Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4196 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANO WAONGOZA KUCHANGIA BUNGENI

Dodoma. Tangu kuanza kwa Bunge Maalumu la Katiba, Februari 18 mwaka huu,  wajumbe watano  wanaonekana kuwa ndio wachangiaji wakuu katika mjadala wa Rasimu ya Kanuni za Bunge hilo.Bunge hilo la Katiba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAULI ZILIZOVUTA HISIA YA WENGI BUNGE MAALUM LA KATIBA DODOMA

Dodoma. Ni vigumu kueleza matukio yote yaliyotawala kauli na hisia za wengi kwa wiki nzima mjini Dodoma bila kuangalia  michango ya baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba.Michango hiyo ya mawazo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PATA KUMSIKILIZA MSANII LIL-ASHY/YOUNG ASHRAAF KUPITIA 88.5 KASIBANTE FM RADIO

Siku ya Jumatatu Marchi 10,2014 msanii WETU hapa Nyumbani Bukoba mkali Lil-Ashy ama Young Ashraaf atakuwa 88.5 KASIBANTE FM RADIO kwenye THE SCORE kwa interview na kupresent wimbo wake mpya unaoitwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA YETU YA LEO IJUMAA MARCHI 7, 2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO IJUMAA MARCHI 7,2014

 

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO WA WAZIRI AZUIA NDEGE KUTUA

Shirika la ndege la MEA lasema ndege yake iliyokuwa na abiria 71 ililazimika kurudi Beirut baada ya mtoto wa kiume wa waziri wa uchukuzi wa Iraq kuchelewa kuabiri na kupiga simu Baghdad akiomba ndege...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BUNGE LA KATIBA LAZUIA WAANDISHI WA HABARI

Bunge Maalumu la Katiba limepitisha kanuni ya kuwazuia waandishi wa habari kuingia katika vikao vya kamati za chombo hicho, hatua ambayo inaelezwa ni kinyume na Katiba inayotoa uhuru wa wananchi kupata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHAKATO WA UBUNGE CHALINZE-TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Chama cha Demokrasiana Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Chalinze kimeanza mchakato wa ndani wa kupata mgombea ubunge kwa ajili ya uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika mapema mwezi Aprili, mwaka huu,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Skylight Band yaendelea kuwapa raha mashabiki wake, ni Ijumaa hii tena @ Thai...

Vijana wa Skylight Band wakitoa burudani Ijumaa iliyopita kwa mashabiki wao kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar... Burudani inaendelea kama kawaida tukutane tena leo jioni......ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPPY WOMEN’S DAY

International Working Women's Day, is marked on March 8 every year. In different regions the focus of the celebrations ranges from general celebration of respect, appreciation and love towards women to...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO WA KWANZA KUZALIWA KWA NJIA YA UPANDIKIZAJI NCHINI

Unapoingia katika nyumba ya familia ya Salehe Saidi, macho na masikio yako hayawezi kukwepa ucheshi wa kijana wa miaka 13, Jumbe Salehe. Ni kijana anayeipa tabasamu familia hiyo.Jumbe ni mwenye nguvu,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TZ SAKATA LA NESI FEKI KUKAMATWA

Hatari sana! Mwanamke aliyetambulika kwa jina la Joyce Jonas, mwenye umri unaokadiriwa kuwa kati ya miaka 45 na 50, mkazi wa Tabata, Dar, ametiwa mbaroni kwa madai ya kughushi vyeti vya unesi kisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LEO JUMAMOSI MARCHI 8,2014 NI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Mwanamke wa Ki Africa, Mama anaye pata taabu sana Ikiwa leo ni siku ya wanawake duniani tutumie siku hii kuwatizama wanawake hawa ambao ndio mama zetu

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA MAGAZETINI LEO JUMAMOSI MARCHI 8,2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MARUK VANILLA Wafurahia Msimu wa Mavuno ya Pilipilimanga Mkoani Tanga

Muonekano wa Pilipilimanga baada ya kuvunwa.Pilipilimanga ikikaushwa juani.Pilipilimanga ikiwa tayari kufungwa na kusafirishwa.Uvunaji wa Pilipilimanga ukiendelea.Maruk Vanilla, kampuni ya wakulima wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndesamburo:Ingeitishwa kura ya maoni kabla ya Bunge la Katiba

Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo, amesema kabla ya Bunge la kutengeneza Katiba, serikali ingeitisha kura ya maoni ya wananchi juu ya muundo wa Muungano.Ndesamburo ambaye pia ni Mjumbe wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENYEKITI WA CHADEMA IRINGA ACHOMWA KISU

Daktari akiwa amezamisha kidole chake kwenye jeraha la Ndugu Richard wakati alipokuwa akimsafisha kidonda baada ya tukio hilo. Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Kalenga, kwa taarifa zisizo rasmi zinasema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO QIAN ALIYE USHANGAZA ULIMWENGU MWAKA 2012

Mwaka 2000, mtoto Qian Hongyan, aliumia katika ajali mbaya ya gari akiwa na umri wa miaka mitatu. Ili kuweza kuishi madaktari bingwa iliwalazimu wamkate miguu yake miwili na kumwekea mpira uliomfanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BUNGE MAALUMU:KUNOGA KUSISAHAULISHE CHUNGU

Na Prudence Karugendo JUMA lililopita niliandika nikionyesha namna ukosefu wa hoja, hekima, umakini, busara na haki na badala yake ukatamalaki ubabe, unavyoweza kuipeleka nchi kuzimu. Nilitoa mifano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YAONDOLEWA MASHINDANO YA KLABU BINGWA BARANI AFRIKA KWA PENATI

Young Africans imetolewa kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na mabingwa watetezi Al Ahly kwa mikwaju ya penati 4-3 kufuatia kumalizika kwa dakika 90 za mchezo Al Ahly ikiwa na bao 1- 0...

View Article
Browsing all 4196 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>