Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ROLENE STRAUSS WA SOUTH AFRICA NDIYE MISS WORLD 2014

Miss South Africa Rolene Strauss mwenye umri wa miaka 22 amefanikiwa kutwa taji la Miss World 2014 ,mshindi wa pili katika shindano hilo lililofanyika usiku wa leo Dec 14,Jijijni London ni Miss...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AMBASSADOR LIBEATA MULAMULA VISITS TANZANIA COMMUNITY IN CHICAGO

riday December 12, 2014 The Tanzania Midwest Association was honored by the presence of The United Republic of Tanzania Ambassador to the US & Mexico Mrs. Liberata Mulamula standing in front far...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI KAMALA AKIWA NA WAHITIMU WA KITUO CHA CHEKECHEA CHA FRORENCE

Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiwa na baadhi ya Wahitimu wa Kituo cha Chekechea cha Frorence cha Kigogo Dar es salaam.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI KAMALA AANZISHA MFUKO WA ZAWADI WA DR. KAMALA "Dr. KAMALA AWARD FUND"

Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala (aliyevaa miwani) akizungumza katika Mahafari ya Kituo cha Chekechea cha Frorence yaliyofanyika Kigogo Dar es salaam. Watoto mia moja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATOKEO UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA 2014 MANISPAA BUKOBA

Matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 66 ndani ya Manispaa Bukoba,chama cha mapinduzi CCM wamepata mitaa 35 DHIDI ya Umoja wa UKAWA walio jinyakulia mitaa 31.Jumla ya Wajumbe 330 walitakiwa ambapo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIAKA 4 JELA KWA KUMTESA MTOTO MDOGO!!

Mahakama nchini Uganda imemhukumu kwenda jela miaka minne mfanyakazi wa ndani (House girl) Jolly Tumuhiirwe ,aliyepatikana na hatia ya kumtesa na kumpiga mtoto mwenye miezi 18. Katika video iliyosambaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAHAYA JINA LA MWAKA MPYA 2015 NI "IJUKA" !!

Kama kawaida Wahaya tuna kawaida ya kuibatiza miaka kabla haijaanza. Katika muendelezo huo  tayari mwaka mpya wa 2015 umeisha pewa jina nalo ni  'IJUKA' Ikumbukwe kila jina huwa na maana halisi kwa...

View Article

--- Article Removed ---

*** *** *** RSSing Note: Article removed by member request. *** ***

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI JAJI FREDERICK WAREMA AJIUZURU!

Mwanasheria mkuu wa serikali, jaji Frederick Werema amejiuzulu nafasi yake hiyo kuanzia leo, jumanne, Desemba 16, 2014 na rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMKO LA CCM UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA

Chama cha mapinduzi CCM kimesema hakioni sababu ya suala la waliohusika kusababisha dosari zilizojitokeza wakati wa zoezi la upigaji kura kuundiwa tume au kuchunguzwa wakati wanajulikana, badala yake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIPUMBA:Walioshindwa kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa wawajibishwe.

Chama cha wananchi -CUF- kimemtaka rais Jakaya Kikwete kumuwajibisha waziri mkuu na waziri wa tamisemi kwa kushindwa kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa na baada ya kuibuka dosari kubwa zikiwemo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO AOKOLEWA NDANI YA SHIMO LA CHOO

Mtoto wa kiume anayekadiriwa kuwa na umri wa siku moja ameokolewa na wasamaria wema toka kwenye shimo la choo akiwa bado  hai bada ya mama yake mzazi kumeza dawa kwa lengo la kutoa mimba na kumtupa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI KAMALA AKARIBISHWA JIJINI WETTEREN UBELIGIJI

Balozi wa Tanzania Ubeligiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akilisikiliza maelezo kuhusu zawadi aliyokabidhiwa kama ishara ya kumkaribisha jijini Wetteren Ubeligiji. Anayetoa maelezo ni Mhe. Live De...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OFISI YA WAZIRI MKUU KUIMARISHA MIFUMO YA UTOAJI WA TAARIFA ZA TAHADHARI NCHINI

Kaimu Mkurugenzi Idara ya Uratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Harrison Chinyuka (Katikati) akisisitiza jinsi menejimenti ya maafa inavyotekelezwa kwa Utekelezaji wa Mradi wa Kuimarisha utoaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DOZI YA LEO JUMATANO DEC 17,HIVI WEWE VIPI?!

Labda niongee na wanaume leo, najua labda uko karibu sana na mama yako mzazi, najua unampenda sana, najua labda wewe ndio wa kiume peke yako kwenu, najua jinsi mama yako alivyoteseka sana kwa ajili ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WACHEZAJI YANGA WAMLILIA MAXIMO

Mechi kama hiyo ilipofanyika mwaka jana, 2013, Yanga ilifungwa magoli 3-1 na kusababisha aliyekuwa kocha wake Ernie Brandts kutimuliwa pamoja na benchi lake la ufundi. Mwaka huu ni zamu ya kocha Marcio...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK MASSABURI AFUNGUKA SAKATA LA ESCROW KWA MARA YA KWANZA

 SEHEMU YA VIDEO HAPO JUU DK MASSABURI AKIONGELEA  SAKATA LA ESCROW Dk. Massaburi:Tusimtwishe Rais Kikwete mizigo mizitoWATANZANIA wameombwa kumuonea huruma na kumpongeza Rais Jakaya Kikwete, kutokana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NENDA AISHA MADINDA

Na Happiness Katabazi MNENGUAJI wa Muziki wa Dansi nchini ambaye aliwahi kujizolea Umaarufu mkubwa Katika medani za muziki wa dansi Kipindi kile wakati akiwa mcheza show wa Bendi ya African Stars'...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MDH KUTOA BURE HUDUMA YA UCHUNGUZI WA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI-MJINI BUKOBA

Shirika la Usimamizi na Maendeleo ya Afya (MDH) ,shirika la JHPiego na Wizara ya afya wameanza kutoa huduma za Dalili za awali za saratani ya mlango wa kizazi ,Mkoani Kagera,huduma hii tayari imeanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI KAMALA AITANGAZA TANZANIA WETTEREN UBELIGIJI

 Picha zinaonesha Balozi wa Tanzania Ubeligiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akibainisha fursa za uwekezaji na biashara zinazopatikana Tanzania katika Kongamano la kuitangaza Tanzania lililofanyika...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>