusho la kitaifa ni mojawapo ya majengo yanayolengwa na magaidi Ubalozi wa Marekani nchini Uganda umeonya juu ya uwezekano wa kutokea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

'KATARUGA POOL TOURNAMENT' HATUA YA NUSU FAINALI NDANI YA COFFEE TREE HOTEL...

Mashindano ya mchezo wa 'Pool  table' yanayoendelea katika hotel ya New Coffee Tree Iliyopo Mjini hapa ya kumtafuta Bingwa wa Coffee Hotel chini ya udhamini wa Mdau Ben Kataruga yamefikia hatua ya nusu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIVI NDIVYO DR.KITILA ALIVYO MJIBU NGURUMO

Ndugu Ngurumo, Nashukuru sana kwa maoni yako . Mimi binafsi ni muumini wa kutofautiana kimawazo katika msingi wa hoja. Siogopi hata kidogo mtu kupinga hoja zangu madamu tu anafanya hivyo kwa hoja....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YULE ALIYEJINYONGA JUU YA MTI HIVI MAJUZI

Picha ya Marehemu Bahati enzi za uhai wake,Lile tukio lililotokea yapata juma moja lilipita tarehe 7 fEB, 2014  pichani  huyu ndiye aliyekutwa amajinyonga maeneo ya fukweni Mjini hapa, jirani na  ilipo...

View Article


KAMATI KUU YA CHADEMA KUKUTANA KWA DHARURA

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIKamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) itakutana kwa ajili ya kikao cha dharura, Februari 14, mwaka huu, jijini Dar es Salaam.Katika kikao hicho, Kamati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NJOO USHUHUDIE NYIMBO TAMU ZA KIMAHABA NA ZAWADI KEM KEM SIKU YA WAPENDANAO...

Hii ni moja ya Live Performance ya Wimbo wa John Legenda wa All on Me ulioimbwa na Sam Mapenzi wa Skylight Band.Sam Mapenzi a.k.a Asali ya warembo akiimba kibao cha John Legend kinachobamba duniani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHIZA DHIHIRISHA WEWE SIO MZIGO

Na Prudence Karugendo WAKATI Rais Kikwete akielekea kumaliza muda wake wa uongozi wananchi wamechachamaa kutokana na mambo kudorora katika serikali yake. Ikabidi chama tawala, CCM, kiingilie kati na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FREE DOWNLOAD & LISTEN P SQUARE-TASTE THE MONEY

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA,SUMAYE,NGELEJA WAJIELEZA KAMATI YA MANGULA

 Waziri Mkuu Mstaafu Ndugu Edward Lowasa akizungumza na Waziri Mkuu wa Zamani Ndugu Fredrick Sumaye kabla ya kuanza kuhojiwa na Kamati Ndogo ya Maadili kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi Dodoma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VALENTINE SPECIAL-FEB 14, 2014

Hakuna hata mmoja asiye na mapungufu kwenye mahusiano, tukiamua kuangaliana kwa kuchunguzana makosa na mapungufu yetu basi kila mmoja atajikuta hakumstahili mwenzake. Nikweli kabisa kwamba makosa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA MAGAZETINI LEO IJUMAA FEB 14, 2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YALIYOJILI USIKU WA VALENTINE NDANI YA LINAS NIGHT CLUB BUKOBA FEB 14,2014

Wadau wa Mji wa Bukoba wameweza kusherekea usiku wa Valentine Day kwa style ya aina yake. Meza ya wageni walioshiriki shangwe za usiku huu Feb 14,2014Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya usiku wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI KAMALA AKUTANA NA WAJUMBE WA KAMATI NDOGO YA MABALOZI WA AFRIKA,...

 Balozi wa Tanzania BELUX, Jumuiya ya Ulaya na Mwenyekiti wa Kamati ya Mabalozi wa Afrika, Karibiani na Pacific Dr. Diodorus Buberwa Kamala  akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Kamati Ndogo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RED CARPET YA VALENTINE'S DAY DAR LIVE

(PICHA : ISSA MNALLY NA CHANDE ABDALLAH/GPL)

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAHAZI YATISHA USIKU WA VALENTINE DAR LIVE

Nyomi ya wapendanao ikifuatilia kwa makini burudani.Zawadi za Valentine zikiuzwa ndani ya Darlive kama zilivyonaswa na kamera yetu.Mnenguaji wa Jahazi akifanya yake.Dada huyu alishindwa kujizuia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUNDA LA HAYATI DK MVUNGI KWA WATANZANIA

Dk Natunjwa Edmund Adrian Sengondo MvungiDk Natunjwa Edmund Adrian Sengondo Mvungi, ni mzaliwa wa kwanza wa aliyekuwa kingunge wa sheria, Dk Sengondo Mvungi (61) ambaye Oktoba 12, mwaka jana alivamiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAGUAR;MWANAMUZIKI MILIONEA ALIYEANZA KWA KUOSHA MAGARI

Zipo baadhi ya kauli za Wahenga wa Kiswahili ambazo siyo rahisi kutimia au uhaliasia wake kuonekana kwa haraka katika maisha ya kila siku.“Hata mbuyu ulianza kama mchicha” Kauli hii maarufu katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KONGAMANO LA WANAWAKE WA KIISLAMU WILAYANI NGARA

Wanawake wa kiislamu  wametakiwa kutambua umuhimu wao katika dini ikiwa ni pamoja na kulinda maadili kwa kuzingatia mafundisho ya Mwenyezimungu na mtume Mohamadi SAW Wito huo ilitolewa juzi na kiongozi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BOB JUNIOR; MSANII ‘ALIYEVAA VIATU’VYA BABA YAKE

Samaki mkunje angali mbichi, akishakauka atavunjika. Tafsiri ya usemi huu haimaanishi kutumia nguvu, badala yake maarifa yatumike kwa namna yoyote ili kumfundisha mtoto afuate mstari mwema wa maadili,...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>