Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAISLAMU MULEBA WAZUIWA KUFANYA MIHADHARA

Shekhe wa wilaya ya Muleba Zacharia Kagimbo MULEBA: WAUMINI wa dini ya kiislamu katika mji wa Muleba Mkoani Kagera juzi  wamezuiwa na jeshi la polisi wilayani humo kuendelea na mhadhara wa dini yao kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CAMERA YETU MJINI BUKOBA LEO ALHAMISI APRILI 10,2014

Taswira mbalimbali na Camera yetu mapema ya leo mjini hapa, Pichana kulia ni Mkurugenzi wa Sheria na utawala Shirikisho la soka nchini TFF Ndugu Mdau Evodius akiteta jambo na Rais wa Balimi FC Mdau Al...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA YETU YA LEO

Hawa ndio tunawalipa laki tatu kila siku kwa ajili ya kutuandalia katiba mpya

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OFFER!OFFER!OFFER KWA 30% KUTOKA STAR TIMES TANZANIA KATIKA MSIMU HUU WA PASAKA

Punguzo  maalum la bei katika msimu huu wa sikukuu ya Pasaka, sasa unaweza kufurahia chaneli zaidi y 70 bila dish wala chengachenga, utapata king'amuzi kwa Tsh 79,000 badala ya 109,000.wahi package...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENDI YA KIJANJA SKYLIGHT YAZIDI KUPAGAWISHA MASHABIKI WAKE THAI VILLAGE

Aneth Kushaba AK 47 akiongoza Madiva wenzake kutoa burudani kwa wapenzi wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye ukumbi wa Thai Village Masaki jijini Dar.(Picha na Zainul Mzige).Birthday Girl mdau wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WA TZ WEPESI WA KUSAMEHE

 Kifo cha Gaddafi, Watanzania ni wepesi wa kusamehe na  kusahau Na Prudence KarugendoJUMA lililopita niliandika makala yenye kichwa cha habari “Kifo cha Gaddafi ba maajabau ya Watanzania” lakini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SOKA (MPIRA WA MIGUU)HUKO KASHARUNGA MULEBA

Diwani Kata ya Kasharunga wilayani Muleba Alhaji Khalid Hussen akigawa zawadi kwa mshindi wa ligi ya Diwani,kama ilivyokuwa azma yake  ambapo Kasharunga FC mshindi wa kwanza Kasharunga Fc wamepata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UBELIGIJI NA TANZANIA KUHAMASISHA UWEKEZAJI KATIKA RELI TANZANIA

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiwa katika picha ya pamoja na Mwakilishi wa Wadau wa Sekta ya Reli Ubelgiji Bwana. Jacques Delaunoit baada ya kumaliza kikao cha kuandaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA NGARA KUTANGAZA UFAULU WA BRN, BIHARAMULO WASHINDI KIMKOA WATAKA...

Kaimu Afisa elimu wilayani Biharamulo Samwel Sammy akipanda mti katika shule ya msingi Nyamigogo iliyokuwa ya kwanza kiwilaya na kikata ikiwa ya 10 kimkoa na 26 kitaifa katika matokeo ya darasa la saba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OFFER!OFFER!OFFER KWA 30% KUTOKA STAR TIMES TANZANIA KATIKA MSIMU HUU WA PASAKA

Punguzo  maalum la bei katika msimu huu wa sikukuu ya Pasaka, sasa unaweza kufurahia chaneli zaidi y 70 bila dish wala chengachenga, utapata king'amuzi kwa Tsh 79,000 badala ya 109,000.wahi package...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETINI LEO JUMAMOSI APRILI 12,2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALAA!! AJALI NYINGINE YATOKEA BK RWAMISHENYE (ROUND ABAUT) ASUBUHI YA LEO...

Taswira hii ndivyo ilivyo hali ya hewa kwa kutwa ya leo Jummosi Aprili 12,2014 ,Kupitia Bukobawadau Blog. Hivi ndivyo Gari lilivyogonga hodi sebuleni kwa mtu asubuhi ya leo majira ya Saa tatu na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NGURUMO HATUNAE TENA DUNIANI!!

Habari za hivi  punde ni Kuwa Mzee wetu gwiji wa muziki wa dansi Muhidin Gurumo amefariki dunia muda mfupi uliopita.R.I.P Muhidin Ngurumo tutakukumbuka daima,ulikuwa alama kubwa ya muziki wa dansi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

“EKA MBE” KANALI FABIAN MASSAWE

Na Prudence Karugendo NIANZE  makala hii kwa usemi wa lugha maarufu mkoani Kagera,   Kihaya, usemao kwamba “ebitagira mahyo tibyera”. Usemi huo hauna tafsiri ya moja kwa moja katika Kiswahili isipokuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU WA CCM KINANA, NA VIONGOZI WENGINE WAWASILI SALAMA MKOANI KATAVI

 Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanal Mstaaf Issa Machibya akishuka kwenye boti usiku huu kwenye bandari ya Karema mkoani Katavi akiwa ameambatana na Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana,na Viongozi wengine wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMKO LA KATIBU MKUU KIONGOZI KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU HATI YA MUUNGANO...

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARITHE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONSTelephone: 255-22-2114512, 2116898E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.compress@ikulu.go.tzFax:...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA KATIKA MSIBA WA MZEE MUHIDIN MAALIM GURUMO NYUMBANI KWAKE MABIBO...

 Sehemu ya Waombolezaji wa Msiba wa nguli wa Muziki wa Dansi hapa nchini na aliekuwa kiongozi wa Bendi ya Msondo Ngoma,Marehemu Mzee Muhidin Maalim Gurumo wakiwa nyumbani kwake Mabibo (Tabata...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA TFF MH.JAMAL MALINZI KUENDELEA KUWA MWENYEKITI WA (KRFA)

Mwenyekiti wa chama cha mpira wa Miguu Mkoa wa Kagera (KRFA)Jamal Emil Malinzi akizungumza na Wajumbe waliojitokeza katika mkutano huo wa Utekelezaji wa Chama cha Mpira wa Miguu (KRFA) Mkoa wa Kagera,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OFFER MAALUM KWA 30% KUTOKA STAR TIMES TANZANIA KATIKA MSIMU HUU WA PASAKA

Punguzo  maalum la bei katika msimu huu wa sikukuu ya Pasaka, sasa unaweza kufurahia chaneli zaidi y 70 bila dish wala chengachenga, utapata king'amuzi kwa Tsh 79,000 badala ya 109,000.wahi package...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIJIJI CHA BUGORORA MISSENYI NA HARAKATI ZA MAENDELEO

Ndugu Frederick Kamugisha pichani, Mweyekiti wa Tujunangane Saccas Bugorora. Wananchi hawako nyuma katika kushiriki maamuzi,huu nni mkutano wa halmashauri ya kijiji ambao Afisa mtendaji wa kata ya...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live