SAKATA LA MISS TANZANIA 2014 SITTI MTEMVU
Lile sakata la Miss Tanzania 2014 ,leo umetoka ushahidi mwingine juu ya umri halisi Sitti Mtemvu - passport yake inaonyesha ana miaka 25! Miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu ambaye ni mtoto wa Mbunge wa...
View ArticlePRESS STATEMENT- KATIBA na TALKING HINTS ZA KATIBU MKUU CHADEMA, DK. SLAA
Talking hints za Katibu Mkuu kwenye press conference Oktoba 16, 2014.Kamati Kuu ilikuwa na jumla ya agenda kumi na moja, mengine tutayatoa kwa umma kadri muda unavyokwenda.Kwa leo tutazungumzia masuala...
View ArticleSAKATA LA SITTI MTEMVU MISS TANZANIA 2014
Lile sakata la Miss Tanzania 2014 ,leo umetoka ushahidi mwingine juu ya umri halisi Sitti Mtemvu - passport yake inaonyesha ana miaka 25! Miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu ambaye ni mtoto wa Mbunge wa...
View ArticleZIARA YA VIONGOZI CWT NGAZI YA MKOA NA WA WILAYA YA MISSENYI KUKUTANA NA...
 Katibu kitengo cha wanawake CWT Mkoa,Lucy Tibiita akifafanua masuala ya wanawake wakati wa mkutano huo. Viongozi wa CWT Mkoa na wa wilaya ya Missenyi:wa pili kutoka kushoto ni katibu mkoa,Pontian...
View ArticleFIKRA POTOFU ZINACHANGIA UGUMU WA MAISHA
 Na Prudence KarugendoKUFUATIA  makala niliyoandika hivi karibuni nikilalamikia michango mikubwa ya sherehe,  wamejitokeza wasomaji wengi kuniunga mkono. Karibu wote waliowasiliana na mimi baada ya...
View ArticlePICHA VICTORIA KIMANI NA WAJE NDANA YA XXL
Wasanii watakaoperfom kwenye jukwaa la serengeti Fiesta, Victoria kimani kutoka Kenya na mwanadada Waje kutoka Nigeria siku ya Jana walijiunga na watangazaji wa kipindi cha XXL cha Clouds fm...
View ArticleSKYLIGHT BAND YAENDELEA KUBAMBA NA MUZIKI WA LAIVU JIJINI DAR.
Kikosi kazi cha Skylight Band kikiongozwa na mkongwe wa muziki wa Live Joniko Flower, Meneja wa Band Aneth Kushaba AK47, Sam Mapenzi na Sony Masamba kwa pamoja wakiwapa raha mashabiki wa bendi hiyo...
View ArticleBALOZI KAMALA AKUTANA KAMISHNA WA BIASHARA WA JUMUIYA YA ULAYA
Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Kamishna wa Biashara wa Jumuiya ya Ulaya Mhe. Karel De Gucht baada kumaliza kikao cha...
View ArticleMAINDA ...!''SASA NI MR & MRS JAMAL RASHID''
 Tusipo sema Dada Mainda congratulations hakika tutakuwa tunakosa adabu, Si vyema kusema ni nini katufanyia na nini tumepata kutoka kwake, Tunachoweza kusema ni kitu kimoja tu; My Dear Lovery Sister...
View ArticleMAINDA & JAMAL WEDDING VIDEO OCT 18,2014
Hii ni moja kati ya harusi iliyochuka kasi Mjini Bukoba na kumike headlines kwanza Maharusiwamependeza ile mbaya Harusi ya ukweli, watu walivyovaa ukumbini,make up,Decoration sina hata la kuongea...
View ArticleHIJA KWA BIKIRA MARIA NYAKIJOGA-LURDI YA BUKOBA OCT 19, 2014
 Baba Askofu Methodius Kilaini akitoa baraka wakati wa misa ya hija-Nyakijoga,Parokia ya Mugana Baadhi ya Wakatoliki wakishiriki Ibada ya misa ya hija Bw Prosper Mbakile akisoma risala kutoka Parokia...
View ArticleBALOZI KAMALA AKUTANA NA WATANZANIA WANAOSOMA VYUO VIKUU VYA UBELIGIJI
Balozi wa Tanzania Ubeligiji (mwenye tai) akiwa katika picha ya pamoja na Watanzania wanaosoma kwenye vyuo vikuu vya Ubeligiji . Balozi Kamala kakutana na Watanzania hao leo hii Brussels.
View ArticleOFISI YA WAZIRI MKUU YAFANYA TATHMINI YA HALI YA CHAKULA NA LISHE MKOANI SIMIYU
Bw. Clement Ngosha wa kijijini Kabita Wilayani Busega, Simiyu, akitumia mbegu za mahindi kueleza hali ya chakula kijijini hapo kwa wataalam wa  Tathmini ya Hali ya Chakula na Lishe inayofanywa na Ofisi...
View ArticleMCHEZAJI AFARIKI AKISHEREHEKEA BAO
Mchezaji wa soka nchini India, Peter Biaksangzuala amefariki kutokana na majeraha aliyoyapata baada ya kuanguka vibaya uwanjani akisherehekea bao lake. Mchezaji huyo alikuwa na umri wa miaka 23 na...
View ArticleUKAWA WAUNGWA MKONO MGOMBEA MMOJA
Baada ya vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kukubaliana kumsimamisha mgombea mmoja wa urais katika uchaguzi mkuu mwakani, baadhi ya wasomi na viongozi wa asasi za kiraia...
View ArticlePART 2 MAINDA & JAMAL WEDDING VIDEO
Mainda & Jamal wedding Reception held at LINAS Night Club 18 Oct 2014.Watch the video below:Mainda &Jamal wedding
View ArticleMISS TZ 2014 SITTI MTEMVU, NI MISS HALALI MWENYE VIGEZO VYOTE!
Kamati ya Miss Tanzania imesema kuwa haiwezi kumvua taji Miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kwa kuwa ni Miss halali na mwenye vigezo vyote vilivyotakiwa, na amewataka watu kutoropoka kwa kuwa hawajui...
View ArticleBAWACHA ON THE RIGHT MOVE, LISTEN TO HALIMA MDEE'S GREAT SPEECH
Msikilize Mwenyekiti wa BAWACHA, Halima Mdee alipohutubia maelfu ya wakazi wa Jiji la Mwanza na vitongoji vyake kwenye Uwanja wa Furahisha, Oktoba 18, 2014.
View ArticleKIFO CHA MAMA COLLETHA RWEYEMAMU
Ibada ya kumwombea marehemu Colletha Rweyemamu iliyofanyikia Jioni ya leo oct 22,2014 katika kanisa la Bugando Hosp, Jijini Mwanza muda mchache kabla ya safari kuelekea bukoba,tayari kwa SHUGHULI ya...
View ArticleBALOZI KAMALA APOKEA VIFAA VYA MCHEZO WA MPIRA KUTOKA CHAMA CHA MPIRA CHA...
Balozi wa Tanzania Ubeligiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (katikati) akiwa na Viongozi wa Chama cha Mpira cha Ubeligiji baada ya kupokea vifaa vya mchezo wa mpira. Kulia ni Msaidizi wa Rais wa Chama cha...
View Article