BUKOBA LIVE: Wakati inasubiriwa tume itangaze rasmi matokeo
Matukio ya picha Mjini Bukoba Wakati matokeo Rasmi yakisubiriwa kutangazwaWafuasi wa Chadema wakishangilia matokeo ya awali,mitaa mbalimbali ya Mji wa Bukoba,
View ArticleTume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza matokeo ya Urais majimbo 3
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza matokeo ya Urais majimbo 3 ya Paje, Makunduchi na Lulindi.> Mgombea Urais wa CCM, Dr. John Pombe Magufuli anaongoza.
View ArticleWilfred Lwakatare Atangazwa Rasmi Mbunge Bukoba Mjini
Tume yatangaza Rasmi matokeo 'Lwaks' Wilfred M. Lwakatare Mbunge JIMBO la Bukoba Mjini
View ArticleTANGAZO LA MSIBA WA MAMA JUDITH TARIMO
Familia ya Marehemu Cyprian Tarimo ya Ukonga, Mombasa Dar es Salaam inasikitika kutangaza kifo cha mama yao mpendwa Mama Judith Tarimo kilichotokea Oktoba 25,2015 katika Hospitali ya Taifa...
View ArticleBUKOBA LIVE:Ushindi wa Dkt. John Magufuli Urais Tanzania Bara.
Amsha amsha Mjini Bukoba Muda mchache baada ya Mgombea wa urais kupitia tiketi ya chama cha CCM John Pombe Magufuli kutangazwa Kuwa Rais mteule wa taifa la Tanzania kufuatia uchaguzi wa urais...
View ArticleNENO LA SHUKRANI KWA WADAU WA “SIASA ZA BUKOBA”
Ndugu Wadau, Ni miezi mitatu sasa toka kuanzishwa kwa Jukwaa la “SIASA ZA BUKOBA” kupitia Mtandao wa Whatsapp. Tulipoanzisha Jukwaa hili, nia ilikuwa ni kuendeleza dhima ya Bukoba Wadau Media kwa...
View ArticleWAFUASI WA CCM WAMVAA MZEE MENGI
Uchaguzi umepita salama, tunalaani kitendo alichotaka kufanyiwa Mzee Mengi leo pale DIAMOND JUBILEE, Inasemekana wafuasiwa CCM wametaka kumpiga kabla ya. kunusuriwa na Mh.Membe kwa kumuingiza kwenye...
View ArticleDK. JOHN POMBE MAGUFULI AKABIDHIWA CHETI CHA USHINDI WA URAIS WA TANZANIA...
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva (kulia), akimkabidhi cheti cha Urais Rais Mteule wa Tanzania Dk.John Magufuli katika hafla iliyofanyika Ukumbi wa Diamond...
View ArticleMAMBO YALIVYOKUWA KWENYE HAFLA YA KUKABIDHIWA CHETI CHA URAIS DKT MAGUFULI NA...
Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Makamu wa Rais Mteule Mama Samia Suluhu Hassan wakiwa na Mwenyekiti wa Chama cha UPDP Taifa Mhe. Fahmi Dovutwa katika chumba cha VIP cha ukumbi wa...
View ArticleTACCEO YALAANI KITENDO CHA POLISI KUVAMIA OFISI YAO NA KUWAKAMATA WAANGALIZI...
Mmoja wa Wakurugenzi wa Mtandao wa Asasi za Kiraia za Uangalizi wa Chaguzi (TACCEO), Hebron Mwakagenda (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Makao Makuu ya Kituo cha Sheria na...
View ArticleHABARI KUBWA KATIKA TV MBALIMBALI NCHINI
Mabomu Mawili Yalipuka Zanzibar Askari Polisi Ajiua Kwa Risasi Iringa Ajali ya Basi na Noah Yaua 6 Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba
View ArticleSTATE HOUSE STATEMENT
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONSTelephone:255-22-2114512, 2116898E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax:...
View ArticleJOSE CHAMELEONE AWAPA SURPRISE YA NGUVU MASHABIKI WA SKYLIGHT BAND, USIKOSE...
Muimbaji kutoka nchiniUganda Jose Chameleone akiimba kwenye stage ya bendi ya Skylight mara baada ya kupanda kwenye stage hiyo na kuwaacha mashabiki awa bendi hiyo wakitoa shangwe ya nguvu. Njoo leo...
View ArticleSIKU YA MARUHANI
SIKU YA MARUHANI Na Swahilivilla blog. Washington D.CJana ililkuwa ni "Siku ya Maruhani" nchini Marekani. Siku hii ijulikanayo kama "Halloween" husherehekewa kila tarehe 31 Oktoba, na ina historia...
View ArticleTANGAZAO KWA WASAMALIA WEMA: MTOTO CAREEN ANAHITAJI MSAADA
Mtoto Careen Modest Kassuw pichani, ana umri wa mwaka mmoja, amezaliwa ana tatizo la Moyo ukiwa na matundu mawili na valvu zake nyembamba zimebana kiasi hivyo analazimika kusafirishwa kwenda India...
View ArticleBARAZA LA WAZEE DAR LAMPONGEZA DK MAGUFULI KWA USHINDI
Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Mkoa wa Dar es Salaam, Hemed Mkali (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu uamuzi wa baraza hilo wa kumpongeza Rais Mteule...
View ArticleMAZOEZI YA KUAPISHWA KUWA RAIS DK MAGUFULI YAPAMBA MOTO DAR
Kibanda cha kitakachotumika wakati wa kuapishwa kwa Rais Mteule, Dk John Magufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kesho kutwa kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.PICHA ZOTE NA RICHARD...
View ArticleKESHO ALHAMISI NI SIKUKUU NA SIKU YA MAPUMZIKO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ameamua na ameitangaza kesho, Alhamisi, Novemba 5, mwaka huu, 2015, kuwa Sikukuu na siku ya mapumziko. Rais Kikwete...
View ArticleTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Freeman Mbowe amesema kuwa hawatashiriki shughuli ya kuapishwa kwa Dk....
View ArticleSHEREHE ZA KUMUAPISHA RAIS MPYA DK. JOHN MAGUFULI ZAFANA JIJINI DAR
Rais Dk. John Magufuli akila kiapo cha kuwa Rais wa Tanzania, mbele ya Jaji Mkuu Othman Chande. Katikati ni Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue na kushoto ni Rais mstaafu Jakaya Kikwete. PICHA ZOTE NA...
View Article