Vuta nikuvute pichani anaonekana Mchezaji wa Real Madrid, Neymar akimfanyia ubabe kwa hasira kali mchezaji wa Barcelona CescFabregas.
Leonel Messi ndiye aliye ipaisha klabu yake ya Barcelona mara baada ya kuifungi magoli matatu na kuiweka timu yake katika nafasi nzuri
Mchezaji wa Real MadridSergioRamosanatolewa uwanjani kwa kadi nyekundu baada ya kumchezea vibaya Neymar ndani ya penati box
Wachezaji wa Madrid Wa nyuma niSergioRamos (nyuma) na Ronaldo wakishangilia bao la tatu
Mchezaji AngelDiMaria wa RealMadrid pichani (kushoto) akijutia kitendo cha LionelMessikupata bao.
Pamoja kuendelea kujiongezea idadi ya magoli,anaonekana kutokuwa na furaha kabisa Mchezaji CristianoRonaldo
Man of the moment: Karim Benzema
Neymarkatika kuwajibika Uwanjani.
Kushoto anaonekna Mchezaji JordiAlba akiwa ameminywa .
Majemedali wa BarcelonaXaviHernandezna kiungo mwenzake Iniesta wakishangilia kichapo wanachotoa kwa Real Madrid
Mchezaji wa Barcelona LionelMessi anafunga penati na kusawazisha 3-3 Real Madrid.
Mtiti hewani kati ya Mchezaji wa timu ya taifa ya UfaransaBenzema na JavierMascherano.
Leonel Messi ndiye aliye ipaisha klabu yake ya Barcelona mara baada ya kuifungi magoli matatu na kuiweka timu yake katika nafasi nzuri
Mchezaji wa Real MadridSergioRamosanatolewa uwanjani kwa kadi nyekundu baada ya kumchezea vibaya Neymar ndani ya penati box
Wachezaji wa Madrid Wa nyuma niSergioRamos (nyuma) na Ronaldo wakishangilia bao la tatu
Mchezaji AngelDiMaria wa RealMadrid pichani (kushoto) akijutia kitendo cha LionelMessikupata bao.
Pamoja kuendelea kujiongezea idadi ya magoli,anaonekana kutokuwa na furaha kabisa Mchezaji CristianoRonaldo
Man of the moment: Karim Benzema
Neymarkatika kuwajibika Uwanjani.
Kushoto anaonekna Mchezaji JordiAlba akiwa ameminywa .
Majemedali wa BarcelonaXaviHernandezna kiungo mwenzake Iniesta wakishangilia kichapo wanachotoa kwa Real Madrid
Mchezaji wa Barcelona LionelMessi anafunga penati na kusawazisha 3-3 Real Madrid.
Mtiti hewani kati ya Mchezaji wa timu ya taifa ya UfaransaBenzema na JavierMascherano.