Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FURAHIA BUKOBA YETU LEO JAN 28,2014

Muonekano wa Mji wa Bukoba kwa Juu, maeneo ya Uswahilini Bilele,na mitaa ya Hindu. Sehemu ya Mji wa Bukoba unavyoonekana kutokea juu Maeneo ya stand kuu mjini hapa. Nyumba makazi ya mdau. Uwanja wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AFANDE SELE AHUTUBIA MKUTANO WA CHADEMA OERESHENI M4C PAMOJA DAIMA MOROGORO

Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya, Afande Sele akiwahutubia wananchi wa Kata ya Tungi mjini Morogoro jana, katika mkutano wa hadhaa wa Operesheni M4C Pamoj Daima, ambao pia ulihutubia na Mwenyekiti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DJ JOHN DILLINGA A.K.A DJ JD AONGELEA DISKO LA OLD SCHOOL NA ISUMBA LOUNGE

Disck Jockey Mkongwe DJ JOHN DILLINGA A.K.A DJ DJ akiongelea mustakabali wa Disco nchini Tanzania na Isumba Lounge

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA KIJIJINI RUZINGA KANYIGO LEO JAN 29,2014

Camera yetu Kijijini  Ruzinga Kanyigo Wilaya ya Missenyi, pichani ni muonekano wa Kanisa Dayosisi ya Usharika Ruzinga Bango la Kanisa la KKKT Kijijini Ruzinga. Picha ya kanisa la KKKT Ruzinga kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SOMA MAGAZETI MUHIMU YOTE LEO JAN 30,2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEW COFFEE TREE HOTEL INAWALETEA NYAMACHOMA FESTIVAL ON VALENTINE DAY

NEW COFFEE TREE HOTEL INAWALETEA NYAMACHOMA FESTIVAL ON VALENTINE DAY SIKU YA IJUMAA YA TAR 14/02/2014. KUTAKUWEPO NA LIVE BAND&VINYWAJI&NYAMACHOMA ZA MBUZI,NG'OMBE,KUKU PAMOJA NA SAMAKI WA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

R.I.P MZEE ABDALLAH NZOMKUNDA

  Bukobawadau Blog tumepokea taarifa za kifo hiki kwa masikitiko makubwa, tunapenda kutoa pole kwa ndugu na jamaa wa familia ya Marehemu Mzee Abdallah Nzomkunda,pole kwa Watoto wa Marehemu,dada zangu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AKAGUA MIRADI YA VITUO VYA PAMOJA VYA USHURU NA FORODHA...

Naibu Waziri Malima AKiwa Maelezo na Wahandisi wa Daiho Kuhusu Mradi Meneja wa Wakala wa Barabara TANIROADS Mhandisi Kalupale Akisoma Taarifa ya Mradi Mpakani Rusumo Wilayani Ngara. Mhandisi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VALENTANE SPECIAL NDANI YA LINAS NIGHT CLUB

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AWAAPISHA WAZIRI NA MANAIBU WAZIRI IKULU JIJINI DAR LEO

Rais Jakaya Kikwete, akimuapisha Ummy Mwalimu, kuwa Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakati wa hafla fupi ya kuwaapisha Waziri na Manaibu Waziri iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Jan...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PRESIDENT KIKWETE OPENS THE AGRIBUSINESS CONGRESS EAST AFRICA IN DAR ES SALAAM

 Heading for the function hall  Introductory speechPart of the participants Click… President Kikwete delivers his keynote speech Participants listen attentively It’s a full house I thank the organisers...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHECK OUT VIDEO YETU YA LEO JAN 31,2014 MSANII NSHOMILE AKIFANYA YAKE SPECIAL...

 Check Video yetu ya leo Jan 31,2014 Msanii Nshomile akitoa burudani -Mkutano wa Mh.Kagasheki

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETINI LEO IJUMAA JAN 31,2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJUZA AKUTWA KAMA ALIVYO ZALIWA CHUMBANI KWA MTU!!!

Sehemu ya Wananchi wa Kata ya HAMUGEMBE  Mjini Bukoba wakiwa wamezunguka eneo la tukio  mara baada ya Polisi kufika hapo kumsaidia  Bibi Kizee baada ya kukurupushwa  chumbani kwa mtu akiwa uchi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA SHUGHULI YA MAZISHI YA MAREHEMU ABDALLAH NZOMKUNDA YALIYOFANYIKA LEO...

Mwili wa Marehemu Abda llah Nzomkunda aliyefariki dunia usiku wa kuamkia jana ukipelekwa makaburi leo Jan 31, 2014 Baada ya mwili wa Marehemu Abdallah Nzomkunda kusaliwa msikitini, sasa unapelekwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK KUKATAA KUITUA MIZIGO ANAMKOMOA NANI?

Na Prudence KarugendoBINADAMU  tumeumbwa na hulka tofautitofauti, katika hulka hizo kuna watu wameumbwa na hulka za unafiki na wengine si wanafiki.Pamoja na kwamba watu hatupaswi kujisifia lakini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAMBO BUKOBA YAWAJENGEA UWEZO WATOTO WA KIKE KUJIAMINI NA KUSHIRIKIANA NA...

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Kanali Mstaafu Fabian Massawe Akiwahutubia Wananfunzi na Wageni Waalikwa kwenye Ufunguzi wa Binanza la Jambo Bukoba Kaitaba Watoto Wakinyesha Michezo ya Kitamaduni na Mwalimu Wao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI MBAYA DODOMA ASKARI POLISI WATANO WAFARIKI PAPO HAPO!!

Ajali mbaya ya kusikitisha imetokea usiku huu majira ya sa nane na nusu ambapo gari ya ya polisi iliyokuwa inatoka Dodoma kwenye sherehe ya mapolisi iliyokuwa inafanyika katika ukumbi wa mipango, Gari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAJI MARK BOMANI ATETEA SERIKALI TATU

Dar es Salaam. Jaji mstaafu, Mark Bomani, ametetea kuwepo kwa muundo wa Serikali tatu na kuwabeza wanaodai kuwa ni wa gharama kubwa.Amesema dhana hiyo si sahihi na kwamba anayedai kuwa itakuwa hivyo....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA YAFANYA KUFURU UWANJA WA TAIFA LEO,YAICHAPA JKT OLJORO BAO 4-0

 Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic akisalimiana na kocha wa Oljoro JKT, Hemed Moroco.   Wachezaji wa Simba wakisalimiana na wenzao.Kikosi cha timu ya Simba kilichoanza katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>