Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4196 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUKIO JINGINE LA MAUAJI BUKOBA !

Sehemu ya wananchi pichani na Askari Polisi wakishuhudia mwili wa mtu anayeaminika ameuawa katika eneo la Nshambya karibu na makazi ya Askari polisi wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) Mjini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI CHIZA AWASILI OFISI YA WAZIRI MKUU

Waziri  wa Nchi Mpya wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Mhe. Christopher Chiza akisalimiana na Wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu leo Jijini Dar es Salaam, wakati alipo wasili ofisini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI YATOA ELIMU JUU YA MTANGAMANO WA...

 Akina mama wajasiliamali wakiwa katika kikaoBw. Amantius Msole Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Aiwa na Bw. Clement Ndyamukama Katibu Tawala Wilaya ya Bukoba Katika Kikao na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAMBO BUKOBA KUENDESHA BONANZA LA MICHEZO KWA SHULE ZA MSINGI MKOANI KAGERA...

Jambo Bukoba ni Shirika lisilokuwa la Serikali linalofanya kazi mkoani Kagera kwa kushirikiana na serikali ya mkoa. Mwanzilishi wa Jambo Bukoba  anaitwa Bw. Clemence Mlokozi ambaye asili yake ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI WA CHINA NCHINI TANZANIA AFANYA ZIARA MKOANI KAGERA KUKAGUA ENEO LA...

Balozi wa China nchini Tanzania LU Youqing amewasili mkoani Kagera  leo  alasili tarehe 27/01/2015 kwa ziara ya siku mbili kukagua eneo  lililotengwa na serikali ya mkoa kwa ajili ya kujenga chuo cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIONGOZI NA WAFUASI WA CUF WATAWANYWA KWA MABOMU YA MACHOZI TEMEKE DSM

Jeshi la Polisi limetumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa chama cha wananchi CUF ambao walikuwa wanakwenda kushiri katika mkutano wa kuwakumbuka wanachama wenzao waliouwawa huko visiwani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MARUFUKU SHULE BINAFSI NCHINI KUWAFUKUZA WANAFUNZI WASIOFIKISHA WASTANI

Serikali imezipiga marufuku kitendo cha shule binafsi nchini kuwafukuza ama kuwasitishia masomo wanafunzi wanaoshindwa kufikia wastani na kwamba shule zote zitakazokiuka agizo hilo zitachukuliwa hatua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BURUDANI MAALUM SIKU YA 'VALENTANE DAY'

Shemeji Investment wakishirikiana na Zachwa Investment wanakuletea Usiku maalum wa mahusiano siku ya 'Valentane Day' Feb 14,2015 ndani ya Ukumbi wa Linas Night Club .Usiku huo utakuwa na Dinner &...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FIGO ATANGAZA KUWANIA URAIS FIFA

Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Ureno Luis Figo ametoa taarifa za kushitusha baada ya kutangaza kuwania Uraisi wa FIFA. Nyota huyo wa zamani wa vilabu vya Sporting Lisbon, Barcelona, Real Madrid...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCH.NA MWALIMU WA KAHORORO ATANGAZA NIA YA KUWANIA UBUNGE BUKOBA MJINI

Mwalimu Aidan Muganyizi Gerald pichani.Mjini Bukoba kabla hata kipenga hakijapulizwa tayari Mchungaji na Mwalimu wa Kahororo High School mapema ameshatangaza nia ya kuwania kiti cha Ubunge jimbo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAGASHEKI : CCM KAZI IPO MWAKA HUU

Dar es Salaam. Hofu kuhusu nafasi ya CCM kwenye Uchaguzi Mkuu ujao inazidi kuongezeka baada ya mbunge wa Bukoba Mjini, Balozi Khamis Kagasheki kukitabiria chama hicho tawala “kazi kubwa”, akisema hali...

View Article

MWALIKO WA DARASA LA KISWAHILI

Darasa la Kiswahili hapa Washington DC na vitongoji vyake linaratibiwa na Jumuiya ya waTanzania ya hapa DMV Sasa linafanyika kila Jumamosi kuanzia saa 9 kamili alasiri mpaka saa 11 kamili jioni Anwani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROF.IBRAHIM LIPUMBA APANDISHWA KIZIMBANI

Mwenyekiti wa CUF amepandikishwa kizimbani katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu Dar es Salaam. Mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF Profesa Ibrahim Lipumba amepandikishwa kizimbani katika mahakama ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHUKUA SOMO WALA USIJIBWETEKE!

Hatakama amekuahidi kila ulichowahi kutamani, hatakama amejitambulisha kwa ndugu zako wote, hata kama wazazi wako wamemkubali, hata kama ana vigezo vyote vya mume uliyewahi kumdhania au kumuota,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PUNGUZO LA BEI KWA 21% KUTOKA CHICHI HOTEL,IPO KINONDONI 'B' JIJINI DAR ES...

Uongozi wa Chichi Hotel iliyoko Kinondoni B jijini Dar es salaam,kwakushirikiana na Uongozi wa Bukobawadau  unapenda kuwajulisha wateja wake wote na ndugu wadau wa blog yetu kuwa inatoa punguzo la bei...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFUASI WA CUF 30 WAFIKISHWA KORTINI

Wafuasi 30 wa CUF wafikishwa kortini kwa tuhuma za mashtaka matatu likiwemo la kufanya mkusanyiko usio halali. Wafuasi 30 wa chama cha wananchi (CUF) akiwemo naibu mkurugenzi wa oganaizesheni, uchaguzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA MAALUM KUHUSU KAMPUNI YA NDEGE YA TANZANIA (ATCL)

Zitto Kabwe Mheshimiwa Spika, Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) ilianzishwa mwezi Novemba 2002 baada ya Serikali kubinafsisha lililokuwa Shirika la Ndege la Tanzania (Air Tanzania Corporation, ATC);...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIKA PICHA BUKOBA YETU LEO JAN 31, 2015

Kutoka maktaba ya Bukobawadau hii ni picha ya mwaka 2005 muonekano wa Jengo la shule ya wasichana ya Kajumulo Girls High School. iliyopo Manispaa ya Bukoba Muonekano wa Sasa Jengo la Shule ya Wasichana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SUGE KNIGHT AKAMATWA KWA MAUAJI

Polisi nchini Los Angeles inasema kuwa msanii wa muziki wa rap kutoka Marekani Marion Suge Knight amekamatwa kutokana na mashtaka ya mauaji baada ya kumgonga mtu mmoja na gari lake hadi kumuua na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FRANCES CHEKA AFUNGWA JELA MIAKA MITATU

Bondia wa ngumi za kulipwa nchini francis cheka, amehukumiwa kwenda jela miaka mitatu, sambamba na kutakiwa kulipa shilingi milioni moja kama gharama za matibabu na fidia, baada ya kupatikana na hatia...

View Article
Browsing all 4196 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>