Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UZINDUZI WA ALBAMU YA EXTRA BONGO: RED CARPET YA DAR LIVE!

Baadhi ya safu ya wanenguaji mahiri wa kiume wa Extra Bongo.Amini akishoo Love na Linah (kushsoto) pamoja na mwimbaji wake.Baadhi ya safu ya wanenguaji wa kike mahiri wa Extra Bongo.Wanenguaji katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UONGOZI KCU(1990) Ltd UNAUKOMBA NA KUUZIKA USHIRIKA?

WAKULIMA  wanaounda ushirika wa KCU (1990) Ltd. mkoani Kagera wameamua kupiga kelele bila kuchoka, hata kama kelele hizo hazionekani kusikilizwa na yeyote kati ya wale waliolengwa kuzisikiliza. Wao,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Changamoto ya Zao la Vanilla ni Soko au Uzalishaji?: Mtazamo wetu Maruk...

Vanilla inapanda na kushuka kama zao mbadala la kibiashara mkoani Kagera. Historia ya zao hili mkoani Kagera inaenda nyuma kuanzia miaka ya 1940. Lakini ni miaka ya hivi karibuni ndipo vanilla imepata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

THE WINDHOEK DRAUGHT "BLACK PARTY"

Don’t miss the Windhoek Draught “BLACK PARTY” this Saturday 1st March 2014… On the wheels are East Africa’s Finest DJ Tibz & DJ Mr. Tee (From Kenya) and DJ Peter Moe (Tanzania)… Location Golden...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI KAMALA AONGOZA KIKAO CHA MASHAURIANO ADDIS ABABA ETHIOPIA

Balozi wa Tanzania BELUX, Jumuiya ya Ulaya na Mwenyekiti wa Kamati ya Mabalozi wa Afrika, Karibiani  Pacific (ACP) Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiongoza kikao cha Mashauriano ya nchi za Afrika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

USIKU WA MDAU ALBAN WENFUREBE NA ANITA GOSBERT

Matukio ya Harusi ya Mdau Bw.ALBAN WENFUREBE na Bi ANITA GOSBERTH iliyofanyika mwishoni mwa juma lililopita katika ukumbi wa Water Front Jijini Dar es Salaam,baada ya ndoa takatifu iliyofungwa katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JINSI YA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO

Habari za leo Mdau,Nimeona nikupe update ili watu wa ulimwengu wa tatu tujue jinsi ya kukabiliana na changamoto.Pichani  ni dalala maarufu hapa Manila City Philippines. Hii ni nchi inayo endelea kama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYAKIBIMBILI, KITAHYA,KANAZI ,KATERERO ,KYAKA NA CAMERA YETU FEB 25,2014

Katikati ya daraja la Kalebe-Nyakibimbili ndani ya Wilaya ya Bukoba Vijijini linalotegemwa kwa wananchi wa Vijiji vya Izimbya. Rubale. Katoro, Kaibanja,Mugajwale na Katerero Kemondo. Daraja la Kalebe...

View Article


KUTOKA KWA MDAU PRIVATUS MUTUNGI

Naitwa Privatus Mutungi, nawapongeza sana kwa kutoa habari za nyumbani na kutukumbusha mambo mengi yanayohusu bukoba na Kagera kwa ujumla. Nawaomba wadau wa habari na burudani kutumia blog hii...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIZIKI YA INJILI NI BIASHARA NDANI YA HEKALU

Na Prudence KarugendoMWANAMUZIKI  mmoja, au niseme mwimbaji, kwa vile muziki wa sasa,  hasa huu unaoitwa wa kizazi kipya au Bongo fleva, hauhitaji vyombo vya muziki zaidi ya waimbaji kupeleka mashairi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIONGOZI MBALIMBALI WAUAGA MWILI WA MAREHEMU BALOZI FULGENCE KAZAURA KATIKA...

Jeneza lenye Mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Marehemu Balozi Fulgence Kazaura likiwa ndani ya Kanisa la Mt. Peter,Osterbay jijini Dar es Salaam tayari kwa Ibada maalum...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CAMERA YETU MTAANI LEO JUMATANO FEB 26,2014

Jengo linaloendelea kwa ujenzi lililopo eneo la Kagabilo Kibeta mjini BukobaMasikani kwa Marehemu Tibaijuka aliyekuwa mme wa Mama Anna Tibaijuka Jengo la Utawala la  Shule ya wasichana ya Kajumulo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMBUKUMBU YA MAREHEMU MWALIMU TA MARCO M KAHWA

Leo feb 27,2014 ni mwaka mmoja tangu umetutokami ,Tarehe ya leo ni siku ambayo hatuwezi kuisahau kamwe. Ni siku ambayo ulituacha familia yako katika majonzi makubwa sana. Ingawa hatukuoni, hatuongei na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UAMUZI WA MUSEVENI WAITIA KIWEWE MAREKANI

Na Mwandishi Wetu, Mwananchi Kampala. Siku moja baada ya Rais Yoweri Museveni kusaini sheria inayotoa adhabu kali kwa wapenzi wa jinsi moja, Marekani imesema inaangalia upya uhusiano wake na nchi hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HABARI KUBWA MAGAZETINI LEO FEB 27,2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YALIYOJILI KATIKA BIRTHDAY PARTY YA MWANADADA ASIYECHUJA ASIMWE (NGEMELE)...

Usiku wa jana Jumatano feb 27,2014 ilikuwa Birthday Party ya mwanadada asiyechuja Bi Asimwe  Ngemela pichani maarufu kama Asimwe Katalaiya. Party hiyo ya Birthday ilikuwa full mambo ya pwani ,full...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUU YA KITENDO CHA USTAADH JUMA NA MUSOMA KWA MSANII PNC

Kitendo cha Ustaaz Juma na Musoma kuweka Picha hii pamoja na Video yake kwenye Mitandao ya Kijamii ambayo Inayomuonyesha Msanii wa Kizazi Kipya aitwaye PNC a.k.a Shino akiwa Anamuomba Msamaha.... Kwako...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NCHINI UGANDA WANAWAKE WAANDAMANA KUMPINGA RAIS WA UGANDA YOWERI KAGUTA...

Baada ya rais Yoweri Museveni wa Uganda kupitisha sheria ya marufuku kwa wanawake Kutembe utupu barabarani, na kutaka wanawake wa nchi hiyo kujistili miili yao. Wanawake hao eti wameandamana na kudai...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ATEMBEZWA UCHI BAADA YA KUSHUKIWA KUTEMBEA NA MKE WA MTU!(tunaomba ladhi kwa...

(Wadau tunaomba ladhi kwa picha hii)Mtu mmoja ambaye jina lake halikufahamika,ashukiwa kutembea na mke wa mtu na kupewa adhabu ya kutembezwa uchi mji mzima wa Dar Live bila Chenga samora hiyo.Baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEB 28,2014

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>