MAOMBI YA MCHANGO WA UJENZI WA MSIKITI
Katika Maisha yetu Wanaadamu Ibada ni Jambo Muhimu saana. Uzuri , Usafi wa sehemu ya kuabudu ni Moja katika mambo mazuri yenye kupendeza katika kila Nafsi ya Binaadamu.Katika Nyumba (Msikiti)Â huu ,...
View ArticleRAIS WA ZANZIBAR, DK. SHEIN AFUNGA MKUTANO WA MABALOZI WA JAMHURI YA MUUNGANO...
Balozi Seif kwa Niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Ali Mohammed Shein akiufunga Mkutano wa Nne wa siku Tatu wa Mabalozi wa Tanzania uliokuwa ukifanyika katika Hoteli ya...
View ArticleYAMOTO BAND, MASHAUZI KUWASHA MOTO MANGO GARDEN LEO
KWA mara ya kwanza baada ya miaka mingi, ukumbi wa Mango Garden, ulioko Kinondoni, jijini Dar es Salaam, kupitisha wikiendi bila burudani yoyote, leo usiku ‘utawaka moto’ wakati Yamoto Band na Mashauzi...
View ArticleEXTEND VIDEO 'MJUBURO' WA LALY ABDULGARD
Pitia matukio kamili katika video hapa chini yaliyojiri katika shughuli ya ' Mjuburo' wa Bw. Laly AbdulGard mwana wa Mama Rubby ;Kuona Video bonyeza kitufe cha 'Play' sehemu ya katikati.Kwa matukio...
View ArticleMABALOZI WA TANZANIA NJE YA NCHI WATEMBELEA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA...
Pichani ni Mabalozi wa Tanzania Nje ya Nchi Waliotembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wa kwanza kushoto ni Balozi wa Tanzania Ubeligiji, Luxembourg na Jumuiya ya Ulaya Balozi Dr. Diodorus...
View ArticleHOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KATIKA WIZARA YA...
Inatolewa kwa mujibu wa Kanuni ya 99(9) ya Kanuni za Kudumu za Bunge Toleo la Mwaka 2013____________________________1.  UTANGULIZIMheshimiwa Spika, napenda kuchukua nafasi hii, kwanza, kumshukuru...
View Article'WANASEMA ALHAMDULILLAH'!!NI SHUGHULI YA NIKAAH YA BW LALY ABDULGARD NA BI...
NAAAM ni Ijumaa nyingine MAY 29,2015 Camera yetu inajikita pande za Kamachumu kushuhudia tukio la Nikaah katika shughuli ya Ndoa ya wawili hawa, ni shughuli inayo -Make headline katika ukanda huu...
View ArticleNEC YAKAMILISHA MAANDALIZI UBORESHWAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA KWA MIKOA 4
Maandalizi ugawaji wa mashine kwa ajili ya kuandikisha wanchi katika daftari la wapiga kura kwa Kanda ya 5 Tano kati ya Sita yamekamilika leo Mei 29, 2015 zaidi ya Biometric Voter Registration (BVR)...
View ArticleHABARI PICHA MKUTANO WA MH. EDWARD LOWASSA AKITANGAZA NIA JIJINI ARUSHA LEO
Mbunge wa Monduli na waziri mkuu wa zamani Mh. Edward Lowassa ametangaza rasmi nia ya kuwania urais wa Tanzania kupitia chama cha mapinduzi mbele ya umati wa watu waliofurika uwanja wa Sheik Amri Abeid...
View ArticleMAULID & LUNCH YA AQDI YA LALY ABDULGARD NA BI ZUENA MURSHID @ UHURU PLATFORM
Ni taswira kutoka viwanja hivi ilipofanyika shughuli ya Maulid ya harusi ya Bwana Laly na Mkewe Zuena , ni moja ya shughuli zilizopangiliwa vizuri na imependeza sana.Bwana harusi Bwana harusi Laly...
View ArticleMWIGULU NCHEMBA ATANGAZA NIA MJINI DODOMA
 Naibu waziri wa Fedha, Mwigulu Lameck Nchemba ambaye pia ni Mbunge wa Iramba Magharibi ametangaza nia ya kuomba ridhaa ya wana Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumteua kuwania urais katika uchaguzi mkuu...
View ArticleWANANCHI WAISHUKURU SERIKALI KUWAJENGEA UWEZO WA KUKABILIANA NA MAAFA YA UKAME
Mkazi wa kijiji cha Mgwasi wilayani Same, John Samuel akiwaangalia mbuzi wake aliowapata kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia mradi wa Kupunguza Athari za Ukame unaofadhiliwa na UNICEF, tarehe 31, Mei...
View ArticleHOTUBA YA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA (Mb) KWENYE MKUTANO WAKUTANGAZA NIA YA...
Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa ahutubia wananchi kwenye Mkutano wa hadhara, wakati akitangaza nia yake ya kuwania Urais wa Awamu wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia...
View ArticleSIMANZI MJINI BUKOBA MWILI WA MAREHEMU SAMUEL NTAMBARA LUANGISA UKIAGWA LEO !!
Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Mzee Samuel Ntabara Luangisa Ni simanzi kubwa Mjini Bukoba wakati Jeneza lililobeba mwili wa Marehemu Mzee Samuel Ntabara Luangisa likizungushwa mitaa mbalimbali kama...
View ArticleKAMATI KUU YA CCM (CC) INAYOPITISHA MAJINA MATANO YA WAGOMBEA URAIS
Hii ndio Kamati Kuu (CC) ya CCM itakayopitisha majina matano ya wagombea uraisi kwa ajili ya kupigiwa kura na NEC kupata mgombea mmoja. 1. Jakaya Mrisho Kikwete 2. Dr. Ally Mohamed Shein 3. Phillip...
View ArticleMAELFU WASHIRIKI MAZISHI YA MAREHEMU MZEE SAMUEL LUANGISA BUKOBA JUNE 3,2015
Maelfu ya watu wameshiriki katika mazishi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kwanza wa ziwa Magharibu na Mkuu wa Mkoa wa Mara, Balozi wa Tanzania katika nchi za Jamhuri ya watu wa China, Jamhuri ya watu wa...
View ArticleBELLA KUTAMBULISHA USIKU WA NASHINDWA DAR LIVE!
Mfalme wa Masauti Bongo, Christian Bella ‘Obama’ akiwa ndani ya Global TV Online.Christian Bella akiimba wimbo wake mpya wa 'Nashindwa' ndani ya studio za Global TV Online leo.Malaika Band chini ya...
View ArticleUBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA MIKOA YA GEITA, SIMIYU,...
NEC Tangazo Arusha, Manyara, Mara, Mwanza, Geita, Shinyanga, Simiyu, Kilimanjaro
View ArticleSKYLIGHT BAND YAENDELEA KUUNGURUMA NDANI YA KIOTA KIPYA CHA LUKAS PUB MASAKI,...
Ilikuwa noma sana siku ya Ijumaa iliyopita maana ilikuwa sio ya kupitwa basi mchuke na ndugu, jamaa au rafiki yako leo uje kuona vitu vitamu kutoka kwenye Bendi ya SkylightMeneja wa Skylight Band Aneth...
View Article