PATA PUNGUZO LA BEI KWA 21% KUTOKA CHICHI HOTEL,IPO KINONDONI 'B' JIJINI DAR...
Uongozi wa Chichi Hotel iliyoko Kinondoni B jijini Dar es salaam,kwakushirikiana na Uongozi wa Bukobawadau unapenda kuwajulisha wateja wake wote na ndugu wadau wa blog yetu kuwa inatoa punguzo la bei...
View ArticleWILAYANI KYERWA NA UTATU MTAKA FUJO!!
Picha kutoka maktaba yetu.NA PRUDENCE KARUGENDOKYERWA ni wilaya mpya iliyoundwa kutoka katika wilaya ya Karagwe mkoani Kagera. Wilaya hiyo iko mpakani mwa Tanzania na nchi mbili za Uganda, upande wa...
View ArticleMUHONGO AMFUATA JK USWISI
WAKATI Watanzania wakisubiri kujua hatima ya Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, aliyewekwa kiporo na Rais Jakaya Kikwete baada ya kuhusishwa na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh...
View ArticleNGOMA AFRICA BAND NA JINAMIZI LA BONGO DANSI
Muziki wa Bongo Dansi unapogeuka mzimu na kuwapeleka puta washabiki !Pia wanamuziki FFU-Ughaibuni kukosa Usingizi. Mashabiki.Ngoma Africa Band Ngoma Ngoma Africa band aka FFU wakiwajibika Imebainika...
View ArticleIJUE HALI YA UCHUMI WA MKOA WA KAGERA ILIVYOKUWA KUFIKIA JUNI 2014 KUTOKANA...
Pato la mkoa wa KAGERA (kwa bei za soko) lilikua kwa asilimia 18.9 katika mwaka 2013 kufikia TZS 2.1 trillion kutoka TZS 1.8 trillion mwaka 2012. Pato la mkoa wa Mwanza limeongezeka kwa 21.9% kufikia...
View ArticleMAAFA YA RADI KIJIJINI BULEMBO KAMACHUMU!!
Wananchi wa Kijiji cha Bulembo Kamachumu wamepata pigo na hasara kwa kupoteza mifugo yao kutokana na radi kubwa iliyopiga Siku ya jana Jumatano 21, majira ya saa 4:30 asubuhi na kupelekea vifo vya...
View ArticleKUKAMILIKA KWA DARAJA LA KIMATAIFA LA RUSUMO MKOANI KAGERA KUTAKUZA UCHUMI WA...
Kukamilika na kukabidhiwa kwa daraja la kimataifa la Rusumo mkoani Kagera mpakani mwa Tanzania na Rwanda kutainua uchumi wa mkoa wa Kagera kwa kutoa fursa zaidi za kibiashara kati za Rwanda, Kongo...
View ArticleWAZAWA WA MKOA WA KAGERA WAISHIO NJE YA MKOA WAJIPANGA KUUREJESHA MKOA HUO...
Baada ya kilio cha muda mrefu kwa wazawa wa Mkoa wa Kagera ambao wanaishi nje ya mkoa huo na wasomi na wenye uwezo mkubwa kiuchumi kukumbushwa kila mara kurudi nyumbani kuwekeza na kuinua uchumi wa...
View ArticleALIKAIDI WAZAZI LAKINI SASA ANAJUTAA!
Sarika na mume wake Timothy wameachana baada ya Sarika kudai kwamba mume wake amekuwa akimdhulumuJe unakumbuka kisa cha wapenzi wawili waliozua gumzo nchini Kenya?Msichana mhindi Sarika Patel kutoka...
View ArticleKATIKA PICHA TUKIO LA UJAMBAZI DARAJANI LEO
Waswahili wanasema siku za mwizi 40,hivi ndivyo Polisi walivyo wafanikiwa kutuliza tukio la Ujambazi maeneo ya darajani Zanzibar. Mmmoja watuhumiwa wa ujambazi katika maeneo ya darajani akiwa chini ya...
View ArticleBREAKING NEWS:WAZIRI MUHONGO AMEJIUZURU
WAZIRI wa Nishati na Madini, Prof.Sospeter Muhongo amejiuzuru nafasi yake kufuatia kashfa ya uchotwaji fedha za Escrow zaidi Sh.bilioni 300.
View ArticleMABADILIKO KATIKA BARAZA LA MAWAZIRI
Wakati aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo leo asubuhi, Rais Jakaya Kikwete ametangaza marekebisho ya Baraza lake la Mawaziri.Taarifa...
View ArticleMATUKIO KATIKA PICHA WILAYANI NGARA
LEO wafanyakazi na watumishi wa radio Kwizera kituo cha ngara mkoani Kagera na Kigoma wamekutana na uongozi wa wa Radio hiyo luweka mipango ya Pamoja kufanikisha utafutaji na utoaji habari kwa jamii...
View ArticleAQDI YA BI AZATH NA BW.SALIM JAN 24,2015
Ni Matukio ya Shughuli ya ndoa ya Bw. Salim Faridu na Bi Azath Hamud ,shughuli hii imefanyika jana Jumamosi Jan 24 ,2015 kuanzia majira ya dhuhuri maeneo ya Kashai Bukoba Nyumbani kwao na Bi harusi....
View ArticleUNAGOMBANA NA DILI?...HIZI SIO AKILI
Dah, kile kimvua cha juzi wanangu ilibaki hivi tu ...Kiduuuuchu nidedi kudadadeki, natoa hai kwa wanangu wote wa kitaa...mtu mzima niko fiti na magumashi yanasonga kama kawa...kama dawa na hivi...
View ArticleTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili mjini Riyadh, Saudi Arabia,asubuhi ya jana, Jumapili, Januari 25, 2015, kuhani kifo cha Mfalme Abdullah bin Abdul...
View ArticleWAZIRI LUKUVI AMKABIDHI OFISI WAZIRI MHAGAMA
Waziri mpya wa Ardhi, Nyumba na Makazi Mhe. William Lukuvi (Mb) (Kulia) ambaye awali alikuwa Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) akifafanua jamabo kuhusu masuala ya Ofisi ya...
View ArticleSHERIA NGOWI AMVALISHA RAIS MPYA WAZAMBIA, EDGAR LUNGU
Rais mpya wa Zambia, Edgar Lungu akiwa amevaa suti maalum (Presidential suit) iliyobuniwa na Mbunifu wa mavazi wa Kimataifa kutoka Nchini Tanzania Sheria Ngowi akikagua gwaride rasmi kabla ya kuapishwa...
View ArticleMAAJABU YA HUU MWAKA 2015
Huu mwaka 2015 una maajabu yafuatayo.......04/04/2015 ni Jumamosi,06/06/2015 ni Jumamosi,08/08/2015 ni Jumamosi,10/10/2015 ni Jumamosi, 12/12/2015 ni Jumamosi. Calendar ya mwaka 1987 imejirudia tena...
View Article