Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA YETU YA LEO DEC 5,2015

Kikwetu kwetu neno la leo ''Mbajuma nolya, omunaku teitwa miizo"!!

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya NMB yashinda nafasi ya kwanza Tuzo za NBAA kwa mabenki Tanzania

Mkuu wa Idara ya Fedha wa Benki ya NMB, Veronica Pascal (wa pili kushoto) akipokea tuzo kwa niaba ya NMB toka kwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dk. Hamisi Mwinyimvua baada ya kuibuka washindi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUJIKUMBUSHE MATUKIO KATIKA SEND OFF PARTY YA MREMBO IRENE KAYUNGA

Matukio yaliyojiri wakati wa tafrija maalum ya kumuaga Biharusi mtarajiwa Bi Irene Kayunga (pichani kulia)na kumtakia kila la heri katika maisha yake mapya ya ndoa ambayo anataraji kuifunga hivi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais  Dk. John Pombe Magufuli apiga chini Bodi ya TPA na kaimu Mkurugenzi wake Masawe pia amchomoa Katibu Mkuu wizara ya Uchukuzi Dk Mwinjaka na  lakini pia baadhi ya wafanyakazi wa TPA na  TRA kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIJANA WASHAURIWA KUWA NA MOYO WA KUJITOLEA

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof Elisante Ole Gabriel akitoa nasaa zake kwa Vijana wanaojishughulisha na shughuli mbalimbali za kujitolea katika taasisi mbalimbali hapa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BUKOBA CHRISTMAS LAKE VICTORIA CRUISE!

INAKUTANGAZIA BURUDANI KUZUNGUKA NA MELI MASAA 5 SIKU YA KRISMAS YA TAREHE 25 DESEMBA KUPITA VISIWA VILIVYO JIRANI NA MJI WA BUKOBA KAMA VILE MSIRA NA VINGINEVYO.  BURUDANI ZAKIPEKEE ZITAPATIKANA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA KWA MBUNGE WA JIMBO LA BUKOBA MJINI MH. WILFRED LWAKATARE

Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mh.Wilfred Lwakatare 'Lwaks' anapenda kutumia fursa hii kuwakaribisha WanaKagera,Wapenda Maendeleo na Wadau wa Bukoba Mjini katika Kongamano la (Bukoba Municipal Developmental...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPA NA PALE NA CAMERA YETU DEC 8,2015

Camera yetu ndani ya New Coffee Tree Hotel Usiku ya jana Dec 8,2015 ,hoteli inayopendwa na watu wengi kutokana na huduma inayopatikana hapo,pichani tunakutana na wadau wakipata mbili tatu. Pia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI

Magufuli: Tutakuwa na mawaziri 19, kuna baadhi ya wizara zitakuwa na mawaziri na hazitakuwa na manaibu waziri. Lengo ni kuwa na baraza dogo kupunguza gharama. Zilitengwa bilioni 2, mawaziri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSAADA MKUBWA UNAHITAJIKA KWA DADA ELIZA ILI AWEZE KUFANYIWA UPASUAJI WA...

Eliza Juma (30), mkazi wa Mtaa wa Mbwanga Manispaa ya Dodoma anaomba msaada wa hali na mali kutoka kwa yeyote ataeguswa ili aweze kufanyiwa upasuaji wa uvimbe tumboni ambao umekuwa ukiongezeka kila...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WADAU WAPONGEZA GOING BONGO

Rais wa Shirikisho la Filamu Simon Mwakifamba akiongea na vyombo vya habari wakati wa uzinduzi filamu ya ‘Going Bongo’ uliofanyika jana Ijumaa WADAU mbalimbali waliofika kwenye  onyesho la kwanza la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha ya Lorraine Marriot -Miss Universe Tanzania 2015 akiwa Las Vegas -...

Hii ni picha nyingine ya mrembo Lorraine na imetoka usiku  huu ikiwa ni official picha ya close up akiwa amevalia official gown

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHABIKI WAZIDI KUIFANGILIA SKYLIGHT NJOO LEO UPATE VITU VIPYA KUTOKA KWENYE...

 Hakika kwenye shoo ya Skylight ya kila Jumapili sio ya kukosa njoo ujionee mambo mazuri kutoka katika bendi ya Skylight.....Just Follow the Light.  Sam Mapenzi na Natasha wakiwapa raha mashabiki wa...

View Article


ITAMBUE TOFAUTI ILIYOPO KATI YA NEC NA ZEC - NAJMA GIGA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISA MAALUM KUMBUKUMBU YA WAPENDWA WA FAMILIA YA MAREHEMU DANIEL RWECHUNGURA.

Ndugu, jamaa na marafiki wameungana na familia ya marehemu Daniel Rwechungura katika ibada ya misa ya kumbukumbu iliyofanyika siku ya jana Jumamosi  Dec 12,nyumbani kwa marehemu Kijijini Kangantebe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSHINDI WA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 CAROLINE CHELELE,...

Mshindi wa Shindano la Mama shujaa wa Chakula Msimu wa nne Bi. Caroline Chelele aliyekaa kwenye Pawatila akifurahia zawadi zake, Muda mfupi baada ya kukabidhiwa. Katibu Tawala wa Wilaya ya Kilombelo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OMUTONO 2016 YANGUHA 2016

Omwaka gwa 2016 ni YANGUHA. Okwijuka kwa 2015 kutwanguhye kukora ebisaine Buli omo atekeleze ekishasize.Akyekomye mara akyechumerage Abajwahuka bagoshooka.Ebitekelezo ebi nibituha endengekeza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO ATOA MWELEKEO WA UTENDAJI...

  Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani akizungumza na watendaji wa Wizara ya Ujenzi pamoja na Taasisi zake kuhusu ufanyaji kazi kwa uadilifu kwa kuzingatia maslahi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NUNUA BIDHAA KWA PUNGUZO LA BEI NDANI YA KABAGO SHOP WAPO MTAA WA ONE WAY BUKOBA

Kuelekea msimu huu wa sikukuu ya Xmas na Mwaka mpya unakaribishwa ndani ya KABAGO SHOP ujipatie bidhaa kwa punguzo maalum kwa jumla na rejareja ,pichani wanaonekana baadhi ya wateja wakinunua bidhaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HARAKATI ENDELEVU ZA KIKUNDI CHA “BUKOBA MPYA PROJECT” ZOEZI LA KUTOKOMEZA...

HARAKATI ENDELEVU ZA KIKUNDI CHA “BUKOBA MPYA PROJECT”ZOEZI LA KUTOKOMEZA MAZALIA YA MBU KATA ZA MANISPAA YA MJI BUKOBA Ndugu Wadau,“Bukoba Mpya Project” ni zao la harakati endelevu chini ya Bukoba...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>