Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO IJUMAA MARCHI 21,2014

VIA PAMOJA BLOG

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WARIOBA UMENIRAHISISHIA KAZI YA KUIFUFUA TANGANYIKA:MTIKILA

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mchungaji Christopher Mtikila amesema madai yake ya zaidi ya miaka 20 kuhusu Serikali ya Tanganyika yamerahisishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba na ana imani Tanganyika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENDELEZO YANAYOJILI BUNGENI HOTUBA YA RAIS UZINDUZI WA BUNGE MAALUM LEO...

Naaam sasa Rais JK anaingia Ukumbini kwa kupitia ule mlango wa VIP- Mheshimiwa Abeid Amani Karume sasa Anaingia- Mzee Ruksa, Ali Hassan Mwinyi anaingia sasa- Jaji Mkuu wa Zanzibar, Jaji Makungu...

View Article

LIVE MATANGAZO YA MOJA KWA MOJA RAIS KIKWETE AKIHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA

Matangazo ya moja kwa moja ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akilihutubia Bunge Maalum la Katiba.Gonga link hii hapo chinihttp://www.ikulu.go.tz/

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IF YOU ARE CHAMELEONE FAN-THEN LETS SHARE THIS MESSAGE TO YOU...

On your way to greatness you can only get there by associating yourself to winners NOT loser. I am standing against LUGOGO CRICKET OVAL on the 28Th March which I think is also a good step for our music...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Skylight Band inakufanya uanze week-end yako kwa kutabasamu ni leo ndani ya...

Meneja wa Band Aneth Kushaba AK47 akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye uwanja wao wa nyumbani Thai Village Masaki jijini Dar huku akisindikizwa na Digna Mbepera pamoja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KANYIGO YETU MARCHI,2014

Haya ni majengo yaliojengwa vizuri kwa mfano wa ghorofa ila kwa Sasa Majengo haya yalichomwa moto kutokana na kile kinacho aminika kuwa ni wivu wa maendeleoCamera yetu ndani ya Kata ya Kanyigo Wilayani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOTUBA YA RAIS KIKWETE KWA UFUPI UZINDUZI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA MARCHI...

- Wajumbe mhakikishe mnatunga Katiba itakayodumisha Muungano wetu- Tunahitaji Katiba itakayodumisha Amani na Usalama wa nchi yetu!- Ni mara ya TATU kwa Tanzania kuwa na mchakato wa kutunga Katiba Mpya!...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO/PICHA YALIYOJILI NDANI YA MAISHA CLUB KWA JUMA HILI (MAMBO YA KIBAO KATA)

Kila siku ya jumatano New maisha club imekuwa na utaratibu mpya kabisa waburudani ya kipekee kabisa, baada ya ile ya xtreme deejazy yakupiga disco na drums ambayo ndio burudani namba moja kwa sasa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA KATIKA PICHA RAIS JK AKIHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA MARCHI 21,2014

 Rais Jakaya Kikwete, akiwahutubia Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba leo katika ukumbi wa Bunge mjini Dodom, ambapo katika hotuba yake ametumia dakika 155:46, kwa kutoa ufafanuzi wa masuala mbalimbali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKILIZA NA DOWNLOAD HOTUBA YA RAIS JAKAYA KIKWETE KWENYE BUNGE MAALUM LA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUHIMU KUTOKA MAGAZETINI LEO JUMAMOSI MARCHI 22,2014

VIA PAMOJA BLOG ITEMBWE GENERAL SUPPLIES wasambazaji wa ving'amuzi vya Star Times Mjini Bukoba,Star Times wana lengo la kuifanya kila familia ya Afrika iweze kununua, kutazama, na kufurahia zaidi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETINI LEO JUMAPILI MARCHI 23,2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK anakubali kuiacha Tanzania kwenye maangamizi!

Na Prudence KarugendoMHESHIMIWA  Jakaya Mrisho Kikwete ni mtu mwema sana. Ndiyo maana alipotangazwa kuwa rais wa nchi yetu kwa mara ya kwanza wananchi karibu wote walishangilia, wa chama chake, CCM, na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PAPA NA NYANGUMI NI MIFANO IPASWAYO KUTUFIKIRISHA

Na Prudence Karugendo NILIPOANDIKA  juu ya Watanzania  kuponzwa na utulivu na wema wetu baadhi ya wasomaji walinipongeza na wengine kunilaumu. Vyote viwili, lawama na pongezi, sikuvitilia maanani kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA WAKATI WENGER AKITIMIZA MECHI YA 1,000 KWA KICHAPO NA MAUMIVU KUTOKA...

Mchezo wa 1,000 wa kocha Arsene Wenger umeisha kwa kipigo cha 6-0 kutoka Chelsea. Ushindi huo umemfanya Jose Mourinho aendelee kumtambia Wenger huku akiimarisha rekodi yake ya kutopoteza mechi katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FULL TIME REAL MADRID 3-4 BARCELONA

Vuta nikuvute pichani anaonekana Mchezaji wa Real Madrid, Neymar akimfanyia ubabe kwa hasira kali mchezaji wa Barcelona CescFabregas.Leonel Messi ndiye aliye ipaisha  klabu yake ya Barcelona mara baada...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATU 4 WAUAWA KANISANI NCHINI KENYA

Watu wanne wameuawa baada ya watu waliojihami kwa bunduki kuwafyatulia risasi ndani ya kanisa mjini Mombasa Pwani ya kenya. Watu wengine kumi na saba wamejeruhiwa vibaya. Maafisa wa polisi katika mtaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMATATU MARCHI 24,2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YA MALAYSIA YADHIBITISHA KUWA NDEGE ILIANGUKA KUSINI MWA BAHARI YA...

Huu ni ujumbe rasmi toka mamlaka za Malaysia, kwenda kwa ndugu, jamaa na marafiki wa waliokuwa abiria 239, wa ndege MH370, ya shirika la ndege la Malaysia, iliyopotea zaidi ya wiki mbili sasa. Mbali ya...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>