Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4196 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FANYA KUPITIA PICHA NBA ALL-STAR-GAME-CELEBRITIES-PERFORM FEB 17,2014

The All-Star stage is meant to be a shared space, a broad platform designed to support the NBA’s greatest talents and egos all at once. Kobe Bryant has never been much for sharing, though.Sixteen years...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMANNE FEB 18,2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RUBANI ALIYETEKA NDEGE YA ETHIOPIA AJISALIMISHA!

Maafisa wa Polisi wakisaidia abiria kutoka kwenye ndege hiyo ya shirika la ndege la Ethiopia iliyokuwa imetekwa. Rubani msaidizi wa ndege ya Shirika la ndege la Ethiopia iliyokuwa ikielekea Roma,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CAMERA YETU MTAANI LEO JUMANNE FEB 18,2014

 Camera yetu katika hekaheka za hapa na pale, inakutana na Kijana Yusuph Wastara (katikati)akiwa katika moja ya harakati zake. Taswira  ilivyo katika maisha yetu ya kila siku.Mdau Valerian Rugalabamu,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MH.PANDU KIFICHO MWENYEKITI WA BUNGE LA KATIBA

Mheshimiwa Pandu Amir Kificho ameshinda nafasi ya Mwenyekiti wa muda wa Bunge la Katiba baada ya kupata kura 393 sawa na 69.19% ya kura 558 zilizopigwa na kuwaacha kwa mbali Costa Mahalu na Magdalena...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UCHAGUZI WA MADIWANI KATA 27 CHADEMA KIDUME!!

Na Prudence KarugendoUCHAGUZI  mdogo wa madiwani uliofanyika Jumapili iliyopita katika kata 27 nchini umenifunulia kitu kimoja muhimu. Baada ya kuutafakari uchaguzi huo mara moja nimegundua kwamba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATAKIWA KUANDIKA NA KUTANGAZA HABARI ZA UCHUNGUZI

Wanahabari wa kituo cha radio kwizera katika wilaya ya ngara mkoani kagera wametakiwa kuandika na kutangaza habari za uchunguzi ili kuondoa ama kupunguza changamoto mbalimbali zilizoko kwenye jamiiWito...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI KAMALA AMTEMBELEA KIONGOZI MKUU WA SERIKALI YA JIMBO LA FLANDERS LA...

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akimkabidhi zawadi Kiongozi Mkuu wa Serikali ya Jimbo la Flanders la Ubelgiji Mhe. Kris Peeters. Balozi Kamala amemtembelea Mhe. Kris Peeters leo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWILI WA MAREHEMU BI VERDIANA PETRO KYAMANI UKIWASILI MJINI HAPA LEO FEB 19,2014

Uwanja wa ndege mjini Bukoba .Ndege maalumu yenye mwili wa Marehemu Bi Verdiana Petro Kyamani ikiwasili  mjini hapa, kutokea jijini Dar es Salaam na Kupokelewa na ndugu na marafiki wa familia,Mchana wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI YA LORI LA MAFUTA LILILOPINDUKA NA KUTEKETEA...

 Lori la mafuta limeanguka na kuteketea kwa moto jioni ya leo katika eneo la milima ya sekenke mkoani Singida na kupelekea watu kadhaa kupoteza maisha hapohapo (idadi yake haijathibitishwa Jeshi la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA MAGAZETINI LEO ALHAMISI FEB 20,2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MACHACHE KUTOKA BUNGENI LEO FEB 20,2014

Kutokana na bunge kutokuonywesha ama kutangazwa kwenye vyombo vya habari, wananchi tumekua tukipata habari kidogo na za kudokoa dokoa. Kwa kupitia social media nyingine kuna wajumbe wamekuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALI SI HALI HUKO UKRAINE WATU 22 WAUAWA

Watu 22 wameuawa katika ghasia zilizozuka upya kati ya waandamanaji na polisi mjini Kiev Ukraine, baada ya makubaliano yaliyofikiwa kutibuka. Watu nchini humo waelezea kujionea mabomu ya petroli ,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA USIKU WA VELENTINE'S DAY NA SKYLIGHT BANDNDANI YA THAI...

Lubea wa Skylight Band alitega mingo lango kuu la kuingilia na kugawa Shots za Tequila pamoja na Sambuka bure kwa wapenzi wa Skylight Band.Mashabiki wa Skylight Band wakipata shots za Tequila bure...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALAA:MOTO WATEKETEZA NYUMBA YA MDAU MAMA PAMBA BUKOBA

Sehemu ya ya Nyumba ya Mdau Mama Pamba iliyopo Rwamishenye Bukoba usawa wa barabara kuu  ya Kibeta ikiwa imeteketea kwa moto Awali ya yote ashukuriwe Mwenyezi Mungu kwani hakudhurika mtu katika ajali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAZISHI YA MAREHEMU OMULANGIRA CYPIRIAN IJUMBA KUFANYIKA KESHO JUMAMOSI FEB...

Picha ya Marehemu Omulangira Cypirian Ijumba, aliyefariki siku ya jumatano feb 19,2014. Shughuli ya mazishi itafanyika siku ya kesho jumamosi feb 22,2014 Nyumbani kwake kijijini  Nyangoma Kanyigo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHUGHULI YA NDOA YA BWANA WILLBROAD WILLIAMU MTAFUNGWA NA BI YUSTINA...

Bwana Willbroad Mtafungwa  ambaye ni mkuu wa polisi wa wilaya ya Kinondoni na Bi Yustina Rwechungura katika picha ya kumbukumbu nje ya katina la KKKT lililopo Kyaka Wilayani Missenyi Mkoani Kagera...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

URAIS 2015:MBONA HATUMUANGALII JAJI BOMANI?

Na Prudence Karugendo Tumeingia 2014 wakati homa ya urais ndani ya vyama vya siasa, hususan CCM, ikiwa juu. Nimeishaandika kwamba suala hili la wagombea kujulikana mapema, kwa uzoefu tulionao hapa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIKA PICHA AJALI YA MIKESE ILIYOPELEA KIFO CHA MDAU UMUDI KALAMULAHI LEO...

Ajali mbaya  ya magari mawili yaliyogongana uso kwa uso katika eneo la mikese Morogoro na kupelekea kifo cha dreva mmoja ,Marehemu Ubuhi Kalamulahi wa Ilogelo Kamachumu,Moja ya gari hilo likiwa Lori la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USIKU WA WILLBROAD MTAFUNGWA NA JUSTINA RWECHUNGURA NDANI YA KIOTA CHA LINAS...

Maharusi wetu Bwana Willbroad Mtafungwa  na Bibi  Justina Rwechungura wakiwa wamesimama muda mchache baada ya kuingia ndani ya ukumbi wa Linas Night Club.Ndani ya Ukumbi wa Linas Club Bukoba ndivyo...

View Article
Browsing all 4196 articles
Browse latest View live