Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4196 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ELIMIKA BURUDIKA NA 'STATUS' ZA WADAU !!

Ni vema tukafahamu kwamba siri ya furaha ya kweli haipo katika vitu tulivyo navyo au vile tusivyo navyo, haipo katika vile vinavyotokea au visivyotokea kwetu, Kitu cha muhimu zaidi na ambacho kimekuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEZI WANAFICHWA KWA MGONGO WA MAMA ANNA !

Mama Tibaijuka amegeuzwa kuwa ndiye escrow ili serikali kuonyesha inawawajibisha waliohusika Ukweli ni kuwa ukiacha suala la maadili ya kikazi na mapungufu ya busara, mama Anna Tibaijuka hajatajwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOFAUTI YA MUZIKI NA MAKELELE

 Tusifanye muziki na makelele kuwa ni kitu kilekile NA PRUDENCE KARUGENDOKUPUNGUA  kwa vipaji vya muziki hapa nchini kwa kiasi kikubwa kumelifanya neno muziki kubadilishwa maana yake. Baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MARADHI YA KUTOPATA CHOO (CONSTIPATION):

Haya ni maradhi ambayo mgonjwa huwa hapati choo kwa wepesi. Haja kubwa inaweza kutoka baada ya siku moja au mbili au zaidi na ikitoka huwa ni kigumu na hutoka kwa shida na wakati mwingine huwa kama cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA NDANI YA CHICHI HOTEL JAN 2015

 Camera yetu ndani ya  Chichi Hotel ,hii ni hoteli ya kisasa iliyo katika viwango inatoa huduma nzuri ya vyumba vya kulala kwa mtu mmoja mmoja, wawili wawili au zaidi na sambamba na breakfast bora....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIBU NYUMBA ZA WAKUBWA KUTUNZA MIHADARATI

Tanzania imekuwa katika vita ngumu ya kupambana na matatizo mbalimbali yanayoisumbua, yakiwamo ya kiuchumi, kijamii na hata kisiasa.Katika baadhi ya nyakati, matatizo hayo yamegeuka kuwa kikwazo kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA Yalaani kufukuzwa Chuoni Waziri Mkuu wa serikali ya wanafunzi

Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA kimelaani vikali uongozi wa Chuo kikuu cha Dodoma kwa kumfukuza chuoni mtetezi mkuu wa wanafunzi ambaye ndiye waziri mkuu wa serikali ya wanafunzi Philipo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SKYLIGHT BAND WAZIDI KULITIKISA JIJI LA DAR WASAJILI VIFAA VIPYA AKIWEMO JOHN...

Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini DarKifaa kipya ndani ya Skylight Band John Music...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASANII WANAOTAKA KUSHIRIKI TAMASHA LA MUUNGANO DAY LA WASANII WA TANZANIA...

Tamasha litafanyika mjini Koloni,Ujerumani  April 2015Wasanii wanaotaka kushiriki katika katamasha la kongamano la wasanii wa Tanzania na afrika mashariki linalotarajiwa kufanyika mjini Kolon,Ujermani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAKATA LA ESCROW;Watumishi watatu wa serikali wapandishwa kizimbani.

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Takukuru imewafikisha mahakamani watumishi watatu wa serikali akiwemo mkurugenzi wa fedha wa benki kuu ya Tanzania BOT Julius Angelo kwa tuhuma za kupokea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YA ARDHI YATAJWA KUWA KINARA WA URASIMU NA UKIUKWAJI WA SHERIA

Kamati ya Bunge ya ardhi maliasili na mazingira imeitaja wizara ya ardhi kuwa kinara wa urasimu na ukiukwaji wa taratibu na sheria za ardhi kiiasi cha kuchochea migogoro na uchelweshwaji wa mikataba ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATU 7 WAKAMATWA MAUAJI YA KASHAI

Marehemu Onesmo Charles Muta aliye uwawa kwa kupiwa risasa nyumbani kwake Katatorwansi KashaiJumla ya watu nane wanashuikiliwa na polisi mkoani Kagera, baada ya kusababisha mauaji kwa aina mbalimbali....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSIBA WA BI LETICIA MATTEI RWECHUNGURA

Tunasikitika kutangaza kifo cha ghafla cha  dada yetu mpendwa Leticia Mattei Rwechungura kilichotokea hapa Ujerumani tarehe 06.01.2015. Mazishi yatafanyika hapa Ujerumani Königswinter, karibu na mji wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BUKOBA YETU JAN 17,2015

 Jengo jipya la abiria lililopo katika Uwanja wa Ndege Mjini Bukoba. Ukarabati na upanuzi wa miundombinu ya kiwanja cha ndege Mjini hapa ukiwa umekamilika sehemu  maegesho ya ndege na barabara ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC JOHN MONGERA WILAYANI NGARA

Siku ya Jana Mkuu wa mkoa wa kagera John Mongela ametembelea mradi wa utafiti wa madini ya Nickel (Kabanga Nickel wilayani Ngara akiambatana na viongozi wa chama na serikali wilayani Ngara kutambua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUFUATILIA UDHAIFU WA UTEKELEZAJI/UTENDAJI WA WIZARA YA MAJI, DAWASA, DAWASCO...

Kumb: OMU/MJ/19/01                                                           17/01/2015SpikaBunge la Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaOfisi NdogoDar Es Salaam:Mheshimiwa,YAH: KUFUATILIA UDHAIFU WA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARAZA LA WATUMIAJI HUDUMA SUMATRA LASHIRIKI KIKAMILIFU MAONESHO YA MIAKA 40...

Afisa wa Elimu kwa Wateja kutoka Baraza la Ushauri la Watumiaji Huduma za Usafi wa nchi kavu na Majini, Nicholous Kinyariri  akitoa maeklezo kwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Monica...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAJI MUTUNGI AVIONYA VYAMA VYA SIASA VINAVYOENDEKEZA MIGOGORO

Hivi Karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la Migogoro ndani ya vyama vya Siasa. Jambo hili linaleta Taswira mbaya kwa jamii, hasa kipindi hiki ukielekea katika uchaguzi Mkuu wa nchi.Athari za migogoro hii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE:CCM HAITARUSU WANUNUA URAIS KUPENYA 2015

  > . Asema wanapoteza muda na pesa zao>. Awataka wakumbuke salaam za mwaka mpya 2015 za CCM.>. Ajivunia uzoefu wa CCM kudhibiti wasio waadilifu>. Atamba CCM kufanya vizuri uchaguzi mkuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AMPIGA STOP MWIGULU KUHUSU ZIARA

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana anadaiwa kuwa amepiga marufuku ziara zinazofanywa na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Mwigulu Nchemba.Mwigulu ambaye pia ni Naibu Waziri wa...

View Article
Browsing all 4196 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>