Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA MAGAZETINI LEO IJUMAA MAY 30,2014

      

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SKYLIGHT BAND WALETA HOMA YA BURUDANI NDANI YA JIJI LA DAR, NJOO UTIBIWE THAI...

Sam Mapenzi akiamsha amsha Taratibuuuuuuu ndani ya Thai Village.Winfrida Richard akiimba kwa sauti nyororooooo kabisaaaa amsha amsha kwa mashabiki ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.Sam Mapenzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC WA KARAGWE APATA AJALI

MKUU wa Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera, Darry Rwegasira amepata ajali katika Kijiji cha Kalebezo, Kata ya Nyamirembe Wilayani Chato mkoani Geita juzi. Akizungumza kwa njia ya simu na Tanzania Daima,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

B0TI YAZAMA ,YAUA WATANO

 WAFANYABIASHARA watano wamekufa maji baada ya boti waliyokuwa wakisafiria ya Mv. Kitoko2 kuzama kwenye Ziwa Victoria kwa madai ya kuzidisha uzito.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, George Mayunga,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI MAY 31,2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AZIZ & ANIFA'S NIGHT RECEPTION HELD AT KIRAMUU HALL, MBEZI BEACH 31 MAY,2014

Love birds Muendelezo wa Matukio ya picha katika hafla ya kuwapongeza maharusi wetu Mr Aziz Kichwabuta na Bi Anifa Hamidu Bi Harusi, Anifa Hamimu katika picha ya pamoja na Kaka zake wapendwa. Harusi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM NA KERO ZA WANANCHI

Miaka 60 CCM ndipo inakumbuka kero za wananchi!Na Prudence KarugendoMTU  mmoja nisiyeelewa yuko upande gani kiitikadi, kama anafuata itikadi za upinzani au za chama tawala, kanipa wazo la kufikirisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA;MAMA MZAZI WA MBUNGE ZITTO KABWE, SHIDA SALUM AFARIKI DUNIA

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Walemavu Tanzania (CHAWATA).Bi Shida Salun,na Mjumbe wa kamati Kuu ya chama cha CHADEMA,aliyekuwa amelazwa chumba cha Wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalum...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO WA PELE JELA MIAKA 33

Mwanawe gwiji wa soka Brazil na duniani kote, Pele, Edinho Pele, amefungwa jela miaka 33 kwa kufanya biashara haramu ya pesa au kujipatia pesa chafu zilizotokana na biashara ya ulanguzi wa dawa za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWIMBAJI CHRIS BROWN ATOKA JELA

Mwimbaji nyota wa Marekani Chris Brown ameachiliwa kutoka gereza moja la Los Angeles. Naibu Liwali wa LA, Tony Moore amesema mwimbaji huyo wa miondoko ya R&B ameachiliwa siku ya Jumatatu asubuhi....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HISTORIA YA MAISHA YA MREMBO MILLEN MAGESE

HAPPYNES MILLEN MAGESE jina hili sio adimu sana masikioni mwa watanzania walio wengi,huyu ndiye aliyewahi kuwa miss Tanzania mwaka 2001 na kujizolea umaarufu wake hapa nchini na nje ya Tanzania....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NI SHIDAAA WANAFUNZI WAKOSA MASOMO HUKO RUSHENYE BUGORORA!!

Wananchi wakisafiri kwa mitumbwi kutoka kitongoji cha Lushenye kijiji Gaburanga,kata Kassambya kwenda kijiji Bugorora kata Bugorora kufuata huduma. Mmoja wa wazee wa kitongoji cha Lushenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE HASSAN MAMBA BANTU KATIBU WA UCHUMI WA WILAYA MOROGORO MJINI NA MJUMBE WA...

Kutoka kulia  ni Mhe HASSAN Mamba Bantu Katibu wa Uchumi  wa CCM wa Wilaya ya Morogoro Mjini akiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi wa Jumuiya ya Ulaya wa Guyana, Tanzania na Afrika ya Kusini. Mhe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CAMERA YETU USO KWA USO NA WADAU

 Uso kwa uso na Mdau Ben Kataruga Mkurugenzi wa Kampuni ya Utalii ya Ben Expeditions ni pale Mwanalibeneke wenu alipohitaji  kumuona na  kufanya naye  mazungumzo.Ben Expenditions Tours&...

View Article

WAPENI WATU TAARIFA WAJIANDAE NA KESHO YAO

Juhudi za uwekezaji nchini zimekuwa zikikumbana na upinzani mkali kutoka kwa wananchi kila mahala  kunapokuwako na mradi mkubwa wa uwekezaji, na ni ajabu kwangu na ninaamini kwa wengi wenye kutafakari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO ALHAMIS JUNE 5,2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAHMAT ENTERTAINMENT & CHICHI HOTEL WAANDAJI WA MISS DAR INDIAN OCEAN 2014

Lile shindano  lakumtafuta Miss Dar Indian Ocean 2014 linalo andaliwa na Rahmat Entertainment wakishirikiana  na Chichi Hotel litafanyika  tarehe 7/06/2014 katika ukumbi wa Nyumbani Lounge, Jijini Dar...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO MBALIMBALI MH. MBOWE AKIWA ZIARANI

 Mmoja wa Wanakamati wa Kamati ya Mfuko wa Maendeleo (CDF) Jimbo la Hai akipanga kuni katika moja ya madarasa ya Shule ya Msingi Shirimatunda iliyoko wilayani Hai, wakati Mwenyekiti wa Kamati hiyo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YALIOJIRI NDANI YA KIOTA CHA SAMAKI SAMAKI

Yaliyojiri kwa juma hili  Samakisamaki@town,Kiwanja cha kijanjaWapenzi na mashabiki wa LIBENEKE la Bukobawadau BlogMsanii wa Bongo Fleva, David Genzi 'Young Dee'katika pozi na DJ Vasley wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHATU LATOKEA NYUMBANI KWA MTU ARUSHA,MWENYEWE AOMBA ASIUAWE NI MWANAE!

Nyumbani kwa mtu katokea chatu kafungwa kitambaa cheupe kimeandikwa quran ndani ya geti wafanyakazi wakakimbia na kufungua geti ghafla mwenye nyumba akapigiwa simu akasema asiuwawe ni mtoto wake wa...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>