BREAKING NEWS;MWANASHERIA MKUU WA ZANZIBAR, OTHMAN MASOUD OTHMAN AFUTWA KAZI!
Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman.RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, leo amemfuta kazi Mwanasheria Mkuu...
View ArticleMAKABIDHIANO YA ARDHI KWA MWAKEZAJI BEN MULOKOZI
Pichani ni Mr Ben Mulokozi akifanya tathmini na Mr.Gleew aliyekuwa mmiliki wa eneo na Kiwanda cha Mbao kilichokuwa Nsunga Wilayari Missenyi Mwenyekiti wa Kijiji ambaye pia alikuwa Dreva wa kiwanda...
View ArticleMH.ROBART KATUNZI AKABIDHI ZAWADI YA KOMPYUTA SHULE YA MSINGI KASHABO
Mh.Robart Katunzi (Tabu gani)Diwani kata ya (Hamugembe)ametoa zawadi ya kompyuta pamoja na printer kwa ajili ya matumizi katika Shule ya Msingi Kashabo iliyopo Mjini hapa. Tukio hilo lilifanyika...
View ArticleINSTAGRAM PARTY MWANZA OCT 4,2014
FreconicIdeaz was pleased to organize Quarterly Party Event, which was held on October 4th, 2014 from 7:00 p.m. until 4:00 a.m. at JembeniJembe aka Jembe BeachMwanza. The nights includes Live Musical...
View ArticleBALOZI KAMALA ATAMBUA MCHANGO WA TAASISI YA CUSHMAN NA WAKEFIELD ILIYOSAIDIA...
Balozi wa Tanzania Ubelgiji, Luxembourg na Jumuiya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala (kushoto) akimkabidhi cheti Bwana Boris Van Haare Heijmeijer Meneja wa Ulaya wa taasisi ya Cushman na Wakefield cha...
View ArticleTUWAPELEKE WATOTO WETU KATIKA CHANJO YA SURUA NA RUBELLA OKTOBA 18-24
SURUA na rubella ni magonjwa hatari yanayoenezwa haraka kwa njia ya hewa, kutoka kwa mtu mwenye vimelea vya ugonjwa huo kwenda kwa mwingine.Wataalamu wa afya wanaeleza kuwa dalili za magonjwa haya...
View ArticleYAMOTO BAND YA MKUBWA FELLA KUTUA BUKOBA NOV 2,2014
Ile Bendi ambayo ndo habari ya Mjini 'YAMOTO BAND' ikiongozwa na Mwimbaji Aslay mwenye ukomavu wa sauti kuliko umri wake katika game ya muziki, Inategemewa kuwasha moto wa burudani ndani ya Linas Club...
View ArticleWATATU 'OUT' JESHI LA POLISI KAGERA
Jeshi la Polisi mkoani Kagera limewafukuza kazi askari polisi watatu kwa kosa la kukosa maadili mema ya jeshi la Polisi.Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani hapa Henry Mwaibambe,amewataja askari hiyo...
View ArticleYALIYOJIRI SHUGHULI YA NDOA YA BW. ALLY KICHWABUTA NA BI MGENI ABDULRAHMAN
Siku zote Bw.Ally amekuwa akiomba uchumba,na kumtaka Bi Mgeni kutoa jibu lake. Lakini Bibie Mgeni alibaki kimya bila ya jibu lolote, Kama maandiko yasemavyo na tafsiri ya Mtume SAAW kuwa kimya hicho...
View ArticleVIDEO FULL VERSION;SHEREHE ZA UFUNGUZI UKUMBI WA TWEYENDE- LUHANGA
Matukio kamili katika shughuli ya Ibada ya sherehe ya Ufunguzi wa Ukumbi mpya Uliopo Kijijini Luhanga , Mali ya Dr. Mkyanuzi.
View ArticleMAUAJI KANISA LA PAG BUKOBA OCT 10,2014
Katika hali isiyo ya kawaida,watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo wamevamia Kanisa la PAG tawi la Kagemu kata ya Kitendaguro manispaa ya Bukoba na kumua muumini mmoja kwa kumcharanga mapanga hadi...
View ArticleVIDEO SEHEMU 1:ZAWADI ZA KIMIRA HARUSI YA BW. ALLY KICHWABUTA NA BI MGENI ISSA
Pitia Video hapa Chini,Ni tukio la zawadi ya apewayo bwana harusi kutoka kwa wazazi waka Pichani anaonekana Sheikh Habibu Kichwabutu akitoa Zawadi ya Maneno kwa Bwana Ally Kichwabuta kuhusiana na...
View ArticleNI BONGE LA HARUSI YA MR & MRS ALLY KICHWABUTA, MJINI BUKOBA 0CT 11,2014
pongezi kubwa kwa Maharusi.Wakiwa katika nyuso za furaha ni Bwana na Bibi Ally Kichwabuta ikiwa ni siku maalumu ya kuwapongeza kwa uamuzi wao wakufunga ndoa. Jumamosi Oct 11, 2014 Ikiwa ni siku...
View ArticleALLY & MGENI WEDDING RECEPTION
ALLY & MGENI WEDDING RECEPTION::Venue:: Spice Beach ,Colour:: Yellow n White Photo:: Bukobawadau Entertainment Media :: Credit::Walter Rwey-RobertDecoration::Advents Deco and PlanningKazi ya...
View ArticleTAARIFA; KIKAO MAALUM CHA KAMATI KUU
TAARIFA KWA VYOMBOKIKAO MAALUM CHA KAMATI KUU YA CHAMATaarifa inatolewa kwa vyombo vya habari kuwa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) inatarajiwa kukutana jijini Dar es Salaam...
View ArticleIBADA YA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MZEE NESTORY KASABILA
Shughuli ya Ibada ya kumbukumbu ya Mzee Nestory Kasabila iliyo andaliwa na familia nyumbani kwake Kibeta nje kidogo ya Mji wa Bukoba Jumamosi Octobar 11,2014. Sehemu ya Waumini wakiendelea na ibada...
View ArticleZAIKO LANGA LANGA NA MAGEUZI YA MUZIKI NCHINI CONGO
Na Daniel MbegaBendi hii ndiyo iliyoleta mageuzi ya muziki wa Congo ikiingiza midundo ya kasi iliyoutofautisha muziki wa soukous na rhumba kama lile la African Jazz na TP OK Jazz ambapo walianza...
View ArticleVURUGU ZA BODABODA NA POLISI BUKOBA
POLISI mjini Bukoba wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya waendesha pikipiki maarufu kama Asecdo /bodaboda waliojikusanya kwa wingi kama ilivyo kawaida yao pale mwenzao anapopatwa na...
View ArticleSHEREHE YA KUMPONGEZA GISSELA MONTANIUS KUMALIZA CHUO KIKUU (SHAHADA YA SHERIA)
Hakika anastahili Sifa Mwanadada Gissela R. Montanius pichani,katika sherehe ya kumpongeza kwa kumaliza Chuo Kikuu shahada ya kwanza ya Sheria. Sherehe hiyo iliyoandaliwa na Mama yake Mzazi Bi Lucy...
View ArticleBALOZI KAMALA AKUTANA NA MKUU WA IDARA YA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA WA JIJI LA...
Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa wa Jiji la Oestende la Ubelgji Mhe. Collins Nweke (katikati)....
View Article