Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETINI LEO IJUMAA MARCHI 14,2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jacqueline Wolper, Dully Sykes, Linah Sanga, Sheta na Gelly wa Rhymes...

Rapa Joniko Flower akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) huku wenzake wakisebeneka ndani ya kiota cha Thai Village Ijumaa iliyopita pamoja na Ijumaa zingine za kila wiki.Mdau...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO SHUGHULI YA MAZISHI YA MAREHEMU OMWANA GAUDENSIA LUGANGIRA

Check Video hapa ilivyokuwa shughuli ya Mazishi ya Marehemu Omwana Gaudensia LugangiraVideo ya Mwisho Dk Verusi  Kataruga akisoma Wasifu wa Marehemu Gaudensia Lugangira. BUKOBAWADAU BLOG TUNATOA POLE...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATOKEO YA AWALI JIMBO LA KALENGA KUTOKA VITUO MBALIMBALI UCHAGUZI MDOGO...

Mgombea Ubunge Jimbo la Kalenga kwa tiketi ya CCM,Ndugu Godfreya Mgimwa akiwa amebebwa juu na wafuasi wake usiku huu, Match 16,2014 wakati wakisubiri matokeo rasmi kutangazwa. Kamanda wa CCM mkoa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI YA GARI MAENEO YA BUNAZI -KYAKA WILAYANI MISSENYI

Gari dogo aina ya Toyota Opa ikiwa imepata ajali baada ya kugongwa na Basi.Ajali hiyo inalihusisha Basi la Bunda Express lililokuwa likitokea Mutukula Kuelekea Jijini Mwanza.Ni ajali iliyotokea juzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM WAIBUKA KIDEDEA JIMBO LA KALENGA KWA ASILIMIA 79.4

ILIKUWA mwezi, wiki, siku, masaa na sasa limetimia ambapo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka kidedea katika uchaguzi wa kumpata Mbunge wa jimbo la Kalenga, baada ya kuzoa kura kwa asilimia 79.4 dhidi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RATIBA YA MKUTANO WA BUNGE MAALUM TAREHE 17 HADI 21 MACHI, 2014

BUNGE MAALUM TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI RATIBA YA MKUTANO WA BUNGE MAALUM TAREHE 17 HADI 21 MACHI, 2014 Ofisi ya Katibu wa Bunge Maalum inawatangazia Wajumbe wa Bunge Maalum na umma kwa ujumla kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETINI LEO JUMATATU MARCHI 17,2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sumaye Akata rufaa kwa kutoridhishwa na uamuzi wa kumfungia mwaka mmoja CCM

Dodoma. Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye amekata rufaa Kamati Kuu ya CCM kupinga adhabu ya onyo kali aliyopewa na chama kutokana na madai ya kuanza kampeni za urais mapema kwa ajili ya Uchaguzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHOZI LA SENDEKA NI LA KIUZALENDO AU LA MAMBA?

Na Prudence KarugendoCHRISTOPHER ole Sendeka ni mmoja wa wabunge niliokuwa nikiwaona na kuwaamini kuwa wametawaliwa na uzalendo. Hilo,  pamoja na hulka ya watu wa kabila lake, Wamaasai, ya kutokuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAHABARI WA MWANACHI COMMUNICATION KANDA YA ZIWA WAPIGWA MSASA

Aika Massawe.MWANZA MARCH,16,2014 Kampuni ya gazeti la Mwananchi imejipanga kupanua wigo wa kuandika habari kutoka kanda ya ziwa kwa kutoa vipaumbele sita ili wananchi wapate habari zinazoelezea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPA NA PALE NA CAMERA YETU MARCHI,2014

Jioni ya Jana Camera yetu ikicheck na Wadau Viunga mbalimbali vya Mji wa Bukoba. Kaunta ya Juu nje ya Jengo la Bukoba Club Mdau Ben Kataruga  akitweet kupitia account yake ya Twitter ijulikanayo kama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MACHACHE ALIYOYASEMA JAJI WARIOBA LEO MARCH 18,2014 WAKATI AKIHUTUBIA BUNGE...

"Muungano wa Serikali mbili hauwezekani sasa. Muungano ambao tuliachiwa na waasisi wetu si huu. Waasisi walituachia nchi moja, Serikali mbili. Hawakutuachia Serikali mbili, nchi mbili. Msingi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARAZA LA WAZEE WA YANGA LASITISHA MAANDAMANO

Baraza la wazee wa Klabu ya Yanga, leo limetoa tamko la kusitisha maandamano yao ambayo walikuwa wameyapanga kufanyika ili kushinikiza serikali kutoa kibali cha Ujenzi wa uwanja wao wa kisasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PITIA HOTUBA KAMILI YA MWENYEKITI WA TUME YA KATIBA BUNGENI LEO MARCHI 18,2014

TUMIA (+ -)KWA KUONGEZA NA KUPUNGUZA UKUBWA WA MANENO.HOTUBA KAMILI YA MWENYEKITI WA TUME YA KATIBA BUNGENI LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PITIA MAGAZETI YA LEO JUMATANO MARCHI 19,2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BUKOBA YETU LEO JUMATANO MARCHI 19,2014

Jengo la shule ya Msingi Rumuli Iliyopo Mjini Bukoba.Rumuli shule ya Msingi ndani ya Manispaa ya Mji wa Bukoba.Wakati tunapata UHURU mwaka 1961, mkoa wa Kagera ulikuwa na magazeti matatu (3) ya Rumuli,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE. MCHEMBA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA BUNGE LA PAMOJA LA ACP NA...

Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Mwigulu Mchemba (katikati) akipitia hotuba yake kabla ya kuhutubia Bunge la Pamoja la Afrika, Karibiani na Pacific (ACP) na Jumuiya ya Ulaya leo Strasbourg Ufaransa.  Mhe....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MKOA WA KAGERA AZINDUA WIKI YA MAJI KWA KUTEMBELEA MIRADI YA MAJI...

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa shilingi billion 8.2 kwa mkoa wa Kagera ili kuhakikisha wananchi wa mkoa huu wanapata maji safi na salaama na yenye uhakika katika maeneo yao hususani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KANYIGO YETU LEO MARCHI 20,2014

Haya ni majengo yaliojengwa vizuri kwa mfano wa ghorofa ila kwa Sasa Majengo haya yalichomwa moto kutokana na kile kinacho aminika kuwa ni wivu wa maendeleoCamera yetu ndani ya Kata ya Kanyigo Wilayani...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>