Quantcast
Channel: BUKOBA WADAU
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live

TANZIA: KIFO CHA TA PAULO KILAINI ( BABA YAKE ASKOFU METHOD KILAINI)

Habari tulizozipokea asubuhi ya leo Alhamisi Aprili 3,2o14 na kuthibitishwa na  mtu wa karibu ya familia  ya Baba Askofu Method Kilaini ya kuwa Baba yake mzazi ,Ta Paulo Kilaini amefariki duniamapema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAJI WARIOBA AISHANGAA SERIKALI

Dodoma. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema waliokuwa wajumbe wa tume hiyo hawajawahi kudai malipo ya pensheni ya Sh200 milioni kama inavyodaiwa.“Wajumbe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NJOO TUCHEZE STYLE YA "YACHUMA CHUMA" NA SKYLIGHT BAND LEO NDANI YA KIOTA CHA...

Video mpya ya nyimbo ya Kariakoo ya Skylight Band...Enjoy.Aneth Kushaba AK47 (wa pili kushoto) akiongoza waimbaji wa Skylight Band kutoa burudani burudani kwa mashabiki wao kwenye kiota cha Thai...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA MAGAZETINI LEO JUMAMOSI APRILI 5,2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAGERA SUGAR NGUVU SAWA NA SIMBA 1-1 UWANJA WA KAITABA LEO APRILI 5,2014

Ligi kuu soka Tanzania Bara leo imetimua vumbi katika Uwanja wa Kaitaba Mjini Bukoba,mechi ya leo kati ya Kagera Sugar na Simba ambapo Simba imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na wenyeji Kagera...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RULENGE KANAZI NA NYAMIANGA WILAYANI NGARA KUPATA HUDUMA YA UMEME

 Mkuu wa wilaya ya Ngara Costantine Kanyasu WANANCHI wa Tarafa za Rulenge Kanazi na Nyamiaga wilayani Ngara Mkoani Kagera wanatarajia kusambaziwa huduma ya nishati ya umeme  baada ya Rais Kikwete kutoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIZUNGUMKUTI CHA MASHINE YA KUSAGA KIJIJINI BUGOMBE KANYIGO

Mwenyekiti wa kijiji cha Bugombe Ndg Japerson Mutabuzi akiwa na Afisa mtendaji wa kijiji hicho Ndg Marwa (pichani kulia)wakifanya mawasiliano na wahusika waliofunga mashine kijijini hapa ambayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MDAU FRANK THEODORY KATIKA HAFLA YA CHAKULA CHA USIKU ILIYO ANDALIWA NA RAIS...

Mdau frank theobald theodory  (katikati) akiwa na Rais Jakaya Kikwete na mkewe,Mama Salima alipo pata bahati ya kushiriki  Hafla ya  Chakula cha usiku iliyo andaliwa na  Mh  Rais Kikwete alipokutana na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAOPINGA RASIMU YA KATIBA MPYA WANAMKANA JK

Na Prudence KarugendoMWANZONI  kabisa alipoingia madarakani, Rais Jakaya Kikwete, alisema wazi kwamba jambo moja kubwa lililokuwa likisumbua kichwa chake ni kero zilizokuwa zikijitokeza kwenye Muungano...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KISHINDO CHA AJALI DARAJANI KASARANI BUKOBA

Hii ni barabara kuu inayoingia na kutoka Bandarini Mjini Bukoba,kwa jina ni barabara ya Uganda ndani ya Manispaa ya Mji wa Bukoba. Hivi Ndivyo linavyo onekana Gari likiwa limeacha njia na kupinduka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI WILAYANI NGARA KUANZA KUSAKA WANAFUZI WASIOKWEDA SHULE.

NGARA: Na Shaaban Ndyamukama, DATE.:April 4, 2014 SERIKALI wilayani Ngara mkoani Kagera imewataka wakuu wa shule za sekondari wilayani humo kupeleka majina ya wanafunzi ambao hawajaripoti kuanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMBUKUMBU YA MIAKA 20 MAUAJI YA KIMBARI YA RWANDA

Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni  akikagua  Gwaride Maalum mara baada yakuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Kigali nchini Rwanda  Rais Museveni amewasili Mjini Kigali kwa ajili ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA MAGAZETINI LEO JUMANNE APRILI 8,2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMILISHA SIKU KWA MAGAZETI YA LEO JUMATANO APRILI 9,2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SKYLIGHT BAND WAFANYA UZINDUZI RASMI WA NYIMBO YAO MPYA YA KARIAKOO PAMOJA NA...

Meneja wa Band ya Skylight Aneth Kushaba akielezea kwa kina uzinduzi Rasmi wa wimbo wao Mpya unaokwenda kwa jina la Kariakoo ambapo uzinduzi huo uliambatana na Video pamoja na Audio. Pia ametambulisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UBELGIJI WATEKETEZA TANI 1.5 ZA MENO YA TEMBO

Picha inaonesha meno ya tembo na Mtambo wa kuteketeza meno hayo. Leo hii Serikali ya Ubelgiji imeteketeza meno ya tembo tani 1.5 iliyoyakamata yakiingingizwa Ubelgiji. Balozi wa Tanzania Ubeligiji Dr....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMAMUMA KATIKA UONGOZI WA NCHI NI CHANZO CHA UHARIBIFU WA MAZINGIRA

Na Prudence Karugendo MAZINGIRA ni uhai: Neno hilo tulifundishwa shuleni tangu madarasa ya awali. Tulikuwa tunafundishwa kwamba mimea ndiyo hutoa hewa ya Oksijen tunayoivuta pamoja na kuchangia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA KAMILI UWANJANI BAYERN 3-1 MAN UNITED (4-2 agg)

Timu ya  Manchester Unitedimetolewa  nje katika mashindano  ya Ligi ya Mabingwabaada ya kushindwakuonyesha cheche dhidi BayernMunich. RooneynaDantewakiruka juu kwa pamoja, hii ni mwanzoni mwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NGARA YAJIPANGA KUFAULISHA KWA KIWANGO KIKUBWA KATIKA BRN

 Mwalimu mkuu shule ya msingi Ntanga Mwl. Sendabaye Justus akikabidhiwa kinyago baada ya shule yake kupata ufaulu wa wastani wa 16% matokeo ya darasa la saba mwaka janaKatibu Tawala wilayani Ngara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NASAHA ZA NYERERE UGHAIBUNI

Katiba mpya, Nyerere anapotumika kuwakwamua majirani  wakati sisi tumekwama! Na Prudence Karugendo NAPENDA misemo ya wahenga kwa vile mara zote huonekana  imelenga mbali. Wahenga wa Kihaya walisema...

View Article
Browsing all 4177 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>