NAIBU WAZIRI CHARLES MWIJAGE AIUNGA MKONO TIMU YA RAS KAGERA FOOTBALL CLUB...
Katika kutengeneza ajira kwa vijana na kuuendeleza mkoa wa Kagera kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo kutoka sehemu mbalimbali na ndani ya mkoa Katibu Tawala wa Mkoa Bw. Nassor Mnabila aliamua...
View ArticleTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TAARIFA YA UKAGUZI WA FEDHA ZA SERIKALI...
· Upotevu wa shilingi trilioni 1.151 Serikali kuu pekee hauvumiliki.· Makusanyo yote yaliyotokana na kuongezeka kwa kodi 2013/14 yameyeyukaChama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)...
View ArticleKIGOMA WAPONGEZWA KWA UBUNIFU WA KUSAFIRISHA WAOMBA HIFADHI YA UKIMBIZI...
Mkuu wa mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya (mwenye koti) akipata maelezo ya njia ya kutembea kwa miguu kutoka Kagunga hadi Mkigo kutoka kwa mkazi wa kijiji hicho, Mahmud Ahmad wakati...
View ArticleMIEMBENI BUKOBA WAANZA KWA MWAMKO KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTRARI LA WAPIGA...
Mr. Rahym Kabyemela akishiriki zoezi la kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura lililo anza rasmi kwa mwamko mkubwa na limekwenda vizuri , siku ya leo Jumanne May 21,2015 katika kata ya...
View ArticleWAKULIMA WA KAMACHUMU WAJIKOMBOA NA MUCOGA
Mkuu wa wilaya Muleba katikati mwenye Kaunda suti na viongozi wa MUCOGAMkuu wa wilaya Muleba, Francis Isack, akitoa hotuba ya uzinduziMuhandiki akiongea kwenye ufunguzi wa MUCOGAWana MUCOGA...
View ArticleBALOZI KAMALA AMSHUKURU MZEE NYAMTARA MUKOME KWA KAZI NZURI ALIYOFANYA...
Balozi wa Tanzania Ubeligiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (kulia) akimkabidhi Mzee Nyamtara Mukome zawadi ya kumshukuru kwa kazi nzuri aliyofanya Ubalozi wa Tanzania Ubeligiji alipokuwa Afisa wa Mambo...
View ArticleBALOZI WA PSPF FLAVIANA MATATA ATOA ELIMU YA FURSA MBALIMBALI ZINAZOPATIKANA...
Balozi wa PSPF, Bi. Flaviana Matata akitoa elimu kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya elimu ya juu (hawapo pichani) jijini Mwanza Afisa Mfawidhi Ofisi ya PSPF Mwanza, Bw. Salim Salim, akisalimiana na...
View ArticleHABARI PICHA MJINI BUKOBA J'NNE MAY 21,2015
Muonekano wa Majengo mbalimbali mji wa Bukoba Heka heka za hapa na pale Mchana wa Jumanne May 21,2015.Mitaa ya kati Camera yetu uso kwa uso na Mr. Kagunguna.Maeneo ya Karakana ya SIDO Mjini...
View ArticleTAMWA Kuwajengea Uwezo Waandishi Uandishi Habari za Uchaguzi
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA, Bi. Gradness Munuo akizungumza na baadhi ya Wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari leo jijini Dar es Salaam katika mkutano na wahariri hao. Sehemu ya wahariri...
View ArticleMASHINDANO YA UMISETA MKOANI KAGERA YAZINDULIWA RASMI
Mkoa wa Kagera umeanza rasmi mashindano ya UMISETA yanayowashirikisha wanafunzi wa shule za sekondari kutoka katika Halmashauri zote za Wilaya na Manispaa ya Bukoba katika mkoa wa Kagera.Mashindano...
View ArticleHATIMA YA MAKADA SITA WA CCM
Gazeti la Mwananchi Ijumaa May 22,2015Dodoma. Kamati Kuu ya CCM, ambayo ndiyo inaanzisha mambo yote muhimu ya chama hicho, leo inakutana kuandaa ajenda za mkutano wa Halmashauri Kuu, huku suala...
View ArticleWASHINDI WA "TUZO ZA WATU" 2015
Mwanamuziki wa kiume anaependwa:: ALI SALEHE KIBA.Mwanamuziki wa Kike anaependwa::JAY DEEMuigizaji wa kiume anaependwa::HEMED SULEIMANMuigizaji wa Kike anaependwa::WEMA SEPETUMuongozaji wa Filamu...
View ArticleDr. Winnie Mpanju-Shumbusho kutoka Tanzania ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu...
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani, Dr. Margaret F. Chan amemteua Dr. Winnie Mpanju-Shumbusho kutoka Tanzania kuwa Mkurugenzi Mkuu Msaidizi wa Shirika la Afya Duniani, upande wa masuala ya...
View ArticleTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kamati Kuu imepokea na kutafakari taarifa ya Kamati ya Usalama na Maadili ambayo ilipitia adhabu waliyopewa wanachama sita waliokiuka kanuni za Maadili na kupewa Onyo Kali, adhabu iliyodumu kwa kipindi...
View ArticleHUYU NDIYE MWALIMU NA WENZAKE WALIOKAMATWA NA MIFUPA YA ALBINO KAHAMA
Mwalimu Bahati Kilungu Maziku. Bilia Masanja Mhalala Waganga wa jadi Elizabeth au Shija Makandi Sweya (kushoto) na Regina au Tatu Kashinje Nhende. Mganga wa jadi Abubakar Ally Magazi (Picha zote na...
View ArticleTuzo za Filamu 2015 zafana, Serikali Yahaidi Neema
Mwakilishi wa Amri Athuman-King Majuto (Best Comedian Tanzania Film Awards 2015) akipeana mkono na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenela Mukangala mara baada ya kupokea tuzo...
View ArticleTUNAPOKEA KWA MSHUTUKO NA MASIKITIKO MAKUBWA TAARIFA ZA KIFO CHA MZEE WETU...
Marehemu Mzee Samweli Luangisa pichani wakati wa Uhai wake.Bukobawadau tumepokea taarifa za kifo hiki kwa mshtuko mkubwa ,kutoka New York, Marekani alipokuwa anatibiwa.Tunamwomba Mwenyezi ailaze roho...
View ArticleMKUTANO WA DR. SLAA WILAYANI MULEBA LEO JUMATATU MAY 25,2015
Matukio ya picha katika Mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dkt. Willibrod Slaa uliofanyika leo Muleba katika uwanja wa Red Cross.Katibu Mkuu Dr. Slaa...
View ArticleVIDEO/PICHA MJUBURO WA LALY ABDULGARD NI BALAA!!
Bwana Harusi mtarajiwa Laly AbdilGard (katikati) wakati akiingia Ukumbini na kupokelewa na Mama yake mzazi 'Mama Rubby' pichani kulia na mpambe wa mtarajiwa Bwana Hassan 'Busta' pichani kushoto.Mmoja...
View ArticleRAIS JAKAYA KIKWETE AFUNGUA RASMI MKUTANO WA NNE WA MABALOZI JIJINI DAR ES...
Mhe. Rais Kikwete akizungumza huku Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.), Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue (katikati) pamoja na Katibu Mkuu wa Mambo...
View Article